Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 845
Punyeto za nini nyie, mbona tumejaa kibao. wanaume wa siku hizi madomo zege!!
maomba mnisaidie kama ni kweli kuwa punyeto haina madhara kama wanavyodai wataalam mbalimbali
maomba mnisaidie kama ni kweli kuwa punyeto haina madhara kama wanavyodai wataalam mbalimbali
Kuna jamaa yangu anapiga nyeto kila siku anatumia lotion
Punyeto za nini nyie, mbona tumejaa kibao. wanaume wa siku hizi madomo zege!!
Punyeto za nini nyie, mbona tumejaa kibao. wanaume wa siku hizi madomo zege!!
Hamsomeki sasa,wengine mpaka soli za viatu vimeisha,kisa kufukuzia dem miezi 4,hapo unategemea nin Prof Eng?kitakachofuata ni kupiga nyeto tu!raha jipe mwenyewe.
;-D naskia hata madem wenyewe pia wanapiga nyeto
Wengine mfuko unagomba.Punyeto za nini nyie, mbona tumejaa kibao. wanaume wa siku hizi madomo zege!!
hilo kuliacha ni ngumu inaonekana umeanza kulipiga tangu boarding o'level.
Mi nimepiga kuanzia standard 6,mpaka leo over 20 yrs napiga tu!ntafanyaje niache?