Mmh!
 
Kuwa na dhamira ya dhati utaacha mkuu km mm niliacha ww huwezi kushindwa maana mm nilikuwa addicted sana
Ila hii kitu ngumu kuacha kiukweli,najitahidi sana niweze,nlishaacha miezi 6
 



Mleta mada wacha ujinga huu.....asikudanganye mtu PUNYETO ni muhimu na ina faida sana katika mwili wa binadamu. Mimi wala siachi hata unitishie vipi. Naishi peke yangu, kuna siku nazidiwa usiku mpaka nashindwa kulala inanibidi nijichue ili nipate usingizi. Sasa wewe unataka niache kiburudisho changu kwa nini, una akili kweli wewe? Shame on you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…