Mungu wetu ana kazi sana
Nilikuwa sijui kama na nyie mnapiga pool duh!!
Kwa wanaume wanaiita Punyeto na kina mama wameibatiza ya kwao wanaiita Selfie....So ukisikia demu anawaambia wenzake leo nimejipiga selfie za kutosha...Dont conclude, ask ipi hiyo?
Duuh..Kumbe ndo hiko hivyoKwa wanaume wanaiita Punyeto na kina mama wameibatiza ya kwao wanaiita Selfie....So ukisikia demu anawaambia wenzake leo nimejipiga selfie za kutosha...Dont conclude, ask ipi hiyo?
We mshika mapembe mawazo yangu ya nn..Kwani mi nina papuchi...
Labda ningemuomba Dokta rubii awape ushauri ni vipi wanaweza kuacha kwa wale ambao ni wadau tayari
Wacheni uvivuNdio maana wanalalamika hatuwafikishi kitonga kumbe mnajitiaga usugu wenyewe+mipombe mikali hisia zitoke wapi hapo??
Bro lugha kupanuka ndo kufanyaje?..Sema Lugha imekuaDuh, aisee lugha imepanuka sana
Km unatumia vidole endelea tu...havina madhara..Je ukitumia vidole navyo vinaharibu uzazi au vinalegeza uke?
somo zuri
Duuh..Kumbe ndo hiko hivyo
Heaven Sent Douta jana nimeona sehemu umetumia hilo neno..Ulikuwa na maana hii? teh