Punyeto ni nzur sana kwa mtoto wa kiume. Inakupa mazoez ya kutosha b4 game
 
Acheni mzaa puli mbaya.Mfano mi nilipata DED -Delayed Ejaculation Disorder yaani nachelewa kukoj.oa.

Pili kiuno kilikuwa hakiishi kuniuma.

Tatu fatigue kila saa siachi kupiga mihayo.

Nne demu wangu aliniona nikafadhaika sana.

Tano huwa nahisi kama kichwa kinauma au misuli kuvuta kwa mbali.

Sita nachelewa kazini.

Saba najishtukiajishtukia.

Nane inatia uvivu sana yaanj utaahirisha issue nyingi.
 
dadadadadekiiiiii ha ha ha haaa hizi coment nacheka tu hapa.
 
Heri mimi nimeacha,nina miezi miwili sasa,ila ninamis bhana
 
Punyeto tamu kuliko papuchi,ila si nzuri
 
kipindi naanza kubalehe nilipiga sana punyeto mpka nikavunjika mkono bafuni na ndio ikawa mwanzo na mwisho kupiga nyeto
 
syoo kweli punyeto tumepiga sana na sasa hivi tuko poa sana on the bed nakimbiza mbya kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…