Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hatimaye Jukwaa la Punyeto limepatikana.
 
Vitabu vya dini vimesema, wanaojichua!!"mikono Yao itafanya mimba".


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Mzee kuingiza na kutoa si ugonjwa inaonesha ni jinsi gani mwili wake ulivyo jia andaa kwa tendo lenyewe.
 
mimi nimekuwa nikiichapa masturbation karibia kila siku kwa miaka mitatu na sasa nimepata mchumba na ngono ni tamu kwa kwenda mbele. ninauwezo wa kumtwanga zaidi ya nusu saa kabla ya kukukojoa na wote tunaridhika. bao moja linatosha na siku nyingine nachapa jioni/usiku na asubuhi sijaona problem. sasa kama ipo mimi sijaona nna mchezo ni mtamu kama kawa


Siku njema.
 
Kwa coment zenu wadaua nashawishika kuanzisha chama kwa hili Jina pendwa "CHAWAPUTA"
Inclusion criteria: watu wote ambao walishawahi au bado wananyetua
NOTE.Kama una uhakika kuwa hujawahi fanya basi niponde mawe.
 
Kuna methali isemayo "kidole kilichozoea kulamba asali ni vigum kuacha",ndivyo ilivyo hata kwa wapiga punyeto.ushauri jinsi ya kuacha kupiga punyeto
 
Punyeto Kiukweli inaharibu mfumo mzima wa akili haswa upande wa kumbukumbu,mtumiaji wa punyeto anakuwa ni msahaulifu sana na pia punyeto inaharibu au kushusha nguvu za kiume. by then ni zambi kwa mwenyezi Mungu
 
punyeto kiukweli inaharibu mfumo mzima wa akili haswa upande wa kumbukumbu,mtumiaji wa punyeto anakuwa ni msahaulifu sana na pia punyeto inaharibu au kushusha nguvu za kiume. By then ni zambi kwa mwenyezi mungu

hii kali.
 
nimepata fundisho, kiukweli nami nimdau sana huko japo ni bikira wa kiume. SIJUI NIFANYEJE NIACHE,,,,,,NGOJA SASA NAFANYA MAAMUZI MAGUMU.
 
Enhe....waulize hao....hii kitu haina madhara yoyote imedhibitika haina madhara kiafya hilo la kusema kuwa bao linakuja fasta hakuna ukweli wowote.

kwanza inajulikana kuwa wanao practice hii kitu huwa very strong kwenye game.....nikiwa naa maana mzunguko wa kwanza wanaweza kwenda mpaka dakika 15-20......
mkuu hii ni kweli..hapo kwenye red nimehakikisha binafsi
 
It's a sin and kwa wewe unayepiga, fahamu kuwa that is a spirit, coz njia halali MUNGU aliyoiweka ni moja we kwa nn utafute yako isiyo sahihi? Try kuwaona pastors wanaomfahamu MUNGU vyema wawasaidie. Nawapenda na ndiyo maana nawaambia ukweli. Plz, tuwe na Hofu ya MUNGU.
 
Madhara ya kiroho ni dhambi ambayo itampeleka Jehanam, moto wa milele usiozimika! Mazoezi ya kiroho ni toba ya kweli ipatikanayo kupitia Jina la Yesu, kufunga na kuomba, kuutoa mwili kuwa dhabihu safi impendezayo Mungu! Ajiepushe na kuangalia picha chafu (kama anafanya hivyo), akomboe wakati kwa kusoma Neno la Mungu, ajue kuwa anasa za dunia hii ni za kitambo tu na hatujui siku wala saa atakapokuja Mwana wa Adamu kulitwaa Kanisa lake! Siku ya BWANA itakuja kama mwivi atapo usiku kuiba! Watu watakuwa wakila na kunywa, kuoa na kuolewa! Kesheni basi kwa kuwa hatujui siku wala saa, tusije tukaaibika milele kwenye ziwa la moto pamoja na shetani na wale wote watendao maovu!
Ameni!
 
Back
Top Bottom