Kuna wabongo wengi wanapenda kukupangia bajeti kwenye hela zako, halafu ukikataa wanakunyanyapaa kukuita mbahili.Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea, Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast,
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bairi kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Turia mkuu🤣Ktk=katika,
Bahiri/bairi=bahili.
Sawasawa mzee wa mifumo?
Hawa wakaka mahandsome muwaone hivihivi tu,, wanatabia mbaya sana sikuiziWapi huko?Hata kwenye mkutano wa Beijing hawakusema hilo.
Ndio inabidi iwe hivyo, lakini walau mwanamke akiomba ni jau ila sio sana kama akiomba mwanaume,Hata mwanamke pia hapaswi kuomba kulipiwa lunch. Kwanini asijilipie ilhali mshahara analipwa??
Hamnaga omba omba mwanaume weye ebu wacha zakoVipi kama ombaomba ni mwanaume?
Kwakweli nitalifanyia kazi,,huyo mshushue kabisa nimekupa ruhusa mama
Wapo wengi alafu wanaomba hadi wadada. Bado tu wewe kukutana nao.Hamnaga omba omba mwanaume weye ebu wacha zako
Naomba hera nikare ruunch😂Wapo wengi alafu wanaomba hadi wadada. Bado tu wewe kukutana nao.
Ndugu kitu nilichoandika Hapa, mm ninauzoefu Sehemu 2 Ktk mahofisi na Biashara hii Tabia ya kuriabiana Budget Iko sana, tunaenda kupata kitu Chakula unaamishia Budget yako kwa mwingine, hata baadhi ya watu mkiwa mnafanya Biashara wao wanapenda kutumia za wenzao za kwako za kunza wachumi kinomaKuna taasisi moja kubwa nilikuwa najitolea pale na inajulikana hivyo na staff wote ila kuna dada mmoja alikuwa mstari wa mbele kuomba lunch, nikawa namtafakari sana kuna siku nikamwambia aache kunitukana indirect, tabia yake ikakomea hapo.
Yaani ni huzuni🙆♂️🙆♂️🙆♂️Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
🤣🤣🤣🤣Naomba hera nikare ruunch😂
Hawajui kuwa watu wana bajeti zao, na wanaona ni haki yao kufanyiwa hivyo.Ndugu kitu nilichoandika Hapa, mm ninauzoefu Sehemu 2 Ktk mahofisi na Biashara hii Tabia ya kuriabiana Budget Iko sana, tunaenda kupata kitu Chakula unaamishia Budget yako kwa mwingine, hata baadhi ya watu mkiwa mnafanya Biashara wao wanapenda kutumia za wenzao za kwako za kunza wachumi kinoma
Wanajiachia sana sikuizi, hawana aibu tena😃😃Yaani ni huzuni🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hera zangu ni za kutufuta fukwe turivu na kuturiza dipresheni😂🤣🤣🤣🤣
Hera zako unafanyia nini?
Ndio hawa wameombwa "runch" wamekuja kulia lia🙆♂️🙆♂️Wanajiachia sana sikuizi, hawana aibu tena😃😃
Swala pesa yako, unatumia ktk nn Why niwe mtumwa wa kukununulia chai na Chakula kila siku, inakuaje kuhusu Mimi na mahitaji yangu, niaribu budget yangu kwa ajiri yako, je, wewe unaweza aribu budget yako kwa ajiri yangu Jibu ni No, Sasa mimi ndo niwe mjinga sanaWanajiachia sana sikuizi, hawana aibu tena😃😃
Kha! Wee umeombwa breakfast na mkaka? Ilikuwaje? Ebu nipe umbeaWapo wengi alafu wanaomba hadi wadada. Bado tu wewe kukutana nao.