Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni raha ya muda mfupi ila madhara yake ni mateso makubwa kwa ndoa yako baadaemkuu ata uje useme kila mara unaacha unaacha kama ujaamuwa mwenyewe kutoka moyoni ni ndoto
ila wee komaa tu na nyeto au unataka uwanze kupigwa mizinga roho mtakatifu alikuwa anakuepusha na mizinga shauri lako
Amen...mkuu kamwe sirudi nyuma kwa hiliYesu akusaidie kutoka kwenye hicho kifungo.
Kabisa...shukraniJitahidi uache mara 3 sio masihara ni hatari.
Asante[emoji120] [emoji120]Pole sana kijana..
Pamoja mkuu.Kabisa...shukrani
Au vijana hawafati kanuni na mbinu stahiki?Madhara yameongezeka mkuu[emoji1] [emoji1]
Mtagi yule chizi popoma hizo ndio hadithi zakeAchana na iyo punyeto mkuu,.. Tafuta matibabu kwanza,...imekuathiri vibaya"
1.Kwasababu wanaogopa Ukimwiyaan ili halifichika wanaume wengi sanasana vijana wanapenda sana aka kamchezo we unafikir ni kwa nn tupe maoni yko