0712505049whatsapp
 
 
Weka Picha mkuu
 
Mkuu nenda feri pale nunua pweza wakubwa wawili jike na dume,waandae vizuri then. Wachemshe supu na weka tangawizi nyingi nyingi na vitunguu thaumu kiasi ,weka ktk bakuli kula ASUBUHI na jioni mpk imalize ,usisahau kuweka na ndimu kwa mbali katika bakuli ya supu .halafu lete mrejesho.hapa
 
Tafuna vitunguu saumu vitatu kila siku asubuhi unapoamka tu,alafu uwe unakunywa maji ya kutosha.
Mwezi mmoja tu utapiga dudu mpk ushangae
 
Wewe ni sifuri tu,usije kujinywea madawa meeeengiii ukajitafutia majang mengine,wengine wanazaliwa hawana nguvu tu,wengine wanapiga punyeto mpaka uzeeni tena goli mbili au tatu kwa siku,na bado wanauwezo wa.kubaka katika umri wa miaka 63.
moja linakutosha
 
Mkuu nikiri kwamba kutokana na hili bandiko na muda uliolibandika humu jukwaani, inanipa mashaka kuwa ni wewe ambaye demu wako huyo mwenye elimu kiwango cha degree amenihabarisha kuhusulo. Nimekuwa nikitafuta namna ya kukushauri lakini nashindwa maana wewe ni rafiki yangu ila hujui tuliwahi kumshea huyo demu zamani hadi mimi nilipooa ndo akabaki na wewe. Ni baada ya mimi kuoa ndipo alikuta tunafahamiana kupitia Facebook na aliponiuliza nilikiri kukufahamu. Sasa mkuu nikikuangalia hasa baada ya huyo demu jana kunihadithia tena vile umeshindwa kumpuliza, nashindwa kuamini. Yeye anahisi labda umezitoa kafara nguvu zako ili upate mali.

Anyway inawezekana kuwa si wewe but kuna mwenzio pia anataabika huku mkoani (si mwanaume wa Dar).

Ninakuombea urudiwe na nguvu zako. Ila jitahidi kufuta porn video kwenye storage zako. Jibidiishe na kazi na mazoezi. Soma vitabu vitakatifu n.k
 
Habari Jf Doctors!
Ninayofuraha kubwa kuwaambia kesho january 6 2017 natimiza miezi nane bila kufanya masterbution.
Kiukweli nilihangaika sana kuacha huu mchezo ambao nimeutumikia zaidi ya miaka 6.
Shukrani za pekee sana kwa wadau wote wa jukwaa hili. simaanishi nimeshinda vita hii bali nina sababu ya kusema naelekea sehemu nzuri ya kushinda vita hii. Mungu anisaidie sana..!
 
Hongera zako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…