Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Kama tatizo lako ni kwamba baada ya kuoa unaona mke wako hakutoshelezi kama unavyoeleza (hana pumzi za kukutosha kukuhimili), ongeza bendi ya pili.
Pole sana, ingawaje mie naona sio tatizo unataka kujinyima raha bure bila sababu. Kwanza kujichua hauhitaji condom, hakuan kuambukizana magonjwa na wala mimba zisizotarajiwa, haki ya nani ukiacha na hivi mkeo hana pumzi utaishia kutafuta vipozeo nje na hatari yake unaijua.
Dawa yake hapa ni kutafuta lishe inayoongeza uzalishaji wa mbegu zako na utapiga mzigo bila taabu; kwa kuanzia tumia raw protein (mf. supu ya karanga ambayo imechemshwa kidogo bila kuiva sana utaona matokeo yake)
Duh!!!!punyeto ina raha yake!!!inabidi uvumilie,fanya mazoezi kwa sana,jichanganye na watu,jaribu kuji'keep' busy,shiriki katika jumuia mbalimbali!!!!!!!taaratibu mawazo yataondoka!!!!mkeo alichangia sana kuku'adict' kwenye punyeto,isingependeza sana akulaumu,sanasana,ajaribu kukushauri na kuwajibika ipasavyo uwanjani ili aweze kukuondoa huko!!!
umejuaje mkuu?Pole sana mkuu, huwa unapiga punyeto na nini Sabuni au Kavu Kavu? Kuna mabingwa wengine wanapiga na Lotion
kutwa mara 3 kama vile milo,nilijichua asubuhi/mchana na usiku...
Dada yangu tatizo la kutotungisha mimba katika case hii ni kutokukomaa kwa mbegu. Naomba tu aelewe hivyo nisingependa kutumia maneno mengi kukuchanganya bure. Mbegu huendelea na process za upevukaji katika safari yake yote ya kwenda kufanya fertilization. Ujue kwamba kinchozitoa mbegu ni muscle contraccion wakati wa orgasm na hivi huweza toka hata kama hazijawa tayari muda wowote huo zikikurupushwa na hii orgasm. Swala la misuli ya miguu ni justifiable kwa kuwa kuna hormone kibao zinazohuska na nguvu za misuli ya mwanaume. Hata swala la mwanaume kuonekana na misuli ya kiume ni tokeo la hormone hizi. Zaidi ya hayo wakati mwanaume akiejaculate karibu misuli yote ya mwili hukakamaa. Kwa kuwa jamaa yuko addicted baada ya muda ubongo unachain matukio kuanzia kwenye ubongo hadi kwenye misuli. Kwa lugha laini ni hivi.mpendwa, japo mi si daktari, kwanza nipingane na wewe kuwa misuli ya miguu inakakmaa kwa sababu ya kujichua na kuwa unashindwa kutungisha mimba kwa sababu hiyo, eti mbegu hazipati muda wa kukomaa. hayo mawili si kweli (ila niko tayari kujifunza toka kwa wataalamu). nijuavyo mimi, mbegu hutoka zinapokuwa zimezalishwa na zimehifadhiwa kwenye vifuko vyake. hapo unahitaji lishe tu kuweza kuwa na mbegu za kutosha. si kweli kuwa kutoa mbegu (iwe kwa kujichua au kwa ngono) kunasababisha zitoke kabla hazijakpmaa vya kutosha. mbegu si matunda kwamba zinahitaji kuvundikwa. Mungu alituumba kwa namna ya ajabu sana, kwamba zikiwa tayari kutoka huwa ziko tayari, hasihitaji kuvundikwa ili ziive au zikomae, mbegu za baba hazihitaji kukomaa bali yai la mama. kwa hilo ondoa hofu na unaweza kwenda hospitali pamoja na mkeo mpimwe wote ili kujua ukweli ni kwa nini hamtungishi miba. kuhusu tabia sugu ya kujichua, hizo ndizo hasara za kumkaribisha shetani moyoni mwako, hata unapotaka kumfukuza anagoma kutoka. kujichua ni matokeo ya tamaa ya ngono katika umri mdogo ambao huwezi kuoa/kuolewa. imeandikwa, "unapojaribiwa usiseme unajaribiwa na Mungu, bali mtu hujaribiwa na TAMAA yake akisha kudanganywa na ibilisi" nakushauri umrudie Mungu na kwa kuwa umeishaoa, ikubali SOLUTION ya Mungu kwamba mkeo ndio kimbilio lako kwa mahitaji kama hayo ya kupambana na ashiki. kama ni kutwa mara tatu mara kumi au mara ngapi, mueleze na naamini atakuelewa tatizo lako na mtakubaliana. hapa hutapata msaada wa kukusaidia sana zaidi ya ule utakaopata kwa mkeo. jiamini na muamini Mungu na muamini mkeo. hakuna lisilowezekana kwa Mungu ubarikiwe sana mpendwa glory to God!