Mwami Kabuyuki
Senior Member
- Dec 4, 2018
- 157
- 309
Acha uongo, kama hujui bora Ukae KimyaHaziwezi kurudi
ale karanga, nazi ,mhogo mbichi ,alkasus mujwaaarabu , supu la pweza , asali mbichi , tikiti maji ,ndizi mbivu kwa miaka 9Kwa muathirika wa punyeto aliyefanya kwa miaka 9 kisha kuacha itachukua muda gani kurudisha nguvu za kiume?
Je, kuna dawa ya asili ya kutibu hili tatizo......?
Mtafute Daktari akupe Ushauri mzuri wa nini cha Kufanya,Kwa muathirika wa punyeto aliyefanya kwa miaka 9 kisha kuacha itachukua muda gani kurudisha nguvu za kiume?
Je, kuna dawa ya asili ya kutibu hili tatizo......?
acha kupiga punyeto kwa miezi hata sita piga tizi baada ya hapo anza mademu mdogo mdogo by 2 years ya kuacha utakua njemaKwa muathirika wa punyeto aliyefanya kwa miaka 9 kisha kuacha itachukua muda gani kurudisha nguvu za kiume?
Je, kuna dawa ya asili ya kutibu hili tatizo......?
Yaani itachukua muda wa miaka 9 kupona???ale karanga, nazi ,mhogo mbichi ,alkasus mujwaaarabu , supu la pweza , asali mbichi , tikiti maji ,ndizi mbivu kwa miaka 9
tena akizembea miaka 18 apo ...awe makiniYaani itachukua muda wa miaka 9 kupona???
Duh!tena akizembea miaka 18 apo ...awe makini
Yah. tamu sanaAina ya goli la mkono!
Makubwa...Katika vitu ambavyo sitarajii kuviacha mpaka izraili anaitwaa roho yangu kimojawapo ni kunyetuka
Yup si madogoMakubwa...
Na wamama mnafanyaAfu umeandika mida yenyewe ya kujilipua kabisaaa yaani,.dah!!!