Hatimaye Jukwaa la Punyeto limepatikana.
 
Vitabu vya dini vimesema, wanaojichua!!"mikono Yao itafanya mimba".


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Mzee kuingiza na kutoa si ugonjwa inaonesha ni jinsi gani mwili wake ulivyo jia andaa kwa tendo lenyewe.
 


Siku njema.
 
Kwa coment zenu wadaua nashawishika kuanzisha chama kwa hili Jina pendwa "CHAWAPUTA"
Inclusion criteria: watu wote ambao walishawahi au bado wananyetua
NOTE.Kama una uhakika kuwa hujawahi fanya basi niponde mawe.
 
Kuna methali isemayo "kidole kilichozoea kulamba asali ni vigum kuacha",ndivyo ilivyo hata kwa wapiga punyeto.ushauri jinsi ya kuacha kupiga punyeto
 
Punyeto Kiukweli inaharibu mfumo mzima wa akili haswa upande wa kumbukumbu,mtumiaji wa punyeto anakuwa ni msahaulifu sana na pia punyeto inaharibu au kushusha nguvu za kiume. by then ni zambi kwa mwenyezi Mungu
 
punyeto kiukweli inaharibu mfumo mzima wa akili haswa upande wa kumbukumbu,mtumiaji wa punyeto anakuwa ni msahaulifu sana na pia punyeto inaharibu au kushusha nguvu za kiume. By then ni zambi kwa mwenyezi mungu

hii kali.
 
nimepata fundisho, kiukweli nami nimdau sana huko japo ni bikira wa kiume. SIJUI NIFANYEJE NIACHE,,,,,,NGOJA SASA NAFANYA MAAMUZI MAGUMU.
 
mkuu hii ni kweli..hapo kwenye red nimehakikisha binafsi
 
It's a sin and kwa wewe unayepiga, fahamu kuwa that is a spirit, coz njia halali MUNGU aliyoiweka ni moja we kwa nn utafute yako isiyo sahihi? Try kuwaona pastors wanaomfahamu MUNGU vyema wawasaidie. Nawapenda na ndiyo maana nawaambia ukweli. Plz, tuwe na Hofu ya MUNGU.
 
Ameni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…