Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

hata wasingeongeza mishahara na kupunguza kodi lait inflation ingekuwa chini tusingelalamika mbona ben alikaa miaka 10 bila kupandisha mshahara na maisha yakaenda? na mfumuko wa bei ulikuwa chini ndio mazara ya kuchangua kiongozi kwa kuangalia sura kwa kuwa mshikaji alikuwa akionyesha sura ya upole na unyeyekevu huku akianguka majukwanii watu wakamuhurumia wakampa chance ndio matokeo yake sasa hayo
 
Hawa jamaa wana matani sana na wafanyakazi ! Hilo punguzo la kodi litamwongezea mfanyakazi si zaidi ya TZS 1,900 kwa mwezi! Huu kwa kweli ni utani mbaya sana.
 
Kanuni kuu za kuwa mwajiri:-Mwajiri haruhusiwi kumpa mwajiriwa kinachotosheleza maana ukimtosheleza atakuhama ama atakupa masharti magumu ili azidi kuwepo kwako. Cha kufanya ni kukandamiza ili siku zote asitosheke. Atalalamika lakini haachi kazi hata siku moja! Akilalamika sana mkopeshe gari/pesa/nyumba/nguo/nk ilimradi ashindwe kulipa ndo atanyamaza na ndo mwisho wake wa kudai nyongeza ya mshahara
 
hiki ni kiburi cha ccm kwa wananchi wake. hakuna haja ya kujilazimisha kwa baba asiekutaka. wananchi tuamke.
tena nashauri jukwaa hili liwe linawahimiza wasomi na wanajamii wote hasa vijana ambao ndio wengi kupiga kura kuanzia kwenye ngazi za chini hadi juu tuiondoe ccm madarakani.
 
Vyama vya upinzani vikiingia madarakani vitachukua hatua gani ya kupunguza kodi??? Au unatutaka tuindoe madarakani serikali ya CCM lakini huko mbele tusijue kutakuwa na nini? Unataka kutuhamasisha kama ilivyokuwa enzi za uhuru kisha tukahamakika (tukahamasika) kumng'oa mkoloni lakini tusijue akiondoka nchi tutaiendeshaje? Unataka kutusababishia matatizo bila ya kutupa ufumbuzi wa matatizo hayo? Tueleze sasa......kamba vyama vya upinzani kwa mfano mishahara itakuwa shilingi ngapi? Ukabila utashughulikiwaje, ubaguzi wa kikabila utashughulikiwaje, mikataba itakuwaje na uchumi utakuwaje na wao watatumia mbinu gani tofauti na zilizopo katika kumkwamua mtanzania kutokana na ujinga (kama huu wa kushabikia kitu usichokijua) na umasikini? Wao wakiingia watatumia sarafu gani? hii ya sasa ama watatumia dola? Na maswali mengi tu. Wajibie ama jibu wewe mwenyewe hapa JF ili tuwe na uhakika.

Wewe unayekataa upinzani kuchukua nchi na kutaka tuendelee na hao mafisi wa CCM ndiye unayepaswa kusema uzuri wa CCM dhidi ya ule wa upinzani. Usiwe na mawazo ya kihafidhina kihivyo! Upinzani bado haijaingia madarakani. Itakuwaje udai utawala wao utakuwa sawa na wa CCM? Na kama hauridhiki na utawala wa CCM na pia huutaki upinzani uchukue nchi, unachotaka ni nini hasa? Hujitambui au nini? Kwani wapinzani wenyewe wakichukua madaraka halafu waendelee na madudu kama ya CCM unaona ugumu gani kuwaondoa madarakani kwa kura? Don't be so rigid and conservative. Tuambie hao CCM unaowakumbatia wamefanya nini kwa miaka 50 waliyokuwa madarakani, ukilinganisha na utajiri wa rasilimali tulizo nazo, sio unakaa kubwabwaja tu bila kusema unachotaka ni nini!!!!
 
Wewe unayekataa upinzani kuchukua nchi na kutaka tuendelee na hao mafisi wa CCM ndiye unayepaswa kusema uzuri wa CCM dhidi ya ule wa upinzani. Usiwe na mawazo ya kihafidhina kihivyo! Upinzani bado haijaingia madarakani. Itakuwaje udai utawala wao utakuwa sawa na wa CCM? Na kama hauridhiki na utawala wa CCM na pia huutaki upinzani uchukue nchi, unachotaka ni nini hasa? Hujitambui au nini? Kwani wapinzani wenyewe wakichukua madaraka halafu waendelee na madudu kama ya CCM unaona ugumu gani kuwaondoa madarakani kwa kura? Don't be so rigid and conservative. Tuambie hao CCM unaowakumbatia wamefanya nini kwa miaka 50 waliyokuwa madarakani, ukilinganisha na utajiri wa rasilimali tulizo nazo, sio unakaa kubwabwaja tu bila kusema unachotaka ni nini!!!!

Naona una excercise theory ulioyoipata wakati unasoma ka kozi kako ka kuungaunga kwa super glue......Hata hivyo umejitahidi kubwabwaja bila ya kujibu hoja zangu. Hebu taja mazuri ya wapinzani japo mawili tu kabla sijakutajia mazuri elfu moja ya CCM!!!! Na kama hutapata mazuri ya wapinzani basi huna hoja....Na hatuwezi kufanya majaribio ya watawala kwa kisingizio eti tutakuja kuwatoa kwa kura....Haitawezekana maana wao yaelekea wana uchu wa madaraka sana watataka wakae miaka 100 ili waibe.
Au kwa kifupi nitajie barabara yenye urefu wa nusu kilometa tu walioijenga wao kwa ushawishi ama hata harambee ya kuchangishana then mimi kuanzia leo nitajiunga nao. ninao ushahidi mkuwa sana kwamba hawako kama tunavyowafikiria ndo maana nakusihi uendelee kuingunga mkono CCM. Au nikupe ushahidi kwamba hata ukiomba scholarship kwa serikali ya wapinzani huwezi kujibiwa maombi yako? Ni heri anayekujibu kwa kukukatalia kuliko anayekaa kimya....Poleni m,naodhani wapinzani watakuja kuinua maisha yenu.....
 
Naona una excercise theory ulioyoipata wakati unasoma ka kozi kako ka kuungaunga kwa super glue......Hata hivyo umejitahidi kubwabwaja bila ya kujibu hoja zangu. Hebu taja mazuri ya wapinzani japo mawili tu kabla sijakutajia mazuri elfu moja ya CCM!!!! Na kama hutapata mazuri ya wapinzani basi huna hoja....Na hatuwezi kufanya majaribio ya watawala kwa kisingizio eti tutakuja kuwatoa kwa kura....Haitawezekana maana wao yaelekea wana uchu wa madaraka sana watataka wakae miaka 100 ili waibe.
Au kwa kifupi nitajie barabara yenye urefu wa nusu kilometa tu walioijenga wao kwa ushawishi ama hata harambee ya kuchangishana then mimi kuanzia leo nitajiunga nao. ninao ushahidi mkuwa sana kwamba hawako kama tunavyowafikiria ndo maana nakusihi uendelee kuingunga mkono CCM. Au nikupe ushahidi kwamba hata ukiomba scholarship kwa serikali ya wapinzani huwezi kujibiwa maombi yako? Ni heri anayekujibu kwa kukukatalia kuliko anayekaa kimya....Poleni m,naodhani wapinzani watakuja kuinua maisha yenu.....

Naona naongea na robot au msukule. Kwa hivyo wewe unavyoona hayo mazuri 1000 ya CCM unayoyafahamu wewe (na mkeo/mumeo?) yanalingana na utajiri wa rasilimali tulizo nazo? Hebu yataje basi. Na unapoongelea kuhusu kuomba scholarship kwa wapinzani unamaanisha nini? Kwani UPINZANI ni SERIKALI? Napoteza muda bure kubishana na msukule!
 
Msukule huwa haongei na wala hawezi kusoma na kuandika. Isipokuwa dalili ya msukule ni kwa mtu kutokuwa na uwezo wa kufikiri na kulinganisha mazingira. Nimeuliza barabara hujajibu, nimeuliza mazuri mawili tu hujajibu......sasa hizo ni dalili za u-msukule......
 
Naona naongea na robot au msukule. Kwa hivyo wewe unavyoona hayo mazuri 1000 ya CCM unayoyafahamu wewe (na mkeo/mumeo?) yanalingana na utajiri wa rasilimali tulizo nazo? Hebu yataje basi. Na unapoongelea kuhusu kuomba scholarship kwa wapinzani unamaanisha nini? Kwani UPINZANI ni SERIKALI? Napoteza muda bure kubishana na msukule!

Msukule huwa haongei na wala hawezi kusoma na kuandika. Isipokuwa dalili ya msukule ni kwa mtu kutokuwa na uwezo wa kufikiri na kulinganisha mazingira. Nimeuliza barabara hujajibu, nimeuliza mazuri mawili tu hujajibu......sasa hizo ni dalili za u-msukule......
 
Mkuu..serikali zote duniani zinatoza PAYE.. Hata kama misamaha ya kodi kwenye madini itafutwa bado Paye itaendelea kutozwa kwa viwango vya kulalamikiwa

Tunajua kuwa lazima mfanyakazi alipe PAYE, hakuna anae kataa, swali la msingi je hii PAYE inafanya kazi kwa manufaa ya mwananchi au?
 
PAYE si inawavalisha askar na kununua silaa za kutuua au na we ujui!

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie
 
Back
Top Bottom