c..rella Brains
Member
- Oct 3, 2011
- 66
- 10
Safi sana karibu CHAWAPUTA mkuu kuna nafasi nzuri tu tunakuandalia ktk chama...karibu sana
najuutaje!?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana karibu CHAWAPUTA mkuu kuna nafasi nzuri tu tunakuandalia ktk chama...karibu sana
mwambie mkuu, hakuna kubebana hapa. kila mtu kwa miguu yake. hakuna wengi wenye tabia kama hii ni yeye mwenyewe na kama wapo kila mtu atajitetea kwa nafsi yakeNarekebisha tu mkuu najua umekosea, Hapo kwenye RED sema TUNA na sio WANA na hapo chini ni UTATU badala ya UTAWA. Hilo tu!
mwambie mkuu, hakuna kubebana hapa. kila mtu kwa miguu yake. hakuna wengi wenye tabia kama hii ni yeye mwenyewe na kama wapo kila mtu atajitetea kwa nafsi yake
una uhakika na usemacho? tuheshimiane. ntakupasuaacha uongo, wewe na GAZETI wote mna likong'oli, labda mnatofautiana ratiba tu.
solution hiyo kwenye red hapo,ukiweza hilo...umeweza kujikomboa!Sasa mkono wako ukipata mimba utafanyeje? loh acha ubakaji mkono una haki pia hadi ukubali wenyewe!!
pole kijana Punguza kuangalia Ngono!! delete porn zote kwenye PC yako,. ni hilo tu
mimi nimepiga puli tangu nimeanza kubalehe20years ago, mwanzo nilijua mimi ndo mgunduzi wa hiyo kitu, nimeshangaa kufika magamba sekondari (sasa sekuco) watu wanalitambua, nikaunganisha tosamaganga ndo nkakuta jamaa wanafaa kupiga foleni bafuni kila mtu kabeba kipicha chake cha hisia, nimeacha puli mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kuoa, limenisaidia maana sijakong'oli sana mademu, sina dalili yeyote yakupungukiwa nguvu za kiume, wanaume wote wanapiga puli, tofauti ipo kwenye ratiba tu, wengine kila siku kama ilivyokuwa mimi, wengine kwa wiki mara moja, wengine kwa mwezi,
acha kufanya vitu vya ajabu,...hebu tuambie kwanza kwa nini unajichua wakati wanawake wapo kibao"?...acha huo upuuzi ni ubinafsi ambao hata shetani hapendiMsaada kwenye tuta,naomba mnitajie madhara makubwa yanayotokana na kujichua,nataka yanitishe ili niache
We mwanamke au mwanaume?kama mme; Kupungua nguvu za kiume,kupiga bao mapema ukiwa na mwanamke dk2 tayari,kutojiamin ukiwa na mwanamke matokeo yake humfikishi mwanamke,kupungua uwezo wa kufikiri,
TII KIU YAKO
Pole sana maana uwezo wako wa kufikiri ushapungua sijui utafanyahii kupungua uwezo wa kufikiri imenistua kidogo...
kwan nina ndoto za kuwa mtu mkubwa ktk fan ya computer kama Emeagwal wa nigeria
Yaah,kupungua uwezo wa kufikiri ni serious problem