Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh!Yaani hapa nimekaa natafakari mana nafsi inashindana na ubongo sasa najiuliza nipige kimoja tu au niaje? Kuna sauti inasema pima cha mwisho leo, nyingine inaniambia ukipiga leo hutoacha kabisa bora usipuchuke. Sasa sijui nifanyaje na huku nilipo mtu mweusi anabaguliwa kinoma noma
Hongera!Nashukuru Mungu siku ya nne leo cjapiga.
Ngoja nijaribu kama mwaka utaisha salama.
Teh teh teh teh tehKuna mda hua nahisi hii kitu ni pepo tu, maana kyna mda huna nyege kabsa mpaka mashine unaismamish kwa lazima ili upige puli
Vp mkuu mbona waguna tu wewe vpMmh!
Kwa hiyo mkuu ni Kawaida tu mm nikajua jini mahaba huwa ananinyemelea usikuHongera sana , kuhusu kujichafua ni kawaida sana man ata usijali binafsi wakati mwingine adi Mara 3.
Hongera sana , kuhusu kujichafua ni kawaida sana man ata usijali binafsi wakati mwingine adi Mara 3.
Kuwa na dhamira ya dhati utaacha mkuu km mm niliacha ww huwezi kushindwa maana mm nilikuwa addicted sanaMimi na siku ya pili mkuu,najitahidi niache kabisa hii kitu,kwa heri CHAPUTA
Ila hii kitu ngumu kuacha kiukweli,najitahidi sana niweze,nlishaacha miezi 6Kuwa na dhamira ya dhati utaacha mkuu km mm niliacha ww huwezi kushindwa maana mm nilikuwa addicted sana
Comment imeniacha njia panda, kulingana na maswali unayojiuliza.Vp mkuu mbona waguna tu wewe vp
Hii kitu kama ni shetani, basi kweli kateka akili za watu wengiComment imeniacha njia panda, kulingana na maswali unayojiuliza.
Yaani ni janga.Hii kitu kama ni shetani, basi kweli kateka akili za watu wengi
Unadhani nini kifanyike kuwaokoa vijanaYaani ni janga.
Wapewe elimu juu ya madhara na namna ya kuacha.Unadhani nini kifanyike kuwaokoa vijana
I am one of themWengine wanandoa zao ila wananyetuka.... Wife akisafiri tu ni shida
Acha kuangalia video za ponography
Video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako..
Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga
Bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.
Epuka kukaa nyumbani peke yako
Mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.
Fikiria kuhusu madhara yake
Kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo kama uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.
Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho
Siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.
Tafuta mpenzi kama huna kabisa
Ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.
Anza mazoezi na jishughulishe na mambo mengine
Hii itakufanya ue bize na mambo mengine na utumie mda wako mwingi huko, pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala.