Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
KumbeMwenyekiti wa CHAPUTA natoa tahadhali kwa wanachama wote wa CHAPUTA juu ya nyuzi kama hizi.
Ambazo zinalenga kutoa siri za kambi pamoja na faragha kwa wanachama wote.
Kwa mshikamano wote naomba tuendelee kuchukua tahadhali kwa kutoa taarifa kwa wanachama wengine pia.
Imetolewa na mwenyewe wa CHAPUTA.
Kichwa Kichafu.
Hongera sana maana nayo ni bahati...vijana sasa wamelowea humoSijawahi kupiga punyeto wala sijui ladha yake maana sijawahi kuwa domo zege nimeanza kuwapelekea moto tangia nikiwa darasa la kwanza
Sijui ilikuwaje,ila niliachaje ndo najua ilikuwajeWee mbona hujaeleza ulianzaje anzaje
Ni utumwa piaNilishaacha kupiga nyeto toka namaliza six ..
Kupiga nyeto ni matumizi mabaya ya akili
Ungeanza kusimulia wewe ulivyoanza kama mfano ili wengine watiririke. Sasa wewe unataka kusikia za wenzio tu.Ni utumwa pia
Sijui nilianzaje ila nakumbuka nilivyoacha kilichosababisha niacheUngeanza kusimulia wewe ulivyoanza kama mfano ili wengine watiririke. Sasa wewe unataka kusikia za wenzio tu.
rikiboy mwenyewe katika uzi wake alianza yeye kusimulia alivyokula kimasihara kisha wengine wakapata nguvu na uzalendo wa kuuendeleza ule uzi.
Haya tunaomba hadithi yako tujue ulianzaje ili nasi tukupe zetu.
Ah hiyo ya kuacha mbona inajulikana bila ata kusema. ila hapo ya sijui nilianzaje unatudanganya. kila mtu anajua alianzajeSijui ilikuwaje,ila niliachaje ndo najua ilikuwaje
Sijui ilikuwaje,nahisi nilianza tu.Ila nakumbuka ni baada ya kutendwa na baba wa mtoto nilikaa sana bila mpenz kwa miaka kadhaa.Nadhani ule upweke ndo chanzoWe ulianzaje?
Sijui ilikuwaje kwa kweli i swearah hiyo ya kuacha mbona inajulikana bila ata kusema. ila hapo ya sijui nilianzaje unatudanganya. kila mtu anajua alianzaje
Si ndio usimulie.Sijui nilianzaje ila nakumbuka nilivyoacha kilichosababisha niache
hahahaha aya bwana weee tupige fix tuu. kwa hiyo baada ya kuonja utamu wa mgegedo ukaamua kuachana na kunyetuka au sioSijui ilikuwaje kwa kweli i swear
nini kilisababisha uachana na chaputa?Sijui nilianzaje ila nakumbuka nilivyoacha kilichosababisha niache
ah ukawa unaanza kujipimia utamu mwenyewe.Sijui ilikuwaje,nahisi nilianza tu.Ila nakumbuka ni baada ya kutendwa na baba wa mtoto nilikaa sana bila mpenz kwa miaka kadhaa.Nadhani ule upweke ndo chanzo
Kwanza Punyeto ni nini mkuuHabari wandugu?
Hivi unakumbuka ulianzajeanzaje kupiga punyeto? Ulifunzwa au ulijikuta tu umeanza automatically?
Hii ni kwa wote sasa yaan me na ke maana nyeto halibagui jinsi.
NB: Ambaye hujawahi usithubutu kufanya ivo....hasa mwanaume please