Mabbyson Mwagito
New Member
- May 29, 2012
- 1
- 0
Yapi tens
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman ndugu naomba mnisaidie majina ya kwenda kusoma ualimu wa shule ya msingi wanatoa lini?
mimi nimekuwa nikiichapa masturbation karibia kila siku kwa miaka mitatu na sasa nimepata mchumba na ngono ni tamu kwa kwenda mbele. ninauwezo wa kumtwanga zaidi ya nusu saa kabla ya kukukojoa na wote tunaridhika. bao moja linatosha na siku nyingine nachapa jioni/usiku na asubuhi sijaona problem. sasa kama ipo mimi sijaona nna mchezo ni mtamu kama kawa
punyeto kiukweli inaharibu mfumo mzima wa akili haswa upande wa kumbukumbu,mtumiaji wa punyeto anakuwa ni msahaulifu sana na pia punyeto inaharibu au kushusha nguvu za kiume. By then ni zambi kwa mwenyezi mungu
mkuu hii ni kweli..hapo kwenye red nimehakikisha binafsiEnhe....waulize hao....hii kitu haina madhara yoyote imedhibitika haina madhara kiafya hilo la kusema kuwa bao linakuja fasta hakuna ukweli wowote.
kwanza inajulikana kuwa wanao practice hii kitu huwa very strong kwenye game.....nikiwa naa maana mzunguko wa kwanza wanaweza kwenda mpaka dakika 15-20......
mkuu hii ni kweli..hapo kwenye red nimehakikisha binafsi
Mkuu umeweka hii link ya Madhara ya Punyeto lakini haifunguki kwanini? Mkuu X-PASTERNakushauri nenda ukapate ushauri nasaa kwa wataalam husika.
Madhara mengine kuhusiana na punyeto au kujichuwa tafadhari tembela thread ya hii:
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=10486
Naamini bado haiwezi fikia raha tunayopata kwenye "k"
Vitabu vya dini vimesema, wanaojichua!!"mikono Yao itafanya mimba".
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Ameni!Madhara ya kiroho ni dhambi ambayo itampeleka Jehanam, moto wa milele usiozimika! Mazoezi ya kiroho ni toba ya kweli ipatikanayo kupitia Jina la Yesu, kufunga na kuomba, kuutoa mwili kuwa dhabihu safi impendezayo Mungu! Ajiepushe na kuangalia picha chafu (kama anafanya hivyo), akomboe wakati kwa kusoma Neno la Mungu, ajue kuwa anasa za dunia hii ni za kitambo tu na hatujui siku wala saa atakapokuja Mwana wa Adamu kulitwaa Kanisa lake! Siku ya BWANA itakuja kama mwivi atapo usiku kuiba! Watu watakuwa wakila na kunywa, kuoa na kuolewa! Kesheni basi kwa kuwa hatujui siku wala saa, tusije tukaaibika milele kwenye ziwa la moto pamoja na shetani na wale wote watendao maovu!