Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Wakuu,

Ni kidume cha miaka 24, nimefanya tohara Kama miezi mitatu hivi iliopita, tangu nilipofanya tohara nimekuwa na tatizo uume kusimama Mara kwa mara, yaani nikiona mdada kajaaliwa neema za Mungu basi hapo uume unasimama dede kwelikweli na haushuki hadi nikapige punyeto au nimgegede demu, na mara nyingi nakuwa naishia kupiga nyeto au kwa hauzigelo wetu.

Hebu niambieni tatizo ni nini? Maana Kabla ya tohara Hali haikuwa Kama hivi.
 
tatizo lako ni dogo sana, subiri niperuzi vitabu hapa ntarudi na dawa.....
 
mmmh... siku zote hizo ulikua wap??? kweli kua uyaone...
hapa napita tuu, sitii neno mie
 
You were dead. Now you are alive. Sasa endekeza gemu you will die again.this time round in whole tena for good.
 
Wakuu
Ni kidume cha miaka 24, nimefanya tohara Kama miezi mitatu hivi iliopita, tangu nilipofanya tohara nimekuwa na tatizo uume kusimama Mara kwa mara, yaani nikiona mdada kajaaliwa neema za Mungu basi hapo uume unasimama dede kwelikweli na haushuki hadi nikapige punyeto au nimgegede demu, na mara nyingi nakuwa naishia kupiga nyeto au kwa hauzigelo wetu, hebu niambieni tatizo ni nini, maana Kabla ya tohara Hali haikuwa Kama hivi.

Kabla ya watu kuleta sababu,jiepushe na punyeto kwani madhara yake kubwa n kuukaribisha uhanithi n kupunguza nguvu za kiume,ukiona early ejaculation ujue kaz ishaanza,kamwe hutaweza kumfikisha mdada kileleni.chunga
 
Halafu unasema wakati mwingine unapoozea maumivu yako kwa 'House girl' si ndiyo?, chunga sana kijana mahuasigelo hawaletwi hapo kwenu ili uwe unawagegeda wewe?! nyau we
 
acha mambo ya nyeto unajiaribu..nahilo tatizo unalitengeneza mwenyewe psychological kwa kuwaza sana kuhuxu mapenzi.au emotional zako zipo kalibu xo akipita mdada ambaye unamtamani mawazo na fikra zinakupeleka mbali.naukizingatia sasa ivi wewe ni mpya..umetoka ndani basi dahaa sio kutaka kujalibu huko ladha yake.......
 
usijali mkuu Gogle matatizo kaumbiwa binadamu na si miti, so ni vizuri kumsaidia mwenzio hasa kama uwezo unao. ntarudi.

Asante demba, nakusubiria as I'm watching arsenal vs chelsea
 
Last edited by a moderator:
mimi pia niltahiriwa ukubwani...tatizo lako nalijua. Twende PM nikupe dawa.
 
Mwanachama mpya wa CHAPUTA...karibu ktk office zetu..uje na buku 2 kwa ajili ya form
 
ngozi ya kichwa chako cha uume ni laini sensitive sana kwa stimulation kwa sasa kwa kuwa ya imekuwa exposed, hamna jinsi kufanya mpaka itakapokomaa yenyewe itakuwa kawaida ila kwa sasa naamini hata ukivaa jinz itakuwa inatekenya sana na unaweza enda toi kwa kimasta..ila kupiga kimasta si tatizo la kutahiriwa ni hisia zako mwenyewe.
bilashaka utakuwa unatoka nyanda za juu kusini...kuchelewa kote huko24? ulikuwa hukutani na bi mdada?
 
Back
Top Bottom