Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hapana hakuwa na maana hiyo bana, tulikuwa tunaongelea mambo ya kuwa na Smartphone, so selfie aliyoisema Heaven Sent siyo hii. Hana tabia hizo kabisa naweza kumtetea.



Mmmmh....sio kwa utetezi huuu nawasiwasi unataka kula mchepuko na mtoto
 
Duh, umenikumbusha mbali sana kwa hili jina la mshika pembe.
Teh teh..Bro umewahi nn kuwa mshika pembe

Nimekuita uone jinsi nilivyomu-inspire rubii kuacha michezo yake hii, hapo ndo uelewe kwamba kweli ameshikika, soon atakuja na uzi unaokemea kusagana wakati wanaume tupo, then atakuja na uzi wa kunisifu kwa kubadili maisha yake.

Ha ha ha, basi tunakupanikisha kama Omy Dimpozi.
Teh teh..Hizi ndoto nyingine bana..Kuota ni bure bro..Endelea tu..teh
 
Teh teh..Bro umewahi nn kuwa mshika pembe
Teh teh..Hizi ndoto nyingine bana..Kuota ni bure bro..Endelea tu..teh

Nilishawahi kushika pembe kipindi fulani, ila nikirudisha siku nyuma nasikitika.
 
Back
Top Bottom