Puli inapigwa kila sehem we ukitingwa bonyea zako puli autukiweza pata dem take which ever is simple 4 u.
 
Jamani hako kamchezo sio nzuri.kama unaweza kuacha acha kabisa though isee many of th people suportng it.it is 4uar advtgs.
 
BBC Wanaeleza hivi:
Punyeto
Ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni
tendo la kutomasa sehemu
zako mwenyewe za siri ili
kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga
punyeto hamna hofu ya
kuambukizwa magonjwa
yanayosambazwa kupitia
ngono, kwani haimshirikishi
mtu mwengine.
Punyeto ni toshelezo kamili la
kimapenzi kama utatumia njia
mbali mbali za kujitomosa na
kujipa papasa ya
kujistarehesha.
Hakuna mtu anayezaliwa akijua
jinsi mwili wake unavyoitikia
msisimko wa kimapenzi.
Inakubidi kujifunza kwa
majaribio salama.
Na, kwa vile kila mtu yuko
tofauti, njia nyengine ya kujua
jinsi unavyoweza
kumstarehesha mpenzi wako,
ni kujifunza kutoka kwako
mwenyewe.
Shughulika zaidi na sehemu
ambazo zinasisimka kwa
urahisi.
Unaweza kufikia kilele cha
starehe yako kwa kuitomasa
tomasa mboo au kisimi, lakini
kutakupa hamu kubwa na
ashiki, na kufikia kutoshelezwa
vya kutosha, kama utapapasa
pia sehemu nyenginezo za
mwili wako.
Kwa nini punyeto huonekana
kuwa makosa?
Msimamo wa dini nyingi na
watu wengi ni kuwa punyeto
ni dhambi, mwiko, jambo
lililokatazwa, jambo
lisilokubalika kabisa.
Lakini wanasanyansi wanasema
ni jambo salama kiafya na
dhana zilizopo kulihusu, ni
imani za kibinafsi na chaguo la
mtu.
Wanaume wengi na wanawake
hupiga punyeto maishani
mwao, kwa sababu huwafanya
wakajisikia vizuri na huondoa
dhiki za mihemko ya
kimapenzi bila kujiingiza katika
ngono na mtu mwengine.
Pia hofu ya kuambukizwa
magonjwa ya zinaa, ikiwemo
virusi vya HIV ni kichocheo
tosha kinachopelekea baadhi
ya watu kupiga punyeto.
Lakini kuna sehemu wanaeleza
hivi:
Punyeto (kujitoa manii kwa
mkono):
“Punyeto” ni: Dhana
inayowakilisha tendo la
kujitoa/kushusha manii kwa
njia isiyo jimai. Kupiga punyeto
kwa kutumia kiungo/zana yo
yote ile ni tendo la haramu
mbele za Mafaqihi walio
wengi. Na hiyo ndio kauli ya
Mafaqihi wa madhehebu ya
Imamu Maalik, Shaafiy na Abu
Haniyfah. Lakini uharamu wa
punyeto mbele zao uko chini
ya uharamu wa zinaa; yaani
zinaa ni haramu zaidi kuliko
punyeto ingawa vyote ni
haramu. Kwa muono wao huu,
lau mtu ataangukia katika
mtelezo wa kutenda mojawapo
ya haramu mbili hizi; zinaa na
punyeto. Basi hapana
makindano kwamba aegemee
zaidi janibu ya punyeto ili
kuilinda nafsi yake dhidi ya
uchafu wa zinaa. Atafanya
hivyo kwa mazingatio ya
msingi wa Fiq-hi usemao:
“lenye madhara khafifu baina
ya yenye madhara mawili” na
“lenye shari kidogo baina ya
yenye shari mawili”.
Ama madhehebu ya Imamu
Ahmad na maimamu
wengineo-Allah awarehemu-ni
kuhalalisha punyeto kwa
kuizingatia kuwa ni nyenzo
inayoweza kumsaidia muhusika
kujikinga na zinaa. Na wala
hapa hatukusudii na wala
hatuna nafasi ya kutaja
mkururo wa dalili za kauli mbili
hizi; haramishi ya kundi kubwa
na ile halalishi ya kundi dogo.
Bali tunalazimika na kutosheka
na kuashiria kwamba
waliosimamia kauli ya uhalali.
Hawakusema hivyo ila ni kwa
sababu wameona tendo hili
linampa kinga ya kiasi fulani
mwanadamu dhidi ya kutenda
uchafu na uoza wa zinaa. Hili
ndilo walilolizingatia na
kulijengea kauli yao hii ya
uhalali, lakini hapo hapo
hawalioni tendo hili kuwa ni
halali iwapo litageuzwa kuwa
ndio ada/desturi na mazoea ya
mtu. Akawa analifanya zoezi
hili kwa kuendelea kiasi cha
kuifanya punyeto kuwa
maradhi ya nafsi/siha. Kwa
sababu hakuna hata
mwanachuoni mmoja
anayehalalisha madhara hata
kama hicho chenye kudhuru
kilikuwa halali katika asili yake.
Mathalan tendo la kula, asili
yake ni halali na wakati
mwingine huwa ni wajibu kwa
kiwango cha dharura/ulazima
wa kuhifadhi uhai. Lakini tendo
hili hili linaweza likawa haramu
pale mtu atakapokula zaidi ya
uweza/shibe yake na
akasababisha kuidhuru nafsi
yake. Kwa msingi wa maelezo
haya basi, hapana makindano
baina ya maulamaa wetu-Allah
awarehemu-katika suala zima
la kuharamisha punyeto. Kwa
sababu tendo hili linaidhuru
kano/mishipa ya nguvu ya
muendekeza tendo hilo na
kulifanya kuwa ndio mchezo
wake. Kama linavyoudhuru
mfumo mzima wa viungo
vyake vya uzazi (reproductive
system) na afya yake kwa
ujumla. Kwa hivyo basi, si
Imamu Ahmad wala imamu
mwingine anayehalalisha kile
kinachosababisha madhara kwa
hali yo yote. Kwa mapenzi
mema kabisa, tunawasihi na
kuwanasihi vijana wetu wa
kiume na wale wa kike
kutoendekeza zoezi hili la
kujitoa manii kwa njia isiyo ya
jimai. Tena waache kabisa hata
kufikiria kulitenda, kwa sababu
tendo hilo ni hatari kwa afya
zao.
Mwanachuoni mkubwa; Sheikh
Muhammad Al-Haamid-Allah
amrehemu-katika kitabu chake
{RUDUUDUN ‘ALAL-
ABAATWIYL}, ametaja
maneno kima kuhusiana na
maudhui hii, tunamnukuu:
“Hakika tene (kichwa cha
dhakari) ina hisia kali sana na
hapo ndipo patokapo hisia (za
raha na ladha) wakati wa
tendo la jimai kwenda kwenye
kifuko cha manii (spermatic
vesicle). Na kusababisha
kijibinye ili kitoke humo kiasi
fulani cha manii na
kuchanganyika na kitu
kinachoitwa “prostate gland”.
Na hapo katika mchanganyo
huo ndipo huundika
mmiminiko maji huu ambao
kutoka kwake huzipoza na
kuzituliza shahawa/ashiki/
matamanio. Sasa basi mtu
atakapodumu na zoezi la
kuichezea dhakari yake, ngozi
ya tene huwa ngumu na
kusababisha kudhoofika kwa
nguvu-hisia zake. Na
kuyafanya manii kutoka bila ya
kuchanganyika na ute wa
“prostate” ambao una athari
na mchango mkubwa katika
kutuliza kiamshi-shahawa. Kwa
hivyo basi manii yanapokuwa
hayakuchanganyika na ute
huo, kupoa kwa shahawa huwa
ni kwa muda mfupi tu, kisha
huamka tena kwa nguvu
kubwa. Kwa ajili hii
humlazimisha mpiga punyeto
kupiga tema mara ya pili,
tatu.... na kama hivi. Mpaka
mwishowe humwaga damu
(badala ya manii), kwa sababu
ya kumaliza kabisa kile
kiitwacho “spermatic cord/
funiculus” na kuudhoofisha
kwake mfumo-uzazi kutokana
na wingi wa kupiga punyeto.
Kinachotokea kutokana na
udhaifu wa hisia wa tene kwa
sababu ya wingi wa kupiga
punyeto: Ni kwamba mwenye
kuzoea kupiga punyeto,
hutokezea akashindwa kufanya
jimai kwa namna anayoweza
kufanya mtu asiyefanya
mchezo huo. Hii ni kwa sababu
tene iliyodhoofika kutokana na
wingi wa kupiga punyeto
haiathiriki (na tendo la jimai)
kwa kiwango kihitajiwacho
kutokana na msuguano ndani
ya uke. Kwa hivyo basi hawezi
kushusha manii ila kwa
kujichua na mkono. Ndani ya
tendo hilo kuna madhara kwa
nafsi yake na mkewe ambaye
ana haki ya kutoshelezwa nae
(ili asifikirie/kufanya machafu)
kwa jimai halali”. Mwisho wa
kumnukuu sheikh-Allah
amrehemu.
Kwa kuungia maneno kima
haya ya sheikh tunaongezea:
Kwamba manii ni kimiminika
muhimu mno cha mwili na
mfumo mzima wa uzazi. Chini
ya maana hii Muingereza Dr.
Mary Stoubis anasema katika
kitabu chake {MARRIED LOVE}
: “Kwa yakini mchanganuo wa
kikemia wa kimiminika hiki
manii, umedhihirisha kwamba
pamoja na vitu vingine
unahodhi kiwango kikubwa cha
“phosphoric acid” na “calcic
acid”. Na zote mbili hizi ni
maada kima zenye taathira
adhimu katika ujenzi wetu wa
kimwili (kama wanadamu). Hili
likisihi (kuwa sahihi), basi kwa
hakika kosa kubwa
analolifanya mwanadamu ni
kudhania kuwa maada manii ni
kitu ambacho kunasihi
kujitakasa nacho baina ya
kipindi kifupi na kingine. Na
kuimwaga hovyo bila ya
malengo na kuona haja ya
kuihifadhi”.
Ni mazuri yaliyoje maneno ya
mshairi huyu anayesema na
vijana:
{Yahifadhi manii yako kiasi
uwezavyo kwani hayo *** Ni
maji ya uhai yamwagwayo
katika matumbo ya uzazi}.
 
Wewe endelea tu kushuka mnazi...hakuna madhara yoyote yale.
 
Inavyoonekana kumbe wengi wamo kwenye ako kamchezo ee? Ila nimetulia nikatafakariii hivi kweli? Nikapata jibu hii inatokana na nyege za ovyoovyo halafu wa kuzitoa hayupn
 
<br />
<br />
Unatumia sabuni gani ndugu,ngwanji au komoa?
 
Dah!! hayo ndio matokeo ya porns movies....ni mbaya sana kwa afya na ufanisi wako kitandani utakuwa m'bovu sana. achana na mawazo ya ngono muda wote...potezea..jiweke busy na mambo mengine....nadhan wewe kila ukiwaza ngono unachukulia punyeto kama quick solution. acha kabisa hii kitu kijana
 
Demu wako yupo mbali na hutaki kumsaliti!..........
Na ukikuta wenzako huko alipo wanamtafuna kama kawa utajiweka kwenye kundi la wajinga kiasi gani?
Kijana asikudanganye mtu, spea tairi ni muhimu sana chukuwa kibinti kingine fasta kikupe huduma mbadala na uzuri wanawake wa siku hizi ni waelewa usimfiche mwambie wazi mwenye mali kasafiri, hawana maneno kabisa.
 

Mkuu hauko mwenyewe,....
haina madhara makuuubwa sana kiafya,ila kisaikolojia yapo sana tu.

Lakini tusiangalie tu kiafya na kisaikolojia,tuangalie na kiimani,je ni sahihi?
ni topic ndefu kidogo,lakini kwa ufupi tu,tendo hilo linahusisha sana mawazo yako,...

kwa mfano,ukiwa unalifanya lazima uwe na picha ya mtu katika mawazo yako,..
utajenga picha jinsi alivo n.k,........

Hiyo picha + tendo unalofanya kwa pamoja vinaitwa "Lust" kwa kizungu,....au "tamaa ya kimapenzi" kwa kiswahili.

Na kwa definition ya lust,..."it's a choice to commit in your mind what you would like to do with your body"
kwa maana hiyo basi,hakuna tofauti na tendo lenyewe katika msingi ya kiimani,....
kwa kifupi,kiimani ni makosa makubwa sana,kama unasoma bible soma marko7:21-23

lakini pia,ukweli ni kwamba nyuma ya kila tendo,kuna mawazo.
nyuma ya kujichua kuna mawazo ya ngono,....point ya muhimu ni kupigana na
hayo mawazo na sio kupingana nayo.(niko sahihi hapa)

Kupigana nayo ni kwa kubadilisha channel ndani ya akili/mawazo yako na kwenda katika kitu
kingine kabisaa tofauti na ngono,..au jichanganye na watu wengine kama unaweza,...au lala kabisa.

Mara nyingi nilipo kua najichua ilikua ni kwa sababu:-
*niko mwenyewe
*naangalia picha/video za ngono

ni rahisi sana kuacha,fanya mazoezi sana,...na usipende kuwa mwenyewe unapopata mawazo
ya ngono,....

Mwisho,jenga hofu ya Mungu ndani yako,...itakusaidia ingawa bado sote ni binadamu
na hata tukijenga hofu ya Mungu bado tunasahau na kuanguka mara nyingine.
 

Yaani hapo kimekosekana kitu kimoja 2.. nacho ni BEER...ikizidiwa kingono shusha hisia kwa pombe
 
<br />
<br />
 
<br />
<br />
Kaka we noma
 
Mawazo yangu punguza kula vyakula vya mafuta ambavyo vinaongeza nguvu za kiume kama karanga.pia jìhusishe na mazoez ama shughuli nyingine ambazo ztakuweka busy..
 
kufa hufi,ila cha moto utakiona,stop,stop,stoooooooooooooooop!
 
Umenikumbusha jamaa flani nilisoma nae sekondari ilikuwa kila akiiona sabuni anaionea aibu


Unatumia sabuni gani ndugu,ngwanji au komoa?[/QUOTE]
 
We mkaka,jtahd kuiacha those guys na galz wanaosapot humu wanakupoteza,cz wengn hata hawafany ivo wanataka kukuharb ww wao wabak wazm.ACHA HYO BANA
 
Punyeto inamaliza nguvu za kiume,inamaliza nguvu za mikono na miguu,vinyama kwenye macho,kupoteza kumbukumbu kwa kuathirika kwa ubungo,uzembe na kutokufikiri vizuri,Punyeto inakufanya kutojiamini unakuwa mtu wa aibuaibu tu.Haya ni baadhi tu ya madhara ya punyeto yapo mengi tu zaidi ya milioni moja.
 
Mi nakushauri tu uwe unatumia vaseline
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…