Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nunuria wenzio ranchi bwana, dipresheni zipo tu🤣Hera zangu ni za kutufuta fukwe turivu na kuturiza dipresheni😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunuria wenzio ranchi bwana, dipresheni zipo tu🤣Hera zangu ni za kutufuta fukwe turivu na kuturiza dipresheni😂
Wanajiona special sana hawa creatures and never identify themselves as broke but will never date a broke niggaSwala pesa yako, unatumia ktk nn Why niwe mtumwa wa kukununulia chai na Chakula kila siku, inakuaje kuhusu Mimi na mahitaji yangu, niaribu budget yangu kwa ajiri yako, je, wewe unaweza aribu budget yako kwa ajiri yangu Jibu ni No, Sasa mimi ndo niwe mjinga sana
Umenena vyema🤝Swala pesa yako, unatumia ktk nn Why niwe mtumwa wa kukununulia chai na Chakula kila siku, inakuaje kuhusu Mimi na mahitaji yangu, niaribu budget yangu kwa ajiri yako, je, wewe unaweza aribu budget yako kwa ajiri yangu Jibu ni No, Sasa mimi ndo niwe mjinga sana
BairiNimemchana, acheni Ujinga mnatunza pesa zako chai utumie pesa za wenzio... Hii Tabia ni ya kishenzi....
Mpaka ananiita Bairi, okey Mimi bairi wee ambae sio bairi umenunua Nini.
Usiaminikuwa ni mwanaume kisatu kavaa suruali na ana kibesi, uanaume una maana pana sana.Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Ungekula kimasihara tu kufidia pesa zako za lunchKuna taasisi moja kubwa nilikuwa najitolea pale na inajulikana hivyo na staff wote ila kuna dada mmoja alikuwa mstari wa mbele kuomba lunch, nikawa namtafakari sana kuna siku nikamwambia aache kunitukana indirect, tabia yake ikakomea hapo.
Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.Nunuria wenzio ranchi bwana, dipresheni zipo tu🤣
vIjana sikuizi hawawezi kujikaza tenaUsiaminikuwa ni mwanaume kisatu kavaa suruali na ana kibesi, uanaume una maana pana sana.
sikuwahi mgharamia lunch, mwenyewe nilikuwa najitolea hizo gharama za kumlipia lunch ningezimudu na nini mkuu?Ungekula kimasihara tu kufidia pesa zako za lunch
Hao wenzako wanaokuomba ni kwa sababu wanajua wewe ni jizi hapo kazini hivyo una kipato cha ziada zaidi yao. Ukitaka kutokuombwa acha wizi na ofisadi wewe bado kijana mdogo...Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea, Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast,
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bairi kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Sisi hatunaga hera jamani, mtuerewe tu. Kikubwa tunawaombea kwa Mungu awabariki🤣🤣🤣Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.
Ila kazini 🙌🙌🙌
Kuna dada nilimpa kodi fulani ya kupata pesa ambayo tayari alikuwa ashaipoteza, akaniahidi 10% ile ela ikiingia nmgaramikie na ranchi kama wiki hivi hadi hela yake itakapoingia. Hela ikaingia sikuambulia hata mia yake mbovu kaishia kusema nakuombea kwa Mungu akubariki 😂
Wapo wapo wengi sana tena hadi kudanga wanadangaHamnaga omba omba mwanaume weye ebu wacha zako
Matokeo ya 50/50.Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Hizo baraka zielekezeni kwenye familia zenu, kuna mwingine aliniagiza vitu hela ikapelea akaomba nimjazie atanipa kesho yake, kwa sasa ni mwezi wa pili unakatika ananizungusha zungusha tu sijui ndio anataka anilipe kivingine?Sisi hatunaga hera jamani, mtuerewe tu. Kikubwa tunawaombea kwa Mungu awabariki🤣🤣🤣
Tatizo Vijana sikuizi Wanajiachia sana,Matokeo ya 50/50.
Ila ni ovyo kabisa.
Ndio maana wanaishia KUKAZWA.vIjana sikuizi hawawezi kujikaza tena
Hao ni wavulana sio wanaume, wanaume hatunaga tabia hizoSikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
Utakuwa mtu wa Musoma wewe au Tarime.Sisi hatunaga hera jamani, mtuerewe tu. Kikubwa tunawaombea kwa Mungu awabariki🤣🤣🤣
Hatari sana hiiNdio maana wanaishia KUKAZWA.