Yaweza ikawa kama kituko fulan! lakin cyo siri kamchezo haka naona kameniingia damuni mpaka naona kero sasa na kila ninapofanya jitihada za kukiacha kitendo hki nashindwa kujicontrol tangu nilipokua O-level mpaka sasa nina umri wa miaka 22 nahitaj sana kuachana na kitendo hki lakin kwa mbinu nilizo zituia mm nashndwa lakin naamin kuanzia sasa ntafauru zoezi hili pindi ntakapo pewa elimu na mbinu za kuachana na kitendo ,,,,,I really hate it please my guys help me na km kuna mtu anaushaur wa kitaalam anisaidie pia
 
Baba hakuna kitu kibaya kama punyeto ndugu yangu nakushauri wacha haraka sana kaka ipasavyo-punyeto inaleta premature ejaculation-yaani ukiendekeza punyeto thn ukapata deni siku ya kujamiana na huyo demu ukichomeka uume ukeni umemwaga ndugu yangu-punyeto inaharibu mfumu wako kisailolojia matibabu yake si vidonge bali kisaikolojia pia
 
Nadhani unailazimisha akili yako kua hauwezi kuacha naaminu kama unachukia jifunze kufanya maamuzi,jitahidi kujitenga na vitu vinavyopelekea upige punyeto mfn picha za ngono nk.
 
Thanks Alex bt nmejitahid sana kujiweka tayar kisaikolojia ili kuachana na kitendo lakn tena kila nnapo muona mdada tu ni noooma
 
haina madhara,hata mimi naipiga kwa picha ya Chujio
 
Last edited by a moderator:
Pole mkubwa ila cha kwanza unachotakiwa kufanya ni kuamua kwamba kuanzia sasa PUNYETO BAAS!!!

Then cha pili tafuta vitu vya kukukeep bize inaonekana huna kazi za kufanya unawaza ngono hovyo kijana miaka 22 taifa linakutegemea!!!!!!!!

Cha tatu jaribu kufanya mazoezi hapa ngoja nikazie sio mazoezi legelege pushapu 20 then unalala unajiona na ww umefanya mazoezi!!!!! Namaanisha mazoezi hasa makali ili kupunguza mihemko ya huo mwili!!!!!!!

Mazoezi ni program jiandae kiakili pia kimwili design program yako ya mazoezi kutokana na ratiba yako ya siku anza na mazoezi mepesi kwanza then unaendelea hata mbuyu ulianza kama mchicha

Hahaahaaa pole sana nna vyojua wapiga nyeto wengi ni madomo zege af unapalilia kibamia inavyoonekana umepiga zaid ya miaka mitano angalia usije kosa watoto aloo!!!!!!

NB: Km nimekutania vile ila nimekuinyesha adhari za hako kamchezo.
Ni PM km unataka program ya mazoezi!!!!
 
Pole mkubwa ila cha kwanza unachotakiwa
kufanya ni kuamua kwamba kuanzia sasa
PUNYETO BAAS!!!
Then cha pili tafuta vitu vya kukukeep bize
inaonekana huna kazi za kufanya unawaza
ngono hovyo kijana miaka 22 taifa
linakutegemea!!!!!!!!
Cha tatu jaribu kufanya mazoezi hapa ngoja
nikazie sio mazoezi legelege pushapu 20 then
unalala unajiona na ww umefanya mazoezi!!!!!
Namaanisha mazoezi hasa makali ili kupunguza
mihemko ya huo mwili!!!!!!!
Mazoezi ni program jiandae kiakili pia kimwili
design program yako ya mazoezi kutokana na
ratiba yako ya siku anza na mazoezi mepesi
kwanza then unaendelea hata mbuyu ulianza
kama mchicha
Hahaahaaa pole sana nna vyojua wapiga nyeto
wengi ni madomo zege af unapalilia kibamia
inavyoonekana umepiga zaid ya miaka mitano
angalia usije kosa watoto aloo!!!!!!
NB: Km nimekutania vile ila nimekuinyesha
adhari za hako kamchezo.
Ni PM km unataka program ya mazoezi!!!!
 
Hali yako ni mbaya sana Kuanzia kiroho hadi kimwili
Una hatari ya kuja kupata penile dysfunction mda si mrefu usipoacha
Mungu anakupenda. Acha hiyo dhambi haraka
 
wakuu Nimegundua Sababu Ya Kuathirika Ni DAMU Kukosa VITAMIN B12 Na MADINI YA CHUMA
OVER-MASTURBATION Inafanya absorb Ya Virutubisho Hivi Uwe Wa Kasi Sana, Hivyo Kama Ulaji Wa Vyakula Vyenye Virutubisho Hivi Ni Mdogo, Mfumo Mzima Wa Faham Unaathirika
Ahsanteni Wakuu
Nyeto Salama Ni Kuanzia Mara Moja Kwa Wiki Na Kuendelea
Tatizo Wengi Hamjijui Kuwa Nyeto Inawaathiri Mpaka Baadaye Sana Ndo Unakuja Kushtukia Athari Zake
TAFUTENI WATOTO WAZURI MTULIZE HIZO NYEEGE
 
Hali yako ni mbaya sana Kuanzia kiroho hadi kimwili
Una hatari ya kuja kupata penile dysfunction mda si mrefu usipoacha
Mungu anakupenda. Acha hiyo dhambi haraka

Hivi kuna vifungu katika maandiko matakatifu yanayokataza kupiga punyeto..!! Basi hizo phrase zitakuwa zimejificha kidogo. Ila phrases zinazokataza kuzini, kutamani mademu, ufisadi,wizi, uuaji, ufiraji,ulevi, n.k. zipo wazi sana.
 
Watu huanza ulevi (addiction) wa pombe, sigara, punyeto, n.k. bila kuomba ushauri wakiwa addicted ndipo huomba ushauri wa namna ya kuacha. Kumbe kuacha ni rahisi tu unaacha kama ulivyoanza. Teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…