tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
acha kufanya vitu vya ajabu,...hebu tuambie kwanza kwa nini unajichua wakati wanawake wapo kibao"?...acha huo upuuzi ni ubinafsi ambao hata shetani hapendi
Mkuu usimkatishe tamaa, hata akitubu?Hauendi mbinguni
haka kamchezo kameniharibia kabisa mpendwa Feis 1000,nimekaa Libya miaka 7 basi kazi ilikuwa ni hiyo tu kupiga puli kwa kwenda mbele,sasa hivi niko kama nyoka wa kibisa labda nimpate mrembo kama wewe ndio ninakuwa na msisimko wa kufanya tendo la ndoa.mmmh! haka kamchezo kameshamiri sana humu ndani!
Hiyo kwangu ni faida kaka!ukifanya punyeto,ham na tamaa za kijingajinga kwa wanawake zinapotea.Mwenye uelewa zaidi kuhusu faida na madhara ya kupiga punyeto kwa mwanaume.PLZ NIANDIKIE...
hivi kwa nini ujichezee mwenyewe wakati kuna wadada kibao wanaoweza kutomasa hiyo mitaimbo to full satisfaction hata bila kupenetrate