Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Serikali naomba ituingilie Kati na sisi wapiga punyeto.. Tunateseka Sana na arosto. Mi nisipopiga wiki tu. Naona kama mwaka mzima. Madhara yote nayajua ila sikomi, hapa kwenyewe nmetoka kupiga kimoja ndo naukuta Uzi huu ikabidi nicheke kwanza
Teh.. Teh.. Teh..
Serekali ingilieni Kati swala hili vijana linatumaliza
 
Hili tatzo hata mm ninalo na nimedumu nalo Kwa miaka zaidi ya kumi,Kuna wakat ilinisaidia kujistahi kuhusu mademu,lakini pia nilichoipendea licha ya utamu wake ilinisaidia Sana kunipa stamina WAKATI WA kukaza Yan nikishakitupa kimoja chooni demu namvuruga hata masaa manne Bila kupiz had wenyewe walikuwa wanashangaa,madhara yake Sasa Nimegundua Nina tatzo ktk kumbukumbu Yan msahaulifu Sana na hii ilinipa shida hata ktk usomaji wangu ilibidi nitumie nguvu nyingi ktk kusoma Sana ili nikumbuke vitu,pia tatzo jingine ukishapiz ndani kuendelea ni shughur ngumu Sana labda upiz nje Lakin ukipiz ndani unaweza jikuta demu unampiga kimoja tu,pia demu akikupa usumbufu ktk kuingiza labda anabanabana mapaja dushe inalala,Lakin pia Kuna suala LA kushindwa kumpa mimba mke wangu,Nina mwaka Sasa ktk ndoa najaribu kumpa mimba waifu inashindikana na najua ni sababu ya nyeto sababu Sasa hv mbegu hazitoki Kwa kuruka Kwa Kas kama zaman,badala yake zinatililika tu nadhan hii inachangia kutompa mimba,Nina wiki na nusu Sasa nimeacha lakini arosto yake nayo ni shida kwelkwel maana nasikia mpaka kama nawashwawashwa Kwa ndani na hii wiki na nusu nimefikisha sababu nipo ktk mazingira ambayo sipo peke yangu kwahyo sipo huru kufanya ila nimedhamilia nikirud home nakomaa naacha nyeto jumla maana nataka mtoto Sasa nyeto tamu mno lakini inatosha niwaachie mateenager Sasa.
 
Hili ni janga lisilo tangazwa ila lipo na ni ngumu kuji nasua ila kma ukibadili mtindo wa maisha inawekana hasa matumizi ya smartphone na internet
Ni ngumu maana vijana wetu wakijinasua kuangalia porn bado changamoto nyingine wanakutana na avatar kama hiyo yako humu JamiiForum
 
Hivi kula SELFIE na ngada kipi afadhali?
Selfie nitaacha baadae sana
 
Hili tatzo hata mm ninalo na nimedumu nalo Kwa miaka zaidi ya kumi,Kuna wakat ilinisaidia kujistahi kuhusu mademu,lakini pia nilichoipendea licha ya utamu wake ilinisaidia Sana kunipa stamina WAKATI WA kukaza Yan nikishakitupa kimoja chooni demu namvuruga hata masaa manne Bila kupiz had wenyewe walikuwa wanashangaa,madhara yake Sasa Nimegundua Nina tatzo ktk kumbukumbu Yan msahaulifu Sana na hii ilinipa shida hata ktk usomaji wangu ilibidi nitumie nguvu nyingi ktk kusoma Sana ili nikumbuke vitu,pia tatzo jingine ukishapiz ndani kuendelea ni shughur ngumu Sana labda upiz nje Lakin ukipiz ndani unaweza jikuta demu unampiga kimoja tu,pia demu akikupa usumbufu ktk kuingiza labda anabanabana mapaja dushe inalala,Lakin pia Kuna suala LA kushindwa kumpa mimba mke wangu,Nina mwaka Sasa ktk ndoa najaribu kumpa mimba waifu inashindikana na najua ni sababu ya nyeto sababu Sasa hv mbegu hazitoki Kwa kuruka Kwa Kas kama zaman,badala yake zinatililika tu nadhan hii inachangia kutompa mimba,Nina wiki na nusu Sasa nimeacha lakini arosto yake nayo ni shida kwelkwel maana nasikia mpaka kama nawashwawashwa Kwa ndani na hii wiki na nusu nimefikisha sababu nipo ktk mazingira ambayo sipo peke yangu kwahyo sipo huru kufanya ila nimedhamilia nikirud home nakomaa naacha nyeto jumla maana nataka mtoto Sasa nyeto tamu mno lakini inatosha niwaachie mateenager Sasa.
Jitahidi uache, una mke na bado unapiga nyeto?
 
me nna mwaka na miez kadhaa tangu mara ya mwisho kuchukucha,lakini nimeshaacha mara nyingi sana na baada ya muda mrefu siku nikiwa na maupwilu najipa moyo kuwa "mbona sijapiga siku nyingi" napiga tena,bas hapo najikuta napita frequently hata ndani ya wiki tatu,nawaza tena madhara yake naacha.nashukuru sijawahi kuwa na consistency ya kupiga on daily basis nadhani hyo ndo imesaidia sijawahi kupata madhara makubwa.saiv nimejiwekea kuwa nikiwa nachat nipo online na nipo geto peke yangu nikijisikia wigo naenda kulala au natafuta shughuli nyingine ya kufanaya.niliamua kuimagine kuwa kuna mtu ananiroga nipge puli so nashindana naye, sipigi hata wigo upande vipi.nikiona wigo umepanda natoka nje huku nasema"bado hujanipata mshenzi wewe!" ahaha! hii imani ya kipumbavu ilinisaidia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dawa yako hiyo inaongeza nyege mwili coz zina virutybisho asilia vya protini.

Pia tambua Kujilipua(masterbation) ni ugonjwa wa kisaikolojia na wala haihitaji dawa za mitishamba au za hospitalini zaidi ya kuutrain ubongo wako kuacha.

Hakuna dawa ya musterbation zaidi yakuacha kufikiria kujichua, vile vile kukaa mbali na vishawishi vya ngono km vike picha na video za uchi
Good idea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani wewe binti umenifanya nicheke sana.

Kuna mfanya kazi mwenzangu ni mwathirika wa Selfie yaani hata kama anahudumia mgonjwa akiwashwa ananipigia simu ananiambia lile pepo limerudi tena, sasa mimi nilikuwa namwonea huruma nakumsaidia session yake nikidhani ana mapepo kweli, kumbe hapo akisema mapepo ujue alikuwa anamhudumia mwanamke akaona maziwa au mapacha, fastaa anawahi chooni kujilipua, akirudi unaskia pepo limenitoka ila limeniachia uchovu!

Sasa kabla yakumfuma, nilijua nguvu za giza kumbe jamaa ndio vile, akaja kumiambia kwa siku ni lazima ajilipue km mara tatu na ole wake siku ambayo hana zamu usiku??[emoji23][emoji23]
 
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.

Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine.

Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia njia mbali mbali za kujitomosa na kujipa papasa ya kujistarehesha.

Hakuna mtu anayezaliwa akijua jinsi mwili wake unavyoitikia msisimko wa kimapenzi. Inakubidi kujifunza kwa majaribio salama.

Na, kwa vile kila mtu yuko tofauti, njia nyengine ya kujua jinsi unavyoweza kumstarehesha mpenzi wako, ni kujifunza kutoka kwako mwenyewe.

Shughulika zaidi na sehemu ambazo zinasisimka kwa urahisi.

Unaweza kufikia kilele cha starehe yako kwa kuitomasa tomasa **** au kisimi, lakini kutakupa hamu kubwa na ashiki, na kufikia kutoshelezwa vya kutosha, kama utapapasa pia sehemu nyenginezo za mwili wako.

KWA NINI PUNYETO HUONEKANA KUWA MAKOSA?

Msimamo wa dini nyingi na watu wengi ni kuwa punyeto ni dhambi, mwiko, jambo lililokatazwa, jambo lisilokubalika kabisa.

Lakini wanasanyansi wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu, ni imani za kibinafsi na chaguo la mtu.

Wanaume wengi na wanawake hupiga punyeto maishani mwao, kwa sababu huwafanya wakajisikia vizuri na huondoa dhiki za mihemko ya kimapenzi bila kujiingiza katika ngono na mtu mwengine.

Pia hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ikiwemo virusi vya HIV ni kichocheo tosha kinachopelekea baadhi ya watu kupiga punyeto.

FAIDA ZA KUPIGA PUNYETO.
1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi)

2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.

3)Kujua "vipele vyako viliko".

4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda.

5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine.

Hizi ni baadhi tu ya faida zipo faida nyingi.

Pamoja na faida hizo vivle tukiangalia upande mwingine wa shilingi tunayaona haya hapa chini.

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO.

Ifahamike kuwa kuna watu wengi sana wanatumia mikono yao kujichua katika sehemu nyeti, Jambo hili linamadhara makubwa sana kwa binaadamu, Jambo hili kwa lugha ya kiingereza wanaliita Masturbution, ni kitendo cha mwanaume kujisugua tupu zake.

Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo. Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa khasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.

Jambo jingine hatari linalo mkabili mpiga Punyeto ni upotevu wa hisia wakati wa kujichua kwa mfano ili afike kwenye kilele lazima akuze hisia zake kwa kiwango cha juu, pengine kupita ukweli halisi ataokutana nao pindi atakapokuwa na mwanamke faraghani.

Mpiga Punyeto hajitoshelezi mpaka amlete kwenye hisia mrembo kama Miss World kisha amvike utundu wa kimahaba ampe manjonjo hadi mwenyewe atosheke, kwa namna hii mwanaume mwenye kufanya mazoea ya kufanya hisia za wanawake warembo ambao hawezi kuwapata kwa hali halisi anapokutana na kina Mwafulani wa mtaani tena sio mtundu kimapenzi, hapo kamwe hawezi kusisimka mwili na hivyo kujikuta Uume wake husimama kwa kiwango cha chini sana.

Madhara mengine yanayopatikana ndani ya kitendo hiki ni kuumwa sana na kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na macho, madhara mengine makubwa khasa mwanamme anaejichua mara mbili au tatu kwa siku ni kushidwa kuzalisha, hii inatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume kwenye mfuko wa uzazi.

Hii yote madhara ya hapa duniani lakini kwa Mungu ni mwisho wa hisabu kwani ''Amelaaniwa mtumiaji mkono kwa kujisugua uume wake (Punyeto)

Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos kunaweza sababisha kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea "dubwana" hizo, kifo kutokana na "shock" ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha "dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo" kuingia.
kujichua kupita kiasi kunaweza kusababisha kupoteza hisia uume halisi.

NAMNA YA KUACHA KUPIGA PUNYETO

Baada ya kuangalia madhara yanayosababishwa na kupiga punyeto nilipokea simu nyingi ambazo zilitaka pia niongelee suluhisho au jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto kabisa. Punyeto kama tulivyoongea ni tatizo la kitabia na linaweza kudhibitika kabisa kama matatizo mengine yeyote.

FANYA YAFUATAYO....

Acha kuangalia video za ponograph: video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako.. Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga: bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.

Epuka kukaa nyumbani peke yako; mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.
Fikiria kuhusu madhara yake: kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo kama uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.
Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho: siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.

Tafuta mpenzi kama huna kabisa: ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.

Anza mazoezi na jishughulishe na mambo mengine:hii itakufanya ue bize na mambo mengine na utumie mda wako mwingi huko, pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala

Uzoefu unaonyesha, mtu anayepiga punyeto, hata kama ameathiriwa na tatizo la punyeto kwa kiwango gani, endapo atafanikiwa kutopiga punyeto kwa muda wa siku arobaini mfululizo, mtu huyo hatopiga tena punyeto katika siku zote za maisha yake kwani tayari mtu huyo atakuwa amerudia katika hali yake ya kuto kuwa addicted tena na upigaji punyeto, na atalichukia kabisa hata jina la tendo hilo achilia mbali tendo lenyewe.

MAELEZO ZAIDI........

Pia ileleweke kuwa Sio rahisi kwa mtu aliyekuwa addicted na punyeto kustahimili kujizuia kupiga punyeto kwa muda wa siku arobaini mfululizo. Anaweza kujizuia kupiga punyeto kwa siku mbili lakini baada ya hapo ataendelea tena na mchezo wako.

JARIBU PIA DAWA HII....

PILIPILI

Pilipili inayo hitajika hapa ni yoyote ile ili mradi iwe kali sana, ( Ila inayopendekezwa ni pilipili mbuzi ama pilipili kichaa, pilipili hoho haihusiki hapa ).

MATUMIZI

Kwanza kabla ya kujua matumizi ni vyema ukatambua muda ambao huwa unapiga punyeto (Mara nyingi huwa ni asubuhi baada ya kuamka,wakati wa kuoga ama usiku kabla ya kulala ).

Chukua pilipili zako, zipasulie kwenye viganja vya vidole vyako na kujipakaza katika viganja vya vidole vyako. Unaweza kutumia pilipili moja kwa kila kiganja, na kwa kila muda ambao huwa unapiga punyeto lakini unaruhusiwa kujipakaza zaidi ya pilipili moja.

Ukishajipaka pilipili kwenye viganja vya vidole vyako, moja kwa moja unakuwa umekwisha jilazimisha kutokufanya punyeto, kwa sababu ukipiga punyeto kwa viganja ambavyo vina pilipili utawashwa sana wala hautaweza kufurahia tendo hilo.

JAMBO LA KUZINGATIA : Hakikisha unakuwa na walau pilipili mbili mpaka nne kila unapokuwa katika maeneo ambayo yanaweza kukuchochea kufanya punyeto.

UFANISI WA DAWA HII : Dawa hii inawafaa wale tu ambao wamedhamiria kutoka mioyoni mwao kuacha kufanya punyeto. Kwa wale ambao hawajadhamiria haitaweza kuwasaidia.
Swali,je kama ulisha athirika na punyeto kwa maana umepungukiwa na nguvu za kiume ukiacha kupiga punyeto unaweza rudisha nguvu za kiume au hadi upate matibabu?
 
Aseee....somo zito.nmepashika ktk dondoo za kuacha nmekuelewa ntazifata maana na mm niliaza mchezo huu nikiwa sekondari adi chuo na sasa npo kazin
 
jamani wakuu...
mimi binafsi nilianza punyeto mwaka jana mwezi wa kumi baada ya kuona post nyingi kuhusu punyeto humu jukwaani. sasa nina mpango wa kuacha japo nimekuwa nikijaribu lakini nikishinwa.
kwa hiyo kwa yeyote mwenye lengo kama langu, tufarijiane, tutiane moyo na kupena mbinu za kuacha puchu...karibuni wanachama wapya
 
Kwanza mimi si mwanachana wa chaputa.

Neno kuacha halitakiwa litoke kinywani tu bali udhamirie kweli na usirudi nyuma.

Jiepushe na mazingira yote yasiyofaa ambayo huwa yanakufanya kushawika na kujichua mfano kuangalia picha au video ambazo zinakufanya kusisimka n.k

Kubwa zaidi fikiria zaidi hasara zake hasa pale unapotamani kujichua mfano kukosa nguvu za kiume,

Chukulia mfano umeoa halafu mkeo akawa anakupenda kwa dhati ila ukashindwa kumtoa ashki,hamu zake hivyo ikamlazimu kutoka na mwanamme mwingine na yule mwanaume akawa anakuzarau na kusema kwa watu kuwa huiwezi mechi.....fikiria hali utakayokuwa nayo baada ya hayo kukutokea

Nikupongeze kugutuka mapema maana kuna watu wana zaidi ya miaka 7 na hawajawahi kupata wazo la kuacha....kujichua hakufai jamani mtachukuliwa wake zenu mbele ya macho yenu hivi hivi
 
Njia nyingine ya kuacha nyeto ni kutafuta demu,ila siyo mademu.
Asilimia kubwa ya wanaume tumepitia nyeto sema kila mtu aliacha kwa style yake
 
Siwez kuacha nyeto bro
Kwanza najipimia mwenyewe saizi yangu.nikitaka tight au bwawa na twist vidole vyangu tu.
Pili inapunguza gharama ya voucher,mitoko ya dinner na lunch,pesa za saloo,kifupi vizinga hamna ni just sabun Ayu yako ya jero au mafuta mgando ya jero.
Tatu kila unapojisikia unafanya sio mpaka ubembeleeze mara hana nauli,mara mama kaja siji tena huku mi nimedinda balaa,

Jamani rahaaa sio rahaaaa???
Kidumu CHAPUTA
 
Back
Top Bottom