Asante ndg kwa ushauri wako.Pole sana
Fanya mazoezi, kula vizuri na jiamini unapokuwa na mpenzi wako. Tatizo linaweza likawa la kisaikolojia zaidi tofauti na unavyoona.
Usije ukununua dawa zozote za kuongeza nguvu za kiume utajimalizia kabisa,jambo la msingi kuwa mvumilivu matokeo utayapata taratibu.
Ntaipataje hiyo dawa,mm nipo singida.Karibu
Inaitwaje na inapatikana wapi kwa gharama gani.Dawa ya kupaka kwenye uume ipo mkuu na mishipa ya uume itarudia katika uimara wake tu
Bado sijawahi pimaulishawai kupima sukari?
Bado sijawahi pima
Nielewe hapo awali nilikuwa vzr kabisa baada ya miaka mingi ya mchezo wa punyeto sasa nguvu za kiume zimepunguahujawahi kuwa na nguvu za kiume?
mkuu hii reply haikuwa yako...kuna kiumbe hapo juu ndo inamuhusu....sio ww mkuuNielewe hapo awali nilikuwa vzr kabisa baada ya miaka mingi ya mchezo wa punyeto sasa nguvu za kiume zimepungua
Mkuu, hapo mwisho unasema hujawahi kuwa na nguvu za kiume???? [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]Nashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na nguvu za kiume
kinachoua nguvu za kiume sio punyeto, ni aina ya punyeto wanazopiga na aina ya vilainishi watumiavyo. Punyeto ni njia salama sana katika sex abstain. Pamekuwa na story nyingi za vitisho kuhusu punyeto bila ya kuwaambia watu njia salama zakufanya punyeto, kiuhalisia kama kuna madhara katika punyeto yanatakiwa madhara hayo hayo yawepo katika normal sex, maana kinachofanyika nikile kile. Kuna namna bora za kufanya punyeto bila madhara kama vile pia kuna namna bora ya kufanya sex bila madhara.Siamini Kama Punyeto Inaua Nguvu Za Kiume
Uko Sahihi Kabisaa,watumie Kilainishi Ambacho Akileti Msuguanokinachoua nguvu za kiume sio punyeto, ni aina ya punyeto wanazopiga na aina ya vilainishi watumiavyo. Punyeto ni njia salama sana katika sex abstain. Pamekuwa na story nyingi za vitisho kuhusu punyeto bila ya kuwaambia watu njia salama zakufanya punyeto, kiuhalisia kama kuna madhara katika punyeto yanatakiwa madhara hayo hayo yawepo katika normal sex, maana kinachofanyika nikile kile. Kuna namna bora za kufanya punyeto bila madhara kama vile pia kuna namna bora ya kufanya sex bila madhara.
Mkuu kwa nn upige punyeto muda wote huo na kujisababishia matatizo yote hayo na huku kuna hata wale wa kununua kinachotakiwa kwa ambao tunaendekeza mchezo huu tunatakiwa kupiga angalau mara tatu au nne kwa mwezi afu na siku zingine tupate hata wale wa kununua kwa ajili ya kujipunguzia mihemko yetu mbona simple sana na ndo huwa natumia mimi na sijawahi pata hilo tatizo na hii ni kwa ambao wako bize sana na kazi zao au ikibidi tafuta demu wa kujiliwaza kwa muda mbona wapo ni maneno yako tu..Ndg salaam,Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tungu shuleni miaka ya tisini,hadi sasa na familia yaliyo nikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume siwezi mechi hata raundi moja.Je naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani,naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo,karibuni kwa ushauri.
Nashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na tatizo LA nguvu za kiume
Ntawezaje kuondoa hizo streess mkuu.Punyeto haina madhara unayoyataja hapa, utakuwa na matatizo mengine pengine stress na matatizo kama hayo
Teh teh. Hiii ina inainamirish misul ya mboooAsante kwa kuja mkuu hivi nini kazi kubwa ya huu mzizi,maana nimeu upload
Mkuu kwasasa na mke na watoto,tatizo ilikuwa namna ya kuacha purry,ila kwa kuwa nilifanya kwa muda mrefu huko nyuma sasa hivi tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na wakati mwingine kushindwa kabisa limjitokeza na kuna wakati nawahi sana kumaliza.Mkuu kwa nn upige punyeto muda wote huo na kujisababishia matatizo yote hayo na huku kuna hata wale wa kununua kinachotakiwa kwa ambao tunaendekeza mchezo huu tunatakiwa kupiga angalau mara tatu au nne kwa mwezi afu na siku zingine tupate hata wale wa kununua kwa ajili ya kujipunguzia mihemko yetu mbona simple sana na ndo huwa natumia mimi na sijawahi pata hilo tatizo na hii ni kwa ambao wako bize sana na kazi zao au ikibidi tafuta demu wa kujiliwaza kwa muda mbona wapo ni maneno yako tu..