Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,042
pole xana.nunua vidonge vya vitamini -ginsomin au provironi.kimoja kqa siku,cku 30.utaendelea mpaka miezi 3
Dar mi nakushauli kula vizuli mananasi.machungwa.tikiti maji.tangawizi.supu ya pweza.juic ya tende.pia bila kusahau mazoezi ya uume kudindisha na kuuchezesha kama vile unauinua juu chini kila siku pia a cha mchezo wako Wa punyeyo.pia wakati Wa kuduu usiwaze tatizo lako Fanya kama vile ujawahi kuwa name tatizo kama hilo Yang in hayo tu ndugu
Lazima ukutane kimwili na nyani mweusi ndio hali yako itatengemaa
pole xana.nunua vidonge vya vitamini -ginsomin au provironi.kimoja kqa siku,cku 30.utaendelea mpaka miezi 3
jamani mimi pia nimmoja wa wajanga wa híi kitu nmefanya kwa muda wa mwaka 1na nusu..hivyo tatizo langu linakuja tu wakati wa kufanya mapenzi uume wangu huchukua muda kusimama baada ya bao la kwanza.. Hivyo naomba msaada wenu wadau
dah!kumbe tuko wengi!!??
kuna kipindi kitafika utakuwa huna hamu ya masterbation wala mwanamke!
Usiweke bwana nafikiri ni vyema tu ukamuomba mungu uache kwani sio jambo zuri mwisho wa cku utakosa nguvu kabisa