Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Mwenyekiti wa CHAPUTA natoa tahadhari kwa wanachama wote wa CHAPUTA juu ya nyuzi kama hizi.

Ambazo zinalenga kutoa siri za kambi pamoja na faragha kwa wanachama wote.

Kwa mshikamano wote naomba tuendelee kuchukua tahadhari kwa kutoa taarifa kwa wanachama wengine pia.

Imetolewa na mwenyewe wa CHAPUTA.

Kichwa Kichafu.
 
Mwenyekiti wa CHAPUTA natoa tahadhali kwa wanachama wote wa CHAPUTA juu ya nyuzi kama hizi.

Ambazo zinalenga kutoa siri za kambi pamoja na faragha kwa wanachama wote.

Kwa mshikamano wote naomba tuendelee kuchukua tahadhali kwa kutoa taarifa kwa wanachama wengine pia.

Imetolewa na mwenyewe wa CHAPUTA.

Kichwa Kichafu.
Kumbe
 
Ni utumwa pia
Ungeanza kusimulia wewe ulivyoanza kama mfano ili wengine watiririke. Sasa wewe unataka kusikia za wenzio tu.

rikiboy mwenyewe katika uzi wake alianza yeye kusimulia alivyokula kimasihara kisha wengine wakapata nguvu na uzalendo wa kuuendeleza ule uzi.

Haya tunaomba hadithi yako tujue ulianzaje ili nasi tukupe zetu.
 
Ungeanza kusimulia wewe ulivyoanza kama mfano ili wengine watiririke. Sasa wewe unataka kusikia za wenzio tu.

rikiboy mwenyewe katika uzi wake alianza yeye kusimulia alivyokula kimasihara kisha wengine wakapata nguvu na uzalendo wa kuuendeleza ule uzi.

Haya tunaomba hadithi yako tujue ulianzaje ili nasi tukupe zetu.
Sijui nilianzaje ila nakumbuka nilivyoacha kilichosababisha niache
 
Habari wandugu?
Hivi unakumbuka ulianzajeanzaje kupiga punyeto? Ulifunzwa au ulijikuta tu umeanza automatically?
Hii ni kwa wote sasa yaan me na ke maana nyeto halibagui jinsi.

NB: Ambaye hujawahi usithubutu kufanya ivo....hasa mwanaume please
Kwanza Punyeto ni nini mkuu
 
Back
Top Bottom