Miaka 15 ulijaribu dhambi, dhambi haijaribiwi mkuuu. Sasa hiyo ni rasha rasha bado Mvua kamili.

Hapo subiri muda wa kuoa, ukishakuwa na mke wako ndio utatia adabu. Unajifunza dhambi alafu unataka ubaki bila mashaka.

Jiandae mkeo kubanjuliwa tuu maana hukutaka kuwaheshima wanawake wa wenzako na wako hawatamheshimu.

Malipo ni hapa hapa, jiandae.
Hilo ndio la kukumbuka. Uwe fiti kipindi hichi ili iweje. Ili utende maovu, ili upate ukimwi, au mashaka ya rohoni, au unataka kuchanganyikiwa nafsini mwako.

Wazinzi ndio wanaoshika nafasi ya pili kwa mashaka na kuchanganyikiwa baada ya wauaji.

Hivyo tambua unapanga kuchagua fungu baya
 
Labda una upungufu wa testosterone/hormones za kiume, nenda for checkup, wataalamu wa mambo ya uzazi, urology,lymphocytes nk naamini watakusaidia
 
Ntafute 0655229028
 
siasa ya bongo mi ishanishidanga naona mapichapicha tu ndio maana nimejkita kutoa formula ya kuandaa matunda ukiwa nyumban yaan unakua unaweka katika ratiba yako ya chakula asubuh au jion unakula huku unajitibu tatizo la nguvu za kiume kama uume kukosa nguvubkushindwa kurudia kunywea katikat ya tendo kukosa manii kukosa hamuya tendo na nk weng wanapona tiba ni uhakika siku ya pili tu unaona change bila hata kufanya mapenz ukisimamisha uume utaoba unakua mgumu kama jiwe gharama zangu ni elfu 20 tu kwa formula inayotumwa via whats app 0712505049 au ingia instagram jina langu dr appoh kishimbo
 
Wewe utakua na tatizo lingine mimi nimepiga nyeto tokea 1992 hadi Leo na bado nikiingia arena ni show show tu!
 
acha porojo ww duniani kote tafiti zote hazijaonyesha kama punyeto ina leta matatizo hayo! au ww hiyo reserch ulifanyia wapi??
 
duniani kuna imani tofauti usidhani kila mtu ni muumini wa hivyo vitabu vyako vitakatifu
 
sex is mindset game! nilibahatika kupata semina za Afya na uzazi kutoka kwa Madaktari kutoka Uingereza na India tulikuwa wanafunzi by the time watu waliuliza sana hayo maswali but wote walitoa majibu kuwa hamna reserch yoyote ambayo ilisema punyeto ina madhara!
 
Mkubwa hii kitu ina madhara vijana wengi wanaumia na hii kitu
 
Itachukua miaka mingi sana mpaka nije kuamini punyeto ina madhara.
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 13,nimekuja kuacha baada ya kuoa na sijapata tatzo lolote mpaka hivi sasa.
Wewe itakuwa una matatizo yako ya kiafya wala usisingizie punyeto
Inategemea mkuu ulikuwa unapiga kwa stail gani, kama ya mkoni lazima upate madhara baada ya mda.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamaa kweli atakuwa mwanandoa uyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…