Hapana hakuwa na maana hiyo bana, tulikuwa tunaongelea mambo ya kuwa na Smartphone, so selfie aliyoisema Heaven Sent siyo hii. Hana tabia hizo kabisa naweza kumtetea.



Mmmmh....sio kwa utetezi huuu nawasiwasi unataka kula mchepuko na mtoto
 
Duh, umenikumbusha mbali sana kwa hili jina la mshika pembe.
Teh teh..Bro umewahi nn kuwa mshika pembe

Teh teh..Hizi ndoto nyingine bana..Kuota ni bure bro..Endelea tu..teh
 
Teh teh..Bro umewahi nn kuwa mshika pembe
Teh teh..Hizi ndoto nyingine bana..Kuota ni bure bro..Endelea tu..teh

Nilishawahi kushika pembe kipindi fulani, ila nikirudisha siku nyuma nasikitika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…