Punyeto ni nini na nini madhara yake?
acha kufanya vitu vya ajabu,...hebu tuambie kwanza kwa nini unajichua wakati wanawake wapo kibao"?...acha huo upuuzi ni ubinafsi ambao hata shetani hapendi

kumbe wanawake wapo kibao et
 
Wapiga puli wote moton mkapigie vzuri. Mung aliweka kabisa usipo pata dem kuna ndoto nzur na tam kabisa kuliko nyeto.
 
mmmh! haka kamchezo kameshamiri sana humu ndani!
haka kamchezo kameniharibia kabisa mpendwa Feis 1000,nimekaa Libya miaka 7 basi kazi ilikuwa ni hiyo tu kupiga puli kwa kwenda mbele,sasa hivi niko kama nyoka wa kibisa labda nimpate mrembo kama wewe ndio ninakuwa na msisimko wa kufanya tendo la ndoa.
USHAURI:
Muulizaji acha kabisa ni balaa tupu kwenye hii kitu inaitwa punheta
 
Nyie acheni mambo yenu ya kupromote p ...!, we unafikiri kwa nini dunia iliumbwa na watu wa jinsi zote? Hako kamchezo kenu si kazuri ingawa ni salama kwa kuwa hakuna uwezekano wa kupata magonjwa ya kuambukizwa na pia hakuna kuumizwa umizwa sana kwa kufumania na kufumaniwa!
 
ukifanya punyeto,ham na tamaa za kijingajinga kwa wanawake zinapotea.Mwenye uelewa zaidi kuhusu faida na madhara ya kupiga punyeto kwa mwanaume.PLZ NIANDIKIE...
 
Sasa ulichoandika ni madhara au faida? Badilisha title au ndo hujui unachotaka? Anyway Kama ulivyoanza kujichanganya mwenyewe, punyeto Ina faida tu haina hasara wala madhara kwa afya ya mwanamke na mwanaume.
 
ukifanya punyeto,ham na tamaa za kijingajinga kwa wanawake zinapotea.Mwenye uelewa zaidi kuhusu faida na madhara ya kupiga punyeto kwa mwanaume.PLZ NIANDIKIE...
Hiyo kwangu ni faida kaka!
 
Punyeto inafanya mtu anapoteza kumbukumbu na pia maumivu ya backbone.
 
hivi kwa nini ujichezee mwenyewe wakati kuna wadada kibao wanaoweza kutomasa hiyo mitaimbo to full satisfaction hata bila kupenetrate
 
内容kaka hapo hamna madhara ni full maraha tena ukitaka inoge fresh piga huku ukiangalia porno
 
Kila kitu kina madhara, hata kufanya ngono kupita kiasi kuna madhara yake..
 
Back
Top Bottom