Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Basi isiwe tabu rekebisha story yako coz umesema mwaka 2013 ukiwa na miaka 6 hapo paangalie uzuri.kwa mara ya kwanza kumuona my bro nilianza mwaka 2013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi isiwe tabu rekebisha story yako coz umesema mwaka 2013 ukiwa na miaka 6 hapo paangalie uzuri.kwa mara ya kwanza kumuona my bro nilianza mwaka 2013
Umejichanganya soma vizuriStory inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.
Ankal hata wewe? Btw, how have u been bro? Town mnasemaje? TehDah acheni hizi mada ,kila naposoma inabidi nikajikumbushie
Hahaa aisee all good bro cant real complain ,haha bado nipo bush ndugu yangu acha tuAnkal hata wewe? Btw, how have u been bro? Town mnasemaje? Teh
Aisee hata mimi hapa nimechekaHahahaha nimecheka sana '' sasa dawa inageuka ndo self oil''
daaaah kweli aiseeeDah iyo kitu mbaya sana ,mm mpaka leo macho yang yamekufa kabisa yan mpaka nimeanza kuvaa miwan.Mwanzoni kabla sijaanza nilikuwa nakaa mwisho wa darasa ila baada ya kuwa mkufunzi wa hii kitu macho yang yakafifia kabisa nihamie mbele lakini bado nikawa sioni kitu.
Af sio hivyo tu bali ilichangia kunishusha kwa kias fulan kimasomo nikawa mtu wa kuvusha vusha tu kila muda na mtu wa kusahau sahau tu kila mara.
duuuuuh we noumaaah aiseeemi napiga ni muda xx km miaka 8 pia napiga show za kibabe htr ucjrbu
Amini hivyo kiongozi yan iyo kitu tamuu lakn dah........majangadaaaah kweli aiseee
We uko bush? Naskia baadae kuna party zenu sijui 'no tie after 5' mnapaitaje sijui rhapsody ndio nimepanda gari ya mkaa nakuja.. LolHahaa aisee all good bro cant real complain ,haha bado nipo bush ndugu yangu acha tu
Hahahaha wewe niwakilishe tu maana huku nilipo mpaka tena nipate usafiri wa treni ni keshoWe uko bush? Naskia baadae kuna party zenu sijui 'no tie after 5' mnapaitaje sijui rhapsody ndio nimepanda gari ya mkaa nakuja.. Lol
Badili avatar ,nikiiona tu nasimamisha ujue
Aaaah ya punda au ndoo?Tatizo ni nyota yako tu