Story inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.
Umejichanganya soma vizuri
 
Hahahahaha emotional offense ni to keep your problems to yourself and move on,wewe ulikua hauli ukashiba ndo maana uume umepoteza nguvu kabisaa,kula vizuri kila cku afu uje ushuhudie,ukiichukulia poa nyeto haina madhara,wenzio tunapiga madem na nyeto kama kawa!.....hahahahhaha
 
Dah iyo kitu mbaya sana ,mm mpaka leo macho yang yamekufa kabisa yan mpaka nimeanza kuvaa miwan.Mwanzoni kabla sijaanza nilikuwa nakaa mwisho wa darasa ila baada ya kuwa mkufunzi wa hii kitu macho yang yakafifia kabisa nihamie mbele lakini bado nikawa sioni kitu.
Af sio hivyo tu bali ilichangia kunishusha kwa kias fulan kimasomo nikawa mtu wa kuvusha vusha tu kila muda na mtu wa kusahau sahau tu kila mara.
 
Mbona mimi napiga punyeto ya kisasa kabisa isiyokuwa na madhara,
Anayehitaji nimpe hujuzi Ani pm
 
hahaha puli nomaa.sasa km mwanaume wa dar ukichanganya na mambo yenu ya kushindia chips na mahindi ya ndimu baaas tena hata mkiona mende road mnatoka nduki
 
Nafikiria kufungua Sober House kwa watu wa kundi hili nalo la kujiselfisha, mkitoka mko freshi kabisa. Wewe kama ni muhanga wa kujiselfisha na unahitaji msaada, LIKE tu hii comment nitakutafuta.
 
daaaah kweli aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…