Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakinizonga huwa na mimi ninawazonga kwa kuwaomba wanipe kwanza mambo yetu yaleeeee kisha ndio na mimi nimpe pesa.Wewe wakikuzonga huwa unafanyaje?
Ajira ngumu nimeona nijipendekeze kwa nguvu tu.Mkuu naona umejitolea kuwa mwalimu wa lugha
La saba B huwa hawajui neno "lunch"!Utakuwa form two E.Sasa mkuu...mmi Darasa B
Ukiandika au kusimulia pahala, kifua kinapumua/kinaachia na kupata psychological relief.Yeye kaja kuwashtaki JF.
Ila wao pesa zao wanajengea makwao..Wadada Wengi zaidi ndo style Yao hii
Huyo anaonekana ndio hao wanao omba kununuliwa lunch na wanaume wenzao,Mkuu naona umejitolea kuwa mwalimu wa lugha
Chunga sana.Kuna UTI sugu na ngwengwe aka "edisi"!Wakinizonga huwa na mimi ninawazonga kwa kuwaomba wanipe kwanza mambo yetu yaleeeee kisha ndio na mimi nimpe pesa.
Kuomba msaada siku moja sio mbaya. Mbaya ni kuomba kila siku.Waambie wawe wanasonga Ugali majumbani kwao na kubeba ila wakale kazini,
Kila mtu aishi kivyakee,
Dume unaomba lunch kwa Dume mwenzako? ukiletewa Posa utakubali kuolewa?
Kataa huo ujinga rafiki yangu!!Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea, Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast,
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bairi kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
We use protectionChunga sana.Kuna UTI sugu na ngwengwe aka "edisi"!
"Acheni" ana maanisha kwa wale wote wenye tabia hizo coz hao wa huko maofisini ndio hao hao waliomo humu,Ukiandika "acheni" unamaanisha tulikuwepo na sisi wote?Na hilo neno "bairi" unamaanisha nini wewe ajira mpya?
huyo mshushue kabisa nimekupa ruhusa mamaSikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Vipi kama ombaomba ni mwanaume?Akiomba wee nae muombe tumbua lake
Mbona kama umechanganyikiwa?huyo demu yupo huku? Umepanic? Mpe majibu hapo kwako brother,..Nimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....
Mpaka ananiita Bairi, okey Mimi bairi wee ambae sio bairi umenunua Nini.