Akimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
Hili tatizo lipo hata kwa marijali, nitakupa story moja!!
Nilizoea kuwa na wapenzi wembamba tuu tangu naanza kujua swala la ngono. Nilikuwa nasikia tu wanawake wanene inabidi ushibe, uwe na mazoezi na nguvu na vitu kibao kwamba usipokuwa navyo huwezi kumridhisha mwanamke mnene.
Hamadi siku moja janamke neneee lina makalio kuleee, likanidondokea ghafla tena tulikuwa kwenye mafunzo so tulikuwa hotelini jioni. Sikutongoza ila tulijikuta tuu tunafikia kufanya ngono baada ya story kibao room kwangu.
Amini usiamini kwa sumu ya maneno niliyokuwa nimelishwa juu ya mwanamke mnene yaani ile nagusisha mbuny* na dud* yangu tu mzigo huooo.....!! Na haikunyanyuka tena mpaka asubuhi tunajiandaa kwenda mafunzo kitu imenyong'onyea tu. nilijisikia vibaya sana hasa nikizingatia mwanamke akikaa anga zangu nafumua mashuti mpaka amnaomba poo na bado niko fiti
Yule binti nahisi alinielewa sana, alitumia ile siku kuniriwadha na kunifanya nijihisi hakuna kosa lililofanyika. Siku nzima nilijaribu kuwaza nini kimetokea na kujaribu kuvuta hisia za ngono ili japo dud* isimame nijione mzima lakini wapiii....!! Tukiwa lunch aliniambia neno moja lililorudisha matumaini, "pale ulipoingiza tu dud* nikafika fastaa na wewe ndo unamaliza" yaani pale pale dud* hiyooo ikawa inatamani mechi na nahisi hisia zilipohisi kwamba nimemridhisha basi kisaikolojia nikakaa kawaida.
Tuliporudi hoteli jioni yaani nilimshika mkono moja kwa moja room na kazi ilikuwa ni bandika bandua mpaka alikimbia room.
Umeelewa kwa nini nimekupa hii story?? Uwezo wa kumrudisha normal huyo jamaa upo mikononimwako angalia anachohofia, kwa mfano ushasema anahofu utamuacha basi we jifanye umefika kwake hata unataka hata kuhamia kwake ili akuoe. Mfanye anachokifanya kuwa kinakutosheleza na unaridhika ili ajenge confidence iliyopotea. Ikishindikana hapo ana tatizo jingine, ila kama inasimama na kushindwa kuinuka tena ilo ni tatizo la hisia zaidi.
Jitahidi kuamsha hisia zake lakini pia kuhama mazingira inaweza kuwa suluhu ingine, mfano mnakutana anapopigia punyeto mara nyingi akili itakuwa kule kule kwenye athari za punyeto.
Halafu kuwa mtundu, wengine wanalalmika tu sijui goli moja basi lakini ye akifika room analala tu anasubiri kufanyiwa na kupokea dud*