Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kabisa..
 
dawa ni kusali mkuu,pia kuacha kuangalia picha za ngono na kujiweka busy hasahasa muda unaohisi mihemko(kutoka nje kupiga story na washkaji au kufanya mazoezi yanayochosha mwili ili kuondoa mawazo ya kufanya punyeto) pia kupunguza frequency ya kufanya eg. kama unafanya 3 kwa siku unapunguza taratibu hadi 2 kwa siku hivo hivo hadi unajikuta unaacha
 

ha ha ha ha ha ha ..... mi mwenyewe nimeshangaa kuona sasa ivi...mafanikio yanahusishwa na punyeto..ha ha ha eti inachafua nyota...kaaz kwelikweli.
 
Jibu ni Yesu Kristo Pekee yake,Epuka kaaabisa kutumia nguvu za giza ktk hili,Ashukuriww mungu kwa hili Jema atendalo,la kututoa ktk dhambi na kumgeukia yeye!!
 
Huenda huna tu utulivu wa akili yaani unawaza sana na hofu imekutawala kutokana na stori za mtaani! Jiamini na unaweza! Umri wako ukoje?
 
Jukwaa uliloletea mada/ulipoingilia inaonyesha uharaka sana kama sio papara hata kitandani
Tuliza akili tu mkuu!!!
 
Ha ha haaa mkuu hapa ni Ujasiriamali hilo tatizo kama ulivyoshauriwa peleka MMU
 
ndio kaka lakini yakupasa utambue mtu anae piga punyeto ya nzi nayule anaepiga kwamkono nivitu viliwi tofauti mana huzidiana katika mateso
Punyeto ya nzi ndio ikoje??
 
huu ni mchezo unaowasumbua wengi haxwa wanaume na kutokana na kuuzoea weng hupenda kujiita wagumu,SASA NINAOMBA MCHANGO WAKO WA MADHARA YA HUU MCHEZO UWE MUATHIRIKA AU USIWE MUATHIRIKA WA MCHEZO HUU ILI KILA MTU AJUE MADHARA YAKE NA NAMNA YA KUUEPUKA,AHSANTE
 
Ukipenda nyeto unaweza kuwa khanisi,.. Hata ukiliona puchi lile pale, shelele linabaki kwenye flaccid state! Hatari Sana.
 
madhara yake ni kwamba unakaa bafuni muda mrefu wenzako wakikusubiri kuingia kuoga

kingine ule utelezi unaeza angusha wanaokuja kuoga after you

kingine kama choo kinanuka(choo cha tabora boys) ni hatari kwa mafua
 
madhara yake ni kwamba unakaa bafuni muda mrefu wenzako wakikusubiri kuingia kuoga

kingine ule utelezi unaeza angusha wanaokuja kuoga after you

kingine kama choo kinanuka(choo cha tabora boys) ni hatari kwa mafua

Umenichekesha sana bidada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…