Dawa ni wewe mwenyewe. Pumzika na hamisha mawazo yako yote katika hayo mambo. Ikibidi tafuta Bibilia au Kurani uwe uansali kila siku jioni kabla ya kulala.

Mkuu Suala La Kuacha si Tatizo!
tatizo Ni Nini Tiba Ya Hizo Effect Hapo Juu?
 

Mkuu Nyeto Imeachwa Mda Mrefu Sana
Tatizo Ni How to cure Bad Effect , Kama Hizo Nilizoziorodhesha?
Ahsante Sana!
 
Mkuu Apostle-Jovin......ahsante
Umeongea Mengi Mazuri Kuhusu Uokovu Na Maisha Baada Ya Kifo.. Mi naona Haujatoa Suluhu Ya Vile Nilivyoomba(TIBA/DAWA/DOKTA ANETIBU MASTURBATION BAD EFFECTS )
 
Last edited by a moderator:
Dah! we mshikaji vitengo vyako huwa ni vya nguvu za kiume tu, kwani bado hujapata ile SHILAJIT uliyokuwa unaitafuta!?

Mkuu Tatizo Hili Linaigusa Jamii Kwa Uzito Mkubwa Sana
Msaada Wako Unaweza Kumfaa Ndugu Yako Leo Au Baadaye
Kama Una Suluhu Msaada Tafadhari
Taifa Linapoteza Nguvu Kazi!!
 
SHILAJIT Bado Sijaipata
Ila Ikishindikana Nitatumia Njia Ya Ziada
 
Mkuu Nyeto Imeachwa Mda Mrefu Sana
Tatizo Ni How to cure Bad Effect , Kama Hizo Nilizoziorodhesha?
Ahsante Sana!
a

Kuna Mkuu anaitwa @Mzizimkavu lazima atakuwa na ufumbuzi wa tatizo lako,yupo deep sana kwenye masuala mbalimbali ya utabibu,Dr. @Mzizimkavu uje huku kaka kumsaidia ndugu yetu
 

Nenda kwa tabibu
 

Wewe unajua hospitali ilipo halafu unatuuliza sisi? Basi ushauri wangu ni wewe kuacha nyeto kwa muda mrefu kama miezi mitatu hivi kasha tafuta kabinti unakokapenda sana uwe unamalizia hisia zako utarudi kwenye afya yako.
 
Mimi nasikiliza tu na kupita maana kila kukicha wanasema punyeto inamadhara lakini watu ndo hawaachi@
 
Mkuu Tatizo Hili Linaigusa Jamii Kwa Uzito Mkubwa Sana
Msaada Wako Unaweza Kumfaa Ndugu Yako Leo Au Baadaye
Kama Una Suluhu Msaada Tafadhari
Taifa Linapoteza Nguvu Kazi!!

Taifa linapoteza nguvu za kiume kwakweli
 
Fanya kegel exercise na mazoezi ya kukata tumbo yaan itakusaidia sana na utapata hamu ya kusex maradufu,mm mwenzio nlikuwa hata dk cmalizi nmeshakojoa bt saiz first round 15 min had 30 min la pili yaan ndo shida nachelewa sana kumwaga(0762601090)kw maelezo ya ziada
 
Wakuu Msaada Kwani Utendaji Wa Kazi Na Shughuri Za Maendeleo Kwa Ujumla Zimesimama

Kwa uelewa wangu suala la upiganyi nyeto hutibiwa na washauri nasaha na sio madaktari...

Ungelikuwa ni ugonjwa bila shaka ungelimuona daktari lakini kwa kuwa athari za punyeto huteka akili na fikra basi kwa hakika unahitaji mshauri nasaha...
 

mkuu hiyo kegel ndo nin?
 
Wewe unajua hospitali ilipo halafu unatuuliza sisi? Basi ushauri wangu ni wewe kuacha nyeto kwa muda mrefu kama miezi mitatu hivi kasha tafuta kabinti unakokapenda sana uwe unamalizia hisia zako utarudi kwenye afya yako.

Mkuu Toka Niache Sasa Ni Miez 8
Nataka Nioe Mtoto Mzuri
 

Ahsante Sana Mkuu
Nimeweza Hilo; Vipi Kuhusu Hayo Matatizo Mengine Niliyoyaorodhesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…