Serikali naomba ituingilie Kati na sisi wapiga punyeto.. Tunateseka Sana na arosto. Mi nisipopiga wiki tu. Naona kama mwaka mzima. Madhara yote nayajua ila sikomi, hapa kwenyewe nmetoka kupiga kimoja ndo naukuta Uzi huu ikabidi nicheke kwanza
Teh.. Teh.. Teh..
Serekali ingilieni Kati swala hili vijana linatumaliza
 
Hili tatzo hata mm ninalo na nimedumu nalo Kwa miaka zaidi ya kumi,Kuna wakat ilinisaidia kujistahi kuhusu mademu,lakini pia nilichoipendea licha ya utamu wake ilinisaidia Sana kunipa stamina WAKATI WA kukaza Yan nikishakitupa kimoja chooni demu namvuruga hata masaa manne Bila kupiz had wenyewe walikuwa wanashangaa,madhara yake Sasa Nimegundua Nina tatzo ktk kumbukumbu Yan msahaulifu Sana na hii ilinipa shida hata ktk usomaji wangu ilibidi nitumie nguvu nyingi ktk kusoma Sana ili nikumbuke vitu,pia tatzo jingine ukishapiz ndani kuendelea ni shughur ngumu Sana labda upiz nje Lakin ukipiz ndani unaweza jikuta demu unampiga kimoja tu,pia demu akikupa usumbufu ktk kuingiza labda anabanabana mapaja dushe inalala,Lakin pia Kuna suala LA kushindwa kumpa mimba mke wangu,Nina mwaka Sasa ktk ndoa najaribu kumpa mimba waifu inashindikana na najua ni sababu ya nyeto sababu Sasa hv mbegu hazitoki Kwa kuruka Kwa Kas kama zaman,badala yake zinatililika tu nadhan hii inachangia kutompa mimba,Nina wiki na nusu Sasa nimeacha lakini arosto yake nayo ni shida kwelkwel maana nasikia mpaka kama nawashwawashwa Kwa ndani na hii wiki na nusu nimefikisha sababu nipo ktk mazingira ambayo sipo peke yangu kwahyo sipo huru kufanya ila nimedhamilia nikirud home nakomaa naacha nyeto jumla maana nataka mtoto Sasa nyeto tamu mno lakini inatosha niwaachie mateenager Sasa.
 
Hili ni janga lisilo tangazwa ila lipo na ni ngumu kuji nasua ila kma ukibadili mtindo wa maisha inawekana hasa matumizi ya smartphone na internet
Ni ngumu maana vijana wetu wakijinasua kuangalia porn bado changamoto nyingine wanakutana na avatar kama hiyo yako humu JamiiForum
 
Hivi kula SELFIE na ngada kipi afadhali?
Selfie nitaacha baadae sana
 
Jitahidi uache, una mke na bado unapiga nyeto?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Good idea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani wewe binti umenifanya nicheke sana.

Kuna mfanya kazi mwenzangu ni mwathirika wa Selfie yaani hata kama anahudumia mgonjwa akiwashwa ananipigia simu ananiambia lile pepo limerudi tena, sasa mimi nilikuwa namwonea huruma nakumsaidia session yake nikidhani ana mapepo kweli, kumbe hapo akisema mapepo ujue alikuwa anamhudumia mwanamke akaona maziwa au mapacha, fastaa anawahi chooni kujilipua, akirudi unaskia pepo limenitoka ila limeniachia uchovu!

Sasa kabla yakumfuma, nilijua nguvu za giza kumbe jamaa ndio vile, akaja kumiambia kwa siku ni lazima ajilipue km mara tatu na ole wake siku ambayo hana zamu usiku??[emoji23][emoji23]
 
Swali,je kama ulisha athirika na punyeto kwa maana umepungukiwa na nguvu za kiume ukiacha kupiga punyeto unaweza rudisha nguvu za kiume au hadi upate matibabu?
 
Aseee....somo zito.nmepashika ktk dondoo za kuacha nmekuelewa ntazifata maana na mm niliaza mchezo huu nikiwa sekondari adi chuo na sasa npo kazin
 
jamani wakuu...
mimi binafsi nilianza punyeto mwaka jana mwezi wa kumi baada ya kuona post nyingi kuhusu punyeto humu jukwaani. sasa nina mpango wa kuacha japo nimekuwa nikijaribu lakini nikishinwa.
kwa hiyo kwa yeyote mwenye lengo kama langu, tufarijiane, tutiane moyo na kupena mbinu za kuacha puchu...karibuni wanachama wapya
 
Kwanza mimi si mwanachana wa chaputa.

Neno kuacha halitakiwa litoke kinywani tu bali udhamirie kweli na usirudi nyuma.

Jiepushe na mazingira yote yasiyofaa ambayo huwa yanakufanya kushawika na kujichua mfano kuangalia picha au video ambazo zinakufanya kusisimka n.k

Kubwa zaidi fikiria zaidi hasara zake hasa pale unapotamani kujichua mfano kukosa nguvu za kiume,

Chukulia mfano umeoa halafu mkeo akawa anakupenda kwa dhati ila ukashindwa kumtoa ashki,hamu zake hivyo ikamlazimu kutoka na mwanamme mwingine na yule mwanaume akawa anakuzarau na kusema kwa watu kuwa huiwezi mechi.....fikiria hali utakayokuwa nayo baada ya hayo kukutokea

Nikupongeze kugutuka mapema maana kuna watu wana zaidi ya miaka 7 na hawajawahi kupata wazo la kuacha....kujichua hakufai jamani mtachukuliwa wake zenu mbele ya macho yenu hivi hivi
 
Njia nyingine ya kuacha nyeto ni kutafuta demu,ila siyo mademu.
Asilimia kubwa ya wanaume tumepitia nyeto sema kila mtu aliacha kwa style yake
 
Siwez kuacha nyeto bro
Kwanza najipimia mwenyewe saizi yangu.nikitaka tight au bwawa na twist vidole vyangu tu.
Pili inapunguza gharama ya voucher,mitoko ya dinner na lunch,pesa za saloo,kifupi vizinga hamna ni just sabun Ayu yako ya jero au mafuta mgando ya jero.
Tatu kila unapojisikia unafanya sio mpaka ubembeleeze mara hana nauli,mara mama kaja siji tena huku mi nimedinda balaa,

Jamani rahaaa sio rahaaaa???
Kidumu CHAPUTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…