Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Yaani wakuu siamin kama nina mwez wa nane sas hiv cjapiga punyeto,
Eeh mungu nisaidie nisirud..
 
Comment zinachekesha balaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Habari za jion wana JF,

Natumaini mu wazima wa afya, Moja kwa moja kama tittle hapo juu inavyojieleza, Binafsi na Baadhi ya wanaume wangetamani kujua mitazamo ya wadada juu ya wanaume wanaopiga punyeto.

Nini sababu hasa, ni kwamba wanawake wanaringa, vijana madomo zege, hela hawana, wewe kama mwanadada humu unamtazamo gani juu ya wanaume wenye tabia hii ya kujichua? Unafikiri ni kwanini, na nini kifanyike kuhakikisha tunatokomeza hii tabia mbaya..

Uzi tayari....

Nasubiri maoni ya wadada, na wakaka kama wakipenda kuchangia pia..[emoji294]

punyeto.jpg

 
Chenga nyingi wanasumbua sana vijana. Mtu anakwambia njoo kwangu tupate good time, yeye anakwambia sina hela ya nywele, mara simu yangu inasumbua nataka mpya, mara naomba sijui hela ya nini , sasa hizo vitu zinaconnection gani na migegedo?!

Ndio maana madogo wanaona bora kama vipi wapambe na sheria mkononi maana kama ukiwa hauna hela inakuwa nongwa basi wacha wakose vyote tu.....
 
Mashauzi kibao wacha watu wapige bao la mkono

Tunangojea dakika za majeruhi umri ushatembea tuje kuoa kwa laki
 
Chenga nyingi wanasumbua sana vijana. Mtu anakwambia njoo kwangu tupate good time, yeye anakwambia sina hela ya nywele, mara simu yangu inasumbua nataka mpya, mara naomba sijui hela ya nini , sasa hizo vitu zinaconnection gani na migegedo?!


Ndio maana madogo wanaona bora kama vipi wapambe na sheria mkononi maana kama ukiwa hauna hela inakuwa nongwa basi wacha wakose vyote tu.....
🤣🤣🤣🤣
 
Mashauzi kibao wacha watu wapige bao la mkono

Tunangojea dakika za majeruhi umri ushatembea tuje kuoa kwa laki
Na hapo mtakuwa hamjajitendea haki. Umri ukienda ni kuwasema tu miaka yote hadi wafe wamepinda midomo.

Tunaoa wadogo zao tu hawa mabinti wa kuzaliwa kati ya 1988+ hadi 1998 akili zao zimejaaa vumbi za magharibi. Watajioa wenyewe......
 
Back
Top Bottom