Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Narekebisha tu mkuu najua umekosea, Hapo kwenye RED sema TUNA na sio WANA na hapo chini ni UTATU badala ya UTAWA. Hilo tu!
mwambie mkuu, hakuna kubebana hapa. kila mtu kwa miguu yake. hakuna wengi wenye tabia kama hii ni yeye mwenyewe na kama wapo kila mtu atajitetea kwa nafsi yake
 
Muombe Mungu akusaidie uache, halafu ukiweza uoe na umpende mkeo. Usiseme umeshindwa bali jitahidi kuacha vinginevyo utakuwa unapigana vita uliyoshindwa tayari na matokeo yake ni kushindwa
 
mimi nimepiga puli tangu nimeanza kubalehe20years ago, mwanzo nilijua mimi ndo mgunduzi wa hiyo kitu, nimeshangaa kufika magamba sekondari (sasa sekuco) watu wanalitambua, nikaunganisha tosamaganga ndo nkakuta jamaa wanafaa kupiga foleni bafuni kila mtu kabeba kipicha chake cha hisia, nimeacha puli mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kuoa, limenisaidia maana sijakong'oli sana mademu, sina dalili yeyote yakupungukiwa nguvu za kiume, wanaume wote wanapiga puli, tofauti ipo kwenye ratiba tu, wengine kila siku kama ilivyokuwa mimi, wengine kwa wiki mara moja, wengine kwa mwezi,
 
mwambie mkuu, hakuna kubebana hapa. kila mtu kwa miguu yake. hakuna wengi wenye tabia kama hii ni yeye mwenyewe na kama wapo kila mtu atajitetea kwa nafsi yake

acha uongo, wewe na GAZETI wote mna likong'oli, labda mnatofautiana ratiba tu.
 
jitahidi upate gal anayeweza mapenzi vyema.....utakuwa unamkumbuka yeye na mambo yake ya kitandani sana, itakusahaulisha kujichua kimtindo,,,,,,,,,kwa ushauri zaidi nitakute ndugu yangu
 
Sasa mkono wako ukipata mimba utafanyeje? loh acha ubakaji mkono una haki pia hadi ukubali wenyewe!!

pole kijana Punguza kuangalia Ngono!! delete porn zote kwenye PC yako,. ni hilo tu
solution hiyo kwenye red hapo,ukiweza hilo...umeweza kujikomboa!
 
Usiache mkuu raha jipe mwenyewe..ila angalia usije ambukizwa vvu na mikono hiyo anza kuvaa kondom kama hauvai.
 
. . . As long as Unajua na unahakika kabisa tene kwa akili timamu, kuwa ni nini kitakuua kama ulivyosema mwnyewe... go on .. tafuta hicho kifo ... usisumbue watu kwa swali ambalo unautambuzi wake.. Unajua ninasemaje ... you deserve to die ... kama huhitaji hicho kifo ... you know what NOT to do AU? ... That is the hard truth you need to here to serve your life SIR!!
 
mimi nimepiga puli tangu nimeanza kubalehe20years ago, mwanzo nilijua mimi ndo mgunduzi wa hiyo kitu, nimeshangaa kufika magamba sekondari (sasa sekuco) watu wanalitambua, nikaunganisha tosamaganga ndo nkakuta jamaa wanafaa kupiga foleni bafuni kila mtu kabeba kipicha chake cha hisia, nimeacha puli mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kuoa, limenisaidia maana sijakong'oli sana mademu, sina dalili yeyote yakupungukiwa nguvu za kiume, wanaume wote wanapiga puli, tofauti ipo kwenye ratiba tu, wengine kila siku kama ilivyokuwa mimi, wengine kwa wiki mara moja, wengine kwa mwezi,

aaah aaah umejuaje?
 
unaenda malangapi lafik mana mimi nilikuwa naenda mala 3kwa ciku, nakushauli uache ni mbaya kisaikolojia.
 
Msaada kwenye tuta,naomba mnitajie madhara makubwa yanayotokana na kujichua,nataka yanitishe ili niache
 
Msaada kwenye tuta,naomba mnitajie madhara makubwa yanayotokana na kujichua,nataka yanitishe ili niache
acha kufanya vitu vya ajabu,...hebu tuambie kwanza kwa nini unajichua wakati wanawake wapo kibao"?...acha huo upuuzi ni ubinafsi ambao hata shetani hapendi
 
We mwanamke au mwanaume?kama mme; Kupungua nguvu za kiume,kupiga bao mapema ukiwa na mwanamke dk2 tayari,kutojiamin ukiwa na mwanamke matokeo yake humfikishi mwanamke,kupungua uwezo wa kufikiri,
TII KIU YAKO
 
We mwanamke au mwanaume?kama mme; Kupungua nguvu za kiume,kupiga bao mapema ukiwa na mwanamke dk2 tayari,kutojiamin ukiwa na mwanamke matokeo yake humfikishi mwanamke,kupungua uwezo wa kufikiri,
TII KIU YAKO

hii kupungua uwezo wa kufikiri imenistua kidogo...kwan nina ndoto za kuwa mtu mkubwa ktk fan ya computer kama Emeagwal wa nigeria
Yaah,kupungua uwezo wa kufikiri ni serious problem
 
hii kupungua uwezo wa kufikiri imenistua kidogo...
kwan nina ndoto za kuwa mtu mkubwa ktk fan ya computer kama Emeagwal wa nigeria
Yaah,kupungua uwezo wa kufikiri ni serious problem
Pole sana maana uwezo wako wa kufikiri ushapungua sijui utafanya
nini kutatua hilo tatizo. Labda tuulize kwa wachina kama kuna dawa ya
kurudisha uwezo wa kufikiri!
 
Back
Top Bottom