MicJay
Member
- Apr 19, 2014
- 75
- 29
Tafuta mke uoe kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mke uoe kijana
Kama anamiaka 25 manake kazaliwa 1991 sasa kumuona bro wake inamaana ni toka 1997 sasa kweli jambo aloliona 1997 kweli aje alifanye 2013 [emoji15]Yaani jamaa alimuona bro wake akifanya huo mchezo akiwa na miaka 6 lakini huyu kijana alianza kuufanya huu mchezo mwaka 2013....
Labda nami sijaelewa vizuri, nisahihishwe...
HahahahaMimi nikikuta pichu imeanikwa lazima niichukue nikaipigie puchu kabisa hasa nikimfahamu mmiliki,nimeshindwa kuacha sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Story inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.
Mafuta ya taa ni kwa wote ili kupunguza nyege MkuuIla CHAPUTA dah, wengi hasa boarding wameipitia sana, sometimes school walikuwa wanaweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kupunguza nguvu za kiume au ashki, maana ile kipindi ya balehe ashki huwa ziko juu sana, nadhani CHAPUTA inapunguza mimba shuleni, lakini ni mbaya sana, Vijana muokoke muache haya mambo
Huu ushuhuda Wa kweliDah iyo kitu mbaya sana ,mm mpaka leo macho yang yamekufa kabisa yan mpaka nimeanza kuvaa miwan.Mwanzoni kabla sijaanza nilikuwa nakaa mwisho wa darasa ila baada ya kuwa mkufunzi wa hii kitu macho yang yakafifia kabisa nihamie mbele lakini bado nikawa sioni kitu.
Af sio hivyo tu bali ilichangia kunishusha kwa kias fulan kimasomo nikawa mtu wa kuvusha vusha tu kila muda na mtu wa kusahau sahau tu kila mara.
Pole mkuu,mchezo mbaya sana huu
Nafikiria kufungua Sober House kwa watu wa kundi hili nalo la kujiselfisha, mkitoka mko freshi kabisa. Wewe kama ni muhanga wa kujiselfisha na unahitaji msaada, LIKE tu hii comment nitakutafuta.
Hahaha chooni usiwaekee sabuni tuuNafikiria kufungua Sober House kwa watu wa kundi hili nalo la kujiselfisha, mkitoka mko freshi kabisa. Wewe kama ni muhanga wa kujiselfisha na unahitaji msaada, LIKE tu hii comment nitakutafuta.
Nyeto ni hatari sema ukishaanza kuacha ni shughuli pevu!
Mkuu ubawa wake upo unapokuja kukutana na demu du! unaingiza tu ikipata lile joto la ndani fasta wazungu wanatoka!Uhatari wake nn mkuu? After all inchi ishajaa hii wacha watu wazimwage tu
Kuacha sasa mkuuUbaya wake nn mkuu? Ana guarantee 99% ya kutopata ukimwi
Mkuu ubawa wake upo unapokuja kukutana na demu du! unaingiza tu ikipata lile joto la ndani fasta wazungu wanatoka!
Ukisha kuwa addicted unakuwa huna hamu na mademu kabisa! Unaeza ukaa na demu hata usikumbuke kumtongoza
Mwenzang na mimiHabarini ndugu zangu
Mimi ni kijana wa miaka 25. Nipo maeneo ya kanda ya ziwa.
Hii ndo historia yangu ya ya kuanza kupiga punyeto. Mwaka 2013 ndo rasmi nilianzaga huu mchezo baada ya kusikia story na kumuonaga bro wangu nikiwa na umri wa miaka sita pale nilipoingia bafuri ghafla nikamkuta braza amekaa chini huku nakijiselfisha. Mwaka huo 2013 kama utani katika kuoga maji yamoto nikajikuta na mimi nimeanza huo mchezo.
Kuna kipind nilikua concord ile mbaya nilikua napiga kila baada ya saa ata mara tano kwa siku. Kuna siku nilipiga sasa wakati nipo katikati ya mchezo damu ikaanza kunitoka kwa sababu nilsugua sana nikashindwa niache ikaw raha tu mi nakandamiza tu na damu inatoka na maumivu juu. Niliendelea kupiga ingawa kwenye uume nilikua na vidonda.
Kuna kipindi nilipokua mzoefu niliachan na kupiga kwa sabuni nikawa natumia mate. Yaani nikishatema mate kidogo kwenye mkono basi inatosha kufanya mission possible. Maajabu ni pale kwa mara ya kwanza kupata papuchi aiseee niliaibika san ilishindwa kusimama.
Kwa mara zote tatu nilishindwa kuisimamisha mashine duhh yule binti alinikimbia aisehh. Baada ya ile hali kunijia nilimtafuta mganga mmoja akaniambia kwamba nitafute dawa hizi
1. mafuta ya mzeituni[hay nilikua napaka kuanzia uume wote na kweny korodani] au
2. kachumbari[nadhani mnaelewa kachumbari ile unayoichanya na pilipili mbuzi]
3. asali na mdalasini unaweka mdalasini[sijui kama unaitwa hivy maana ni kama magome ya mtu yanayowasha ukiyatafuna]
Sasa njia zote nilizitumia cha kushangaza yale mafuta ya mzeituni ndo yakawa kilaishi changu cha kpiga puli. Hahaha duhhh kama hujawahi anza huu mchezo please ata usijifunze utajuta. Sasa dawa ndo ivyo ikageuka ndo selfie oil yangu.
Ndugu zangu samahani kama nitakua nimemuuzi mtu huu mchezo nimeshindwa kuuacha. Sasa faida yake ni pale nilipolala na mtu. Aisehh mbona nilichoka kabisa aisehh wazungu wale hawatoki kabisa. But kama ukipata papuchi mnato ka sumaku duhh inatoka fasta na hasara yake ukitumia kondom haumwagi kabisa na saa nyingine inaweza\ isismame
nawasilisha sitaki kebehi
naww ni chama moja na msela sio.nendeni kwa gwajima aisee huo ni ulemavu tyrMwenzang na mimi