Asante bana kwa ushauri ,nyeto ni tatizo Kwa vijana
 
Utapata shida ukubwani utakapotaka kupanda mlima na jogoo likigoma kuwika!! Utaiibika sana mbele ya warembo amini usiamini . Pale utakapotengewa uwanja na mchezaji akigoma kunyanyuka ni aibu babu kubwa
 
Utapata shida ukubwani utakapotaka kupanda mlima na jogoo likigoma kuwika!! Utaiibika sana mbele ya warembo amini usiamini . Pale utakapotengewa uwanja na mchezaji akigoma kunyanyuka ni aibu babu kubwa
Dah! ndio maana natafuta suluhisho mapema nisije nikaumbuka ,kama ni jipu limeshapasuka.
 
Nilijaribu kuacha Mara kibao,nikipiga nyeto nawaza hii ndio ya mwisho kumbe ndio usugu wenyewe,lakini Kwa Sababu nimeamua kuweka tatizo wazi najua ni ishapona
 
Fuatilia siasa za bongo especially issue ya makinika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…