ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kutakuwa na mkutano mkubwa wa wanachama woteMwenyekiti wa Chaputa mkoa Manyara
Tarehe ntakujuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutakuwa na mkutano mkubwa wa wanachama woteMwenyekiti wa Chaputa mkoa Manyara
oga na huyo mke wakoWadau salamu ziwafikie,
Nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto.
Ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo, nifanyeje ili niache tabia hii?
hv u ever tried?somo zuri
Not yethv u ever tried?
Do not dare!Not yet
Nataka kujaribu kama adventureDo not dare!
jaribu pia ulete mrejesho.Nataka kujaribu kama adventure
Wacha we! Mmepata pa kutokea!Ndio maana wanalalamika hatuwafikishi kitonga kumbe mnajitiaga usugu wenyewe+mipombe mikali hisia zitoke wapi hapo??
hivi we rubbii ni doctor nini?maana unadadavua kama mtaalam vile...Kama ilivyo kwa jinsia ya kiume, kuna wanawake pia ni wahanga wa kufanya punyeto kwa kutumia vifaa tofauti tofauti.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua;
1. Inaharibu kizazi
2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara
3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo
4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu
5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto
6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.
7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.
8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.
9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara
10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Ha. Ha hayajaribu pia ulete mrejesho.
Kwa wanaume wanaiita Punyeto na kina mama wameibatiza ya kwao wanaiita Selfie....So ukisikia demu anawaambia wenzake leo nimejipiga selfie za kutosha...Dont conclude, ask ipi hiyo?
Hahaaa hiyo danger mzee miaka 35,haina madhara yeyote mimi napiga nyeto huu mwaka wa 35 na nikifika kwa wifi yako mnara uko full!
Khaaa we mashinehuyo ana matatizo yake mingine...mm napiga nyeto toka nina miaka 13 mpaka leo nina mke na mtoto na bado napiga nyeto kama kawa na nikimpanda mtu kama nimekunywa mkuyati bila goli 5 sijashuka
We nawe mpiga nyeto mbona una maswali sana, hufi bana anakuzingua tu! HahaaMagonjwa ya neva ni kama yapi hayo?