Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />jaman nimekua adicted,nlikua cna tabia hyo ila nimekuja jaribu hata kuacha cwez,demu wangu yupo mbali nami na ctaki kumsaliti,imefikia mahal hata nkiwa na demu wangu la kwanza fresh ila mengne navutia hsia masta yangu,pamoja na thara hli nlishaliona,yapi mathara mengne ya haka kamchezo kangu wana jf?niacheje!?nawakilisha.
jaman nimekua adicted,nlikua cna tabia hyo ila nimekuja jaribu hata kuacha cwez,demu wangu yupo mbali nami na ctaki kumsaliti,imefikia mahal hata nkiwa na demu wangu la kwanza fresh ila mengne navutia hsia masta yangu,pamoja na thara hli nlishaliona,yapi mathara mengne ya haka kamchezo kangu wana jf?niacheje!?nawakilisha.
Demu wako yupo mbali na hutaki kumsaliti!..........jaman nimekua adicted,nlikua cna tabia hyo ila nimekuja jaribu hata kuacha cwez,demu wangu yupo mbali nami na ctaki kumsaliti,imefikia mahal hata nkiwa na demu wangu la kwanza fresh ila mengne navutia hsia masta yangu,pamoja na thara hli nlishaliona,yapi mathara mengne ya haka kamchezo kangu wana jf?niacheje!?nawakilisha.
jaman nimekua adicted,nlikua cna tabia hyo ila nimekuja jaribu hata kuacha cwez,demu wangu yupo mbali nami na ctaki kumsaliti,imefikia mahal hata nkiwa na demu wangu la kwanza fresh ila mengne navutia hsia masta yangu,pamoja na thara hli nlishaliona,yapi mathara mengne ya haka kamchezo kangu wana jf?niacheje!?nawakilisha.
Mkuu hauko mwenyewe,....
haina madhara makuuubwa sana kiafya,ila kisaikolojia yapo sana tu.
Lakini tusiangalie tu kiafya na kisaikolojia,tuangalie na kiimani,je ni sahihi?
ni topic ndefu kidogo,lakini kwa ufupi tu,tendo hilo linahusisha sana mawazo yako,...
kwa mfano,ukiwa unalifanya lazima uwe na picha ya mtu katika mawazo yako,..
utajenga picha jinsi alivo n.k,........
Hiyo picha + tendo unalofanya kwa pamoja vinaitwa "Lust" kwa kizungu,....au "tamaa ya kimapenzi" kwa kiswahili.
Na kwa definition ya lust,..."it's a choice to commit in your mind what you would like to do with your body"
kwa maana hiyo basi,hakuna tofauti na tendo lenyewe katika msingi ya kiimani,....
kwa kifupi,kiimani ni makosa makubwa sana,kama unasoma bible soma marko7:21-23
lakini pia,ukweli ni kwamba nyuma ya kila tendo,kuna mawazo.
nyuma ya kujichua kuna mawazo ya ngono,....point ya muhimu ni kupigana na
hayo mawazo na sio kupingana nayo.(niko sahihi hapa)
Kupigana nayo ni kwa kubadilisha channel ndani ya akili/mawazo yako na kwenda katika kitu
kingine kabisaa tofauti na ngono,..au jichanganye na watu wengine kama unaweza,...au lala kabisa.
Mara nyingi nilipo kua najichua ilikua ni kwa sababu:-
*niko mwenyewe
*naangalia picha/video za ngono
ni rahisi sana kuacha,fanya mazoezi sana,...na usipende kuwa mwenyewe unapopata mawazo
ya ngono,....
Mwisho,jenga hofu ya Mungu ndani yako,...itakusaidia ingawa bado sote ni binadamu
na hata tukijenga hofu ya Mungu bado tunasahau na kuanguka mara nyingine.
<br />BBC Wanaeleza hivi:<br />
Punyeto<br />
Ni nini?<br />
Kufanya au kupiga punyeto, ni<br />
tendo la kutomasa sehemu<br />
zako mwenyewe za siri ili<br />
kujisisimua kimapenzi.<br />
Kwa hivyo katika kupiga<br />
punyeto hamna hofu ya<br />
kuambukizwa magonjwa<br />
yanayosambazwa kupitia<br />
ngono, kwani haimshirikishi<br />
mtu mwengine.<br />
Punyeto ni toshelezo kamili la<br />
kimapenzi kama utatumia njia<br />
mbali mbali za kujitomosa na<br />
kujipa papasa ya<br />
kujistarehesha.<br />
Hakuna mtu anayezaliwa akijua<br />
jinsi mwili wake unavyoitikia<br />
msisimko wa kimapenzi.<br />
Inakubidi kujifunza kwa<br />
majaribio salama.<br />
Na, kwa vile kila mtu yuko<br />
tofauti, njia nyengine ya kujua<br />
jinsi unavyoweza<br />
kumstarehesha mpenzi wako,<br />
ni kujifunza kutoka kwako<br />
mwenyewe.<br />
Shughulika zaidi na sehemu<br />
ambazo zinasisimka kwa<br />
urahisi.<br />
Unaweza kufikia kilele cha<br />
starehe yako kwa kuitomasa<br />
tomasa mboo au kisimi, lakini<br />
kutakupa hamu kubwa na<br />
ashiki, na kufikia kutoshelezwa<br />
vya kutosha, kama utapapasa<br />
pia sehemu nyenginezo za<br />
mwili wako.<br />
Kwa nini punyeto huonekana<br />
kuwa makosa?<br />
Msimamo wa dini nyingi na<br />
watu wengi ni kuwa punyeto<br />
ni dhambi, mwiko, jambo<br />
lililokatazwa, jambo<br />
lisilokubalika kabisa.<br />
Lakini wanasanyansi wanasema<br />
ni jambo salama kiafya na<br />
dhana zilizopo kulihusu, ni<br />
imani za kibinafsi na chaguo la<br />
mtu.<br />
Wanaume wengi na wanawake<br />
hupiga punyeto maishani<br />
mwao, kwa sababu huwafanya<br />
wakajisikia vizuri na huondoa<br />
dhiki za mihemko ya<br />
kimapenzi bila kujiingiza katika<br />
ngono na mtu mwengine.<br />
Pia hofu ya kuambukizwa<br />
magonjwa ya zinaa, ikiwemo<br />
virusi vya HIV ni kichocheo<br />
tosha kinachopelekea baadhi<br />
ya watu kupiga punyeto.<br />
Lakini kuna sehemu wanaeleza<br />
hivi:<br />
Punyeto (kujitoa manii kwa<br />
mkono):<br />
Punyeto ni: Dhana<br />
inayowakilisha tendo la<br />
kujitoa/kushusha manii kwa<br />
njia isiyo jimai. Kupiga punyeto<br />
kwa kutumia kiungo/zana yo<br />
yote ile ni tendo la haramu<br />
mbele za Mafaqihi walio<br />
wengi. Na hiyo ndio kauli ya<br />
Mafaqihi wa madhehebu ya<br />
Imamu Maalik, Shaafiy na Abu<br />
Haniyfah. Lakini uharamu wa<br />
punyeto mbele zao uko chini<br />
ya uharamu wa zinaa; yaani<br />
zinaa ni haramu zaidi kuliko<br />
punyeto ingawa vyote ni<br />
haramu. Kwa muono wao huu,<br />
lau mtu ataangukia katika<br />
mtelezo wa kutenda mojawapo<br />
ya haramu mbili hizi; zinaa na<br />
punyeto. Basi hapana<br />
makindano kwamba aegemee<br />
zaidi janibu ya punyeto ili<br />
kuilinda nafsi yake dhidi ya<br />
uchafu wa zinaa. Atafanya<br />
hivyo kwa mazingatio ya<br />
msingi wa Fiq-hi usemao:<br />
lenye madhara khafifu baina<br />
ya yenye madhara mawili na<br />
lenye shari kidogo baina ya<br />
yenye shari mawili.<br />
Ama madhehebu ya Imamu<br />
Ahmad na maimamu<br />
wengineo-Allah awarehemu-ni<br />
kuhalalisha punyeto kwa<br />
kuizingatia kuwa ni nyenzo<br />
inayoweza kumsaidia muhusika<br />
kujikinga na zinaa. Na wala<br />
hapa hatukusudii na wala<br />
hatuna nafasi ya kutaja<br />
mkururo wa dalili za kauli mbili<br />
hizi; haramishi ya kundi kubwa<br />
na ile halalishi ya kundi dogo.<br />
Bali tunalazimika na kutosheka<br />
na kuashiria kwamba<br />
waliosimamia kauli ya uhalali.<br />
Hawakusema hivyo ila ni kwa<br />
sababu wameona tendo hili<br />
linampa kinga ya kiasi fulani<br />
mwanadamu dhidi ya kutenda<br />
uchafu na uoza wa zinaa. Hili<br />
ndilo walilolizingatia na<br />
kulijengea kauli yao hii ya<br />
uhalali, lakini hapo hapo<br />
hawalioni tendo hili kuwa ni<br />
halali iwapo litageuzwa kuwa<br />
ndio ada/desturi na mazoea ya<br />
mtu. Akawa analifanya zoezi<br />
hili kwa kuendelea kiasi cha<br />
kuifanya punyeto kuwa<br />
maradhi ya nafsi/siha. Kwa<br />
sababu hakuna hata<br />
mwanachuoni mmoja<br />
anayehalalisha madhara hata<br />
kama hicho chenye kudhuru<br />
kilikuwa halali katika asili yake.<br />
Mathalan tendo la kula, asili<br />
yake ni halali na wakati<br />
mwingine huwa ni wajibu kwa<br />
kiwango cha dharura/ulazima<br />
wa kuhifadhi uhai. Lakini tendo<br />
hili hili linaweza likawa haramu<br />
pale mtu atakapokula zaidi ya<br />
uweza/shibe yake na<br />
akasababisha kuidhuru nafsi<br />
yake. Kwa msingi wa maelezo<br />
haya basi, hapana makindano<br />
baina ya maulamaa wetu-Allah<br />
awarehemu-katika suala zima<br />
la kuharamisha punyeto. Kwa<br />
sababu tendo hili linaidhuru<br />
kano/mishipa ya nguvu ya<br />
muendekeza tendo hilo na<br />
kulifanya kuwa ndio mchezo<br />
wake. Kama linavyoudhuru<br />
mfumo mzima wa viungo<br />
vyake vya uzazi (reproductive<br />
system) na afya yake kwa<br />
ujumla. Kwa hivyo basi, si<br />
Imamu Ahmad wala imamu<br />
mwingine anayehalalisha kile<br />
kinachosababisha madhara kwa<br />
hali yo yote. Kwa mapenzi<br />
mema kabisa, tunawasihi na<br />
kuwanasihi vijana wetu wa<br />
kiume na wale wa kike<br />
kutoendekeza zoezi hili la<br />
kujitoa manii kwa njia isiyo ya<br />
jimai. Tena waache kabisa hata<br />
kufikiria kulitenda, kwa sababu<br />
tendo hilo ni hatari kwa afya<br />
zao.<br />
Mwanachuoni mkubwa; Sheikh<br />
Muhammad Al-Haamid-Allah<br />
amrehemu-katika kitabu chake<br />
{RUDUUDUN ALAL-<br />
ABAATWIYL}, ametaja<br />
maneno kima kuhusiana na<br />
maudhui hii, tunamnukuu:<br />
Hakika tene (kichwa cha<br />
dhakari) ina hisia kali sana na<br />
hapo ndipo patokapo hisia (za<br />
raha na ladha) wakati wa<br />
tendo la jimai kwenda kwenye<br />
kifuko cha manii (spermatic<br />
vesicle). Na kusababisha<br />
kijibinye ili kitoke humo kiasi<br />
fulani cha manii na<br />
kuchanganyika na kitu<br />
kinachoitwa prostate gland.<br />
Na hapo katika mchanganyo<br />
huo ndipo huundika<br />
mmiminiko maji huu ambao<br />
kutoka kwake huzipoza na<br />
kuzituliza shahawa/ashiki/<br />
matamanio. Sasa basi mtu<br />
atakapodumu na zoezi la<br />
kuichezea dhakari yake, ngozi<br />
ya tene huwa ngumu na<br />
kusababisha kudhoofika kwa<br />
nguvu-hisia zake. Na<br />
kuyafanya manii kutoka bila ya<br />
kuchanganyika na ute wa<br />
prostate ambao una athari<br />
na mchango mkubwa katika<br />
kutuliza kiamshi-shahawa. Kwa<br />
hivyo basi manii yanapokuwa<br />
hayakuchanganyika na ute<br />
huo, kupoa kwa shahawa huwa<br />
ni kwa muda mfupi tu, kisha<br />
huamka tena kwa nguvu<br />
kubwa. Kwa ajili hii<br />
humlazimisha mpiga punyeto<br />
kupiga tema mara ya pili,<br />
tatu.... na kama hivi. Mpaka<br />
mwishowe humwaga damu<br />
(badala ya manii), kwa sababu<br />
ya kumaliza kabisa kile<br />
kiitwacho spermatic cord/<br />
funiculus na kuudhoofisha<br />
kwake mfumo-uzazi kutokana<br />
na wingi wa kupiga punyeto.<br />
Kinachotokea kutokana na<br />
udhaifu wa hisia wa tene kwa<br />
sababu ya wingi wa kupiga<br />
punyeto: Ni kwamba mwenye<br />
kuzoea kupiga punyeto,<br />
hutokezea akashindwa kufanya<br />
jimai kwa namna anayoweza<br />
kufanya mtu asiyefanya<br />
mchezo huo. Hii ni kwa sababu<br />
tene iliyodhoofika kutokana na<br />
wingi wa kupiga punyeto<br />
haiathiriki (na tendo la jimai)<br />
kwa kiwango kihitajiwacho<br />
kutokana na msuguano ndani<br />
ya uke. Kwa hivyo basi hawezi<br />
kushusha manii ila kwa<br />
kujichua na mkono. Ndani ya<br />
tendo hilo kuna madhara kwa<br />
nafsi yake na mkewe ambaye<br />
ana haki ya kutoshelezwa nae<br />
(ili asifikirie/kufanya machafu)<br />
kwa jimai halali. Mwisho wa<br />
kumnukuu sheikh-Allah<br />
amrehemu.<br />
Kwa kuungia maneno kima<br />
haya ya sheikh tunaongezea:<br />
Kwamba manii ni kimiminika<br />
muhimu mno cha mwili na<br />
mfumo mzima wa uzazi. Chini<br />
ya maana hii Muingereza Dr.<br />
Mary Stoubis anasema katika<br />
kitabu chake {MARRIED LOVE}<br />
: Kwa yakini mchanganuo wa<br />
kikemia wa kimiminika hiki<br />
manii, umedhihirisha kwamba<br />
pamoja na vitu vingine<br />
unahodhi kiwango kikubwa cha<br />
phosphoric acid na calcic<br />
acid. Na zote mbili hizi ni<br />
maada kima zenye taathira<br />
adhimu katika ujenzi wetu wa<br />
kimwili (kama wanadamu). Hili<br />
likisihi (kuwa sahihi), basi kwa<br />
hakika kosa kubwa<br />
analolifanya mwanadamu ni<br />
kudhania kuwa maada manii ni<br />
kitu ambacho kunasihi<br />
kujitakasa nacho baina ya<br />
kipindi kifupi na kingine. Na<br />
kuimwaga hovyo bila ya<br />
malengo na kuona haja ya<br />
kuihifadhi.<br />
Ni mazuri yaliyoje maneno ya<br />
mshairi huyu anayesema na<br />
vijana:<br />
{Yahifadhi manii yako kiasi<br />
uwezavyo kwani hayo *** Ni<br />
maji ya uhai yamwagwayo<br />
katika matumbo ya uzazi}.
<br />BBC Wanaeleza hivi:<br />
Punyeto<br />
Ni nini?<br />
Kufanya au kupiga punyeto, ni<br />
tendo la kutomasa sehemu<br />
zako mwenyewe za siri ili<br />
kujisisimua kimapenzi.<br />
Kwa hivyo katika kupiga<br />
punyeto hamna hofu ya<br />
kuambukizwa magonjwa<br />
yanayosambazwa kupitia<br />
ngono, kwani haimshirikishi<br />
mtu mwengine.<br />
Punyeto ni toshelezo kamili la<br />
kimapenzi kama utatumia njia<br />
mbali mbali za kujitomosa na<br />
kujipa papasa ya<br />
kujistarehesha.<br />
Hakuna mtu anayezaliwa akijua<br />
jinsi mwili wake unavyoitikia<br />
msisimko wa kimapenzi.<br />
Inakubidi kujifunza kwa<br />
majaribio salama.<br />
Na, kwa vile kila mtu yuko<br />
tofauti, njia nyengine ya kujua<br />
jinsi unavyoweza<br />
kumstarehesha mpenzi wako,<br />
ni kujifunza kutoka kwako<br />
mwenyewe.<br />
Shughulika zaidi na sehemu<br />
ambazo zinasisimka kwa<br />
urahisi.<br />
Unaweza kufikia kilele cha<br />
starehe yako kwa kuitomasa<br />
tomasa mboo au kisimi, lakini<br />
kutakupa hamu kubwa na<br />
ashiki, na kufikia kutoshelezwa<br />
vya kutosha, kama utapapasa<br />
pia sehemu nyenginezo za<br />
mwili wako.<br />
Kwa nini punyeto huonekana<br />
kuwa makosa?<br />
Msimamo wa dini nyingi na<br />
watu wengi ni kuwa punyeto<br />
ni dhambi, mwiko, jambo<br />
lililokatazwa, jambo<br />
lisilokubalika kabisa.<br />
Lakini wanasanyansi wanasema<br />
ni jambo salama kiafya na<br />
dhana zilizopo kulihusu, ni<br />
imani za kibinafsi na chaguo la<br />
mtu.<br />
Wanaume wengi na wanawake<br />
hupiga punyeto maishani<br />
mwao, kwa sababu huwafanya<br />
wakajisikia vizuri na huondoa<br />
dhiki za mihemko ya<br />
kimapenzi bila kujiingiza katika<br />
ngono na mtu mwengine.<br />
Pia hofu ya kuambukizwa<br />
magonjwa ya zinaa, ikiwemo<br />
virusi vya HIV ni kichocheo<br />
tosha kinachopelekea baadhi<br />
ya watu kupiga punyeto.<br />
Lakini kuna sehemu wanaeleza<br />
hivi:<br />
Punyeto (kujitoa manii kwa<br />
mkono):<br />
Punyeto ni: Dhana<br />
inayowakilisha tendo la<br />
kujitoa/kushusha manii kwa<br />
njia isiyo jimai. Kupiga punyeto<br />
kwa kutumia kiungo/zana yo<br />
yote ile ni tendo la haramu<br />
mbele za Mafaqihi walio<br />
wengi. Na hiyo ndio kauli ya<br />
Mafaqihi wa madhehebu ya<br />
Imamu Maalik, Shaafiy na Abu<br />
Haniyfah. Lakini uharamu wa<br />
punyeto mbele zao uko chini<br />
ya uharamu wa zinaa; yaani<br />
zinaa ni haramu zaidi kuliko<br />
punyeto ingawa vyote ni<br />
haramu. Kwa muono wao huu,<br />
lau mtu ataangukia katika<br />
mtelezo wa kutenda mojawapo<br />
ya haramu mbili hizi; zinaa na<br />
punyeto. Basi hapana<br />
makindano kwamba aegemee<br />
zaidi janibu ya punyeto ili<br />
kuilinda nafsi yake dhidi ya<br />
uchafu wa zinaa. Atafanya<br />
hivyo kwa mazingatio ya<br />
msingi wa Fiq-hi usemao:<br />
lenye madhara khafifu baina<br />
ya yenye madhara mawili na<br />
lenye shari kidogo baina ya<br />
yenye shari mawili.<br />
Ama madhehebu ya Imamu<br />
Ahmad na maimamu<br />
wengineo-Allah awarehemu-ni<br />
kuhalalisha punyeto kwa<br />
kuizingatia kuwa ni nyenzo<br />
inayoweza kumsaidia muhusika<br />
kujikinga na zinaa. Na wala<br />
hapa hatukusudii na wala<br />
hatuna nafasi ya kutaja<br />
mkururo wa dalili za kauli mbili<br />
hizi; haramishi ya kundi kubwa<br />
na ile halalishi ya kundi dogo.<br />
Bali tunalazimika na kutosheka<br />
na kuashiria kwamba<br />
waliosimamia kauli ya uhalali.<br />
Hawakusema hivyo ila ni kwa<br />
sababu wameona tendo hili<br />
linampa kinga ya kiasi fulani<br />
mwanadamu dhidi ya kutenda<br />
uchafu na uoza wa zinaa. Hili<br />
ndilo walilolizingatia na<br />
kulijengea kauli yao hii ya<br />
uhalali, lakini hapo hapo<br />
hawalioni tendo hili kuwa ni<br />
halali iwapo litageuzwa kuwa<br />
ndio ada/desturi na mazoea ya<br />
mtu. Akawa analifanya zoezi<br />
hili kwa kuendelea kiasi cha<br />
kuifanya punyeto kuwa<br />
maradhi ya nafsi/siha. Kwa<br />
sababu hakuna hata<br />
mwanachuoni mmoja<br />
anayehalalisha madhara hata<br />
kama hicho chenye kudhuru<br />
kilikuwa halali katika asili yake.<br />
Mathalan tendo la kula, asili<br />
yake ni halali na wakati<br />
mwingine huwa ni wajibu kwa<br />
kiwango cha dharura/ulazima<br />
wa kuhifadhi uhai. Lakini tendo<br />
hili hili linaweza likawa haramu<br />
pale mtu atakapokula zaidi ya<br />
uweza/shibe yake na<br />
akasababisha kuidhuru nafsi<br />
yake. Kwa msingi wa maelezo<br />
haya basi, hapana makindano<br />
baina ya maulamaa wetu-Allah<br />
awarehemu-katika suala zima<br />
la kuharamisha punyeto. Kwa<br />
sababu tendo hili linaidhuru<br />
kano/mishipa ya nguvu ya<br />
muendekeza tendo hilo na<br />
kulifanya kuwa ndio mchezo<br />
wake. Kama linavyoudhuru<br />
mfumo mzima wa viungo<br />
vyake vya uzazi (reproductive<br />
system) na afya yake kwa<br />
ujumla. Kwa hivyo basi, si<br />
Imamu Ahmad wala imamu<br />
mwingine anayehalalisha kile<br />
kinachosababisha madhara kwa<br />
hali yo yote. Kwa mapenzi<br />
mema kabisa, tunawasihi na<br />
kuwanasihi vijana wetu wa<br />
kiume na wale wa kike<br />
kutoendekeza zoezi hili la<br />
kujitoa manii kwa njia isiyo ya<br />
jimai. Tena waache kabisa hata<br />
kufikiria kulitenda, kwa sababu<br />
tendo hilo ni hatari kwa afya<br />
zao.<br />
Mwanachuoni mkubwa; Sheikh<br />
Muhammad Al-Haamid-Allah<br />
amrehemu-katika kitabu chake<br />
{RUDUUDUN ALAL-<br />
ABAATWIYL}, ametaja<br />
maneno kima kuhusiana na<br />
maudhui hii, tunamnukuu:<br />
Hakika tene (kichwa cha<br />
dhakari) ina hisia kali sana na<br />
hapo ndipo patokapo hisia (za<br />
raha na ladha) wakati wa<br />
tendo la jimai kwenda kwenye<br />
kifuko cha manii (spermatic<br />
vesicle). Na kusababisha<br />
kijibinye ili kitoke humo kiasi<br />
fulani cha manii na<br />
kuchanganyika na kitu<br />
kinachoitwa prostate gland.<br />
Na hapo katika mchanganyo<br />
huo ndipo huundika<br />
mmiminiko maji huu ambao<br />
kutoka kwake huzipoza na<br />
kuzituliza shahawa/ashiki/<br />
matamanio. Sasa basi mtu<br />
atakapodumu na zoezi la<br />
kuichezea dhakari yake, ngozi<br />
ya tene huwa ngumu na<br />
kusababisha kudhoofika kwa<br />
nguvu-hisia zake. Na<br />
kuyafanya manii kutoka bila ya<br />
kuchanganyika na ute wa<br />
prostate ambao una athari<br />
na mchango mkubwa katika<br />
kutuliza kiamshi-shahawa. Kwa<br />
hivyo basi manii yanapokuwa<br />
hayakuchanganyika na ute<br />
huo, kupoa kwa shahawa huwa<br />
ni kwa muda mfupi tu, kisha<br />
huamka tena kwa nguvu<br />
kubwa. Kwa ajili hii<br />
humlazimisha mpiga punyeto<br />
kupiga tema mara ya pili,<br />
tatu.... na kama hivi. Mpaka<br />
mwishowe humwaga damu<br />
(badala ya manii), kwa sababu<br />
ya kumaliza kabisa kile<br />
kiitwacho spermatic cord/<br />
funiculus na kuudhoofisha<br />
kwake mfumo-uzazi kutokana<br />
na wingi wa kupiga punyeto.<br />
Kinachotokea kutokana na<br />
udhaifu wa hisia wa tene kwa<br />
sababu ya wingi wa kupiga<br />
punyeto: Ni kwamba mwenye<br />
kuzoea kupiga punyeto,<br />
hutokezea akashindwa kufanya<br />
jimai kwa namna anayoweza<br />
kufanya mtu asiyefanya<br />
mchezo huo. Hii ni kwa sababu<br />
tene iliyodhoofika kutokana na<br />
wingi wa kupiga punyeto<br />
haiathiriki (na tendo la jimai)<br />
kwa kiwango kihitajiwacho<br />
kutokana na msuguano ndani<br />
ya uke. Kwa hivyo basi hawezi<br />
kushusha manii ila kwa<br />
kujichua na mkono. Ndani ya<br />
tendo hilo kuna madhara kwa<br />
nafsi yake na mkewe ambaye<br />
ana haki ya kutoshelezwa nae<br />
(ili asifikirie/kufanya machafu)<br />
kwa jimai halali. Mwisho wa<br />
kumnukuu sheikh-Allah<br />
amrehemu.<br />
Kwa kuungia maneno kima<br />
haya ya sheikh tunaongezea:<br />
Kwamba manii ni kimiminika<br />
muhimu mno cha mwili na<br />
mfumo mzima wa uzazi. Chini<br />
ya maana hii Muingereza Dr.<br />
Mary Stoubis anasema katika<br />
kitabu chake {MARRIED LOVE}<br />
: Kwa yakini mchanganuo wa<br />
kikemia wa kimiminika hiki<br />
manii, umedhihirisha kwamba<br />
pamoja na vitu vingine<br />
unahodhi kiwango kikubwa cha<br />
phosphoric acid na calcic<br />
acid. Na zote mbili hizi ni<br />
maada kima zenye taathira<br />
adhimu katika ujenzi wetu wa<br />
kimwili (kama wanadamu). Hili<br />
likisihi (kuwa sahihi), basi kwa<br />
hakika kosa kubwa<br />
analolifanya mwanadamu ni<br />
kudhania kuwa maada manii ni<br />
kitu ambacho kunasihi<br />
kujitakasa nacho baina ya<br />
kipindi kifupi na kingine. Na<br />
kuimwaga hovyo bila ya<br />
malengo na kuona haja ya<br />
kuihifadhi.<br />
Ni mazuri yaliyoje maneno ya<br />
mshairi huyu anayesema na<br />
vijana:<br />
{Yahifadhi manii yako kiasi<br />
uwezavyo kwani hayo *** Ni<br />
maji ya uhai yamwagwayo<br />
katika matumbo ya uzazi}.