Wewe una matatizo mengine acha kuizingizia punyeto,mimi nimepiga hii kitu since 2004 mpaka leo niko fit
Na siachi masterbation mpaka nipewe Phdbation...!!

Ha ha ha ha ha.. Kha, mkuu Umetisha... I salute you
 

Weka picha!
 
Eh mungu tusaidie...hasa huyu aliexikia hatua ya kutoboa godoro ataoa kweli? Uwiii ni kwa neema tu!
 
Tumia sabuni ya magadi, ni nzuri na salama kwa nyetto
 
Oyaa, usianze kupata mchecheto. Kutoka vipele kufuatia kupiga punyeto kwa fujo ni kitu cha kawaida tu, hususan kama unatumia sabuni kali. Miaka mingi iliyopita zilikuwepo sabuni za mbuni au ulimi wa ngombe, hizo zilikuwa hazifai kabisa kupigia punyeto. Zilikuwa zinachubua na kuleta maumivu. Huo sio ugonjwa wa zinaa. Nakushauri upumzike kupiga nyeto kwa siku kadhaa na hivyo vipele vitapotea. Baada ya hapo wewe endelea kupiga punyeto kwa raha zako; hawa jamaa wasikutishe hata kidogo. Watu wengi tu wanapiga punyeto lakini wanaficha. Afadhali wewe umekuwa muwazi kwa hili.
 
Piga tena saana maana hvyo vipele ndo raha yenyewe ya Punyetooo
Kwahyo we usijali endelea tuu na hako kamchezo BT ukiona vinawasha sanaaa basi unatakiwa upake pilipili ili uwasho ukate baada ya dk 5 then piga kazi
 
Inaweza Ikawa Ni Fungus But Ninavoelewa Fungus Huku Chini Mostly Huwapata Wanawake...Jaribu Kwenda Hospitali Tena Ukutane Na Daktari Wa Kike Wakiume Mtazinguana Tu.....
 
punyeto nimeanza kupiga tangu mwaka 2001 hadi saiv na wanawake nawapa mimba kama kawaida ila naona madhara kwani dude halina nguvu sna na skuiz nahawi kukojoa sna
 
Labda itakuwa popobawa alikutembelea ulipomaliza kujipiga selfie na kulala na ndo huyo alokuambukiza ugonjwa unaouhisi
 

Wewe mjaze ujinga nwenzio tu.
 
Mi najitahidi kuacha,japo naikumbuka sana punyeto,nlikua napiga hadi mda mwingine nasubiri wife alale mi nawahi sebuleni

Mkuu umenifanya nicheke sana😂😂😂
 
nilinza kupiga punyeto tangia 2008 Niko form one mpaka 2011. hapo ndipo nilipoacha. lkn hata hivyo nilikuwa tayari nimeshaathirika kwa mambo yafuatayo
1.uume umekuwa mdogo ukiwa haujasimama unakuwa kama wa mtoto mdogo lkn ukisimama unakuwa wa kawaida
2.namaliza mchezo yaani (orgasim) kwa mda wa dk 1au moja na nusu na baada ya hapo huwa siwezi kurudia tendo tena.
3.ukiwa unatoa shahawa unahisi maumivu makali kwenye njia ya mkojo.
4.lkn pia nikiwa nakojoa vile vile nahisi maumivu makali chino ya tumbo na kwenye kinena.
Nimetumia sana dawa lkn sijaona suluhisho
naombeni ushauri nifanye nn ili niponee
asante ni sana.
 
ulikuwa unapiga mara ngapi kwa siku mkuu...pole sana ila suluhisho ni ww kuacha kwa dhati na kuhakikisha unakua na mpenz wako na ufanye nae mara kwa mara huku ukimueleza ulikua una tatzo ilo aweze kukusaidia....kikubwba una hofu so unatakiw autibu iyo hofu...najua punyeto huwa haiachwi inapumzishwa tu kwa muda....jitahd uoe pia...mboga za majan na matunda ni dawa pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…