20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Porin yaapo kibao....Ntaipataje hiyo dawa,mm nipo singida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porin yaapo kibao....Ntaipataje hiyo dawa,mm nipo singida.
Hatamimi siamini hiloSiamini Kama Punyeto Inaua Nguvu Za Kiume
mkongoraa ogKaribu![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Majibu ya humu inabidi mtu acheke
Heli yako wewe umeoa mimi sitamani kabisa mwanamke
Kwa kulala naye. Nikisha muona tu mwanamke mawazo yangu yote yanakimbilia kwenye SABUNI
Je una matatizo yafuatayo katika tendo la ndoaNdg salaam,
Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tangu shuleni miaka ya 90, hadi sasa na familia yaliyonikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume. Siwezi mechi hata raundi moja.
Je, naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani. Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.
Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo.
Karibuni kwa ushauri.
Ndg salaam,
Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tangu shuleni miaka ya 90, hadi sasa na familia yaliyonikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume. Siwezi mechi hata raundi moja.
Je, naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani. Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.
Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo.
Karibuni kwa ushauri.
Je una matatizo yafuatayo katika tendo la ndoa
1. Kuwai kumaliza chini ya dk kumi
2. Uume kusinya ukiwa uken au kabla hujaingiza
3. Uume legelege mda mwingine kushindwa kuingiza uken
4.manii machache na mepesi
5.kushindwa kurudia round ya pili tatu nne au tano
6.kuchoka baada ya round ya kwanza
Kwa kutumia matunda tu ntatoa formula yaan maelezo jins ya kuandaa hayo matunda ukiwa nyumban na kupona kabisa ndani ya siku 3/5/714 inategemea na ukubwa wa tatizo ni matunda bila kemika
Gharama ni elfu 20
Njia ya malipo ni online kwa tigopes mpes kwa namba hii moja 0712505049
Au ofisin chanika mwisho karibu n kisarawe yalipo makazi yangu na ofisi
Utapona kabis kama hujazaliwa na tatizo napia lilitokana na punyeto au vyakula kama wali chips soup soda na kemikali
Wasiliana na dr kwa 012505049
hujawahi kuwa na nguvu ya kiume[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na nguvu za kiume
Nyeto haina madhara munayoyasema hapa
Badala yake inaimarisha shine maradufu.
Kwanza utakuwa unachelewa kumaliza kwa sababu msuguano wa ukeni ni softer than wa kiganja kwa hiyo hautamaliza haraka
Tatizo hapa ni la kisaikolojia zaidi.
Yaani ukimuona mwanamke haupati hisia za kufanya naye sex ila unawaza nyeto tu. Kwa hiyo hautadindisha ila akiondoka unaweza kudindisha na kupiga puli tena.
Ukishafeli mara ya kwanza utapata tatizo la kujirudia kwa hali hiyo kwa sababu utakuwa na woga kwamba "sijui ntadindisha?!" kinachofuata response ya mwili inakufanya usidindishe kwa woga!
kinachoua nguvu za kiume sio punyeto, ni aina ya punyeto wanazopiga na aina ya vilainishi watumiavyo. Punyeto ni njia salama sana katika sex abstain. Pamekuwa na story nyingi za vitisho kuhusu punyeto bila ya kuwaambia watu njia salama zakufanya punyeto, kiuhalisia kama kuna madhara katika punyeto yanatakiwa madhara hayo hayo yawepo katika normal sex, maana kinachofanyika nikile kile. Kuna namna bora za kufanya punyeto bila madhara kama vile pia kuna namna bora ya kufanya sex bila madhara.
Pole sana mkuu, mtafute huyo muudum yupo Dar anaweza kukusaidia tatzo lako, ila anatumia natural remedyNdg salaam,
Nimekuwa nikijihusisha na mchezo wa kupiga punyeto kwa muda mrefu tangu shuleni miaka ya 90, hadi sasa na familia yaliyonikuta siwezi sahau nimepungukiwa nguvu za kiume. Siwezi mechi hata raundi moja.
Je, naweza pata matibabu ili nirudi ktk hali yangu ya zamani. Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kurudisha nguvu za kiume.
Kuhusu kuacha kupiga punyeto nimeweza kujizuia sasa yapata miezi 2 sifanyi tena mchezo huo.
Karibuni kwa ushauri.
Wewe acha kufananisha matunda na vitu vya kijinga,Nyie ndio akina MWAKA!...
Nani kakwambia matunda yanaongeza nguvu za kiume?...
Acha utapeli wewe
Rafiki asikudanganye huyu nenda hospitali kafanyiwe vipimo kwanza
Kuna medical na psychological condition nyingi zinaweza pelekea wewe kuwa hivyo,asikutapeli mtu nenda hospitali kwanza,hayo matunda ni supplement tu hamna lolote