Punyeto ni nini na nini madhara yake?
mkuu ata uje useme kila mara unaacha unaacha kama ujaamuwa mwenyewe kutoka moyoni ni ndoto

ila wee komaa tu na nyeto au unataka uwanze kupigwa mizinga roho mtakatifu alikuwa anakuepusha na mizinga shauri lako
Hapana ni raha ya muda mfupi ila madhara yake ni mateso makubwa kwa ndoa yako baadae
 
piga piga piga mpaka ushindwe kuzaa.

na ushauri wangu punguza huo ujinga
 
Mmhh!! Labda mbegu ndo zinaishia

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Achana na punyeto siyo nzuri hata kidogo, kwanza inapunguza uwezo wa kufanya tendo la ndoa, lakini pia huleta madhara kama hayo, kama wewe unasema pindi ukipiga nyeto ndo unakutana na dhahama hiyo na usipofanya hukutani na jambo hilo, kuna elimu zaidi unayotaka wakati mwenyewe unaona madhara yapo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una alergy na nyeto achana nayo... waachie watalaam wa mambo..

Syncerus cafer cafer
 
Duh mpaka nimesikia maumivu aisee. Umeshaharibu mishipa ndugu yangu, yaan wewe kama haujaoa wahi faster upige hata mimba mtoto wa shule maana mwanamke haumuwezi tena utampaka shombo tu. Na dada zetu bila round nne za nguvu ataenda kujimaliza mwenyewe bafuni, na hapo atakuwa kakuheshimu sana, kinyume cha hapo shambaboy, ama dukani kwa mangi lazima usaidiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante jamaa mie baada ya kutendwa na wanawake niligeukia kwenye nyeto na nimeshindwa kujinasua,ngoja nijaribu njia yako kama nitaweza
 
Back
Top Bottom