Punyeto ni nini na nini madhara yake?
imenibidi niliweke wazi tu,kupiga punyeto ni jambo linalonisumbua sana kwa muda sasa.Nilianza kpindi nipo o level shule ya bweni ya wanaume kutokana na hali yenyewe ilivyokuwa.Ijapokuwa sasa mpenzi ninaye lkn bado nimeshindwa kuacha,naomba ishauri jinsi ya kuacha punyeto na madhara ambayo yanaambatana na punyeto.

Mkuu utayasikia mengi sana hapa lakini ninachoweza kukwambia nyingi ni hadithi tu ambazo hazina ukweli wa kisayansi zaidi ya imani! ninachoweza kukwambia ni labda madhara yatatokana na vilainishi unavyotumia...hayo mengine ni wewe mwenyewe na saikolojia yako na jinsi unavyolichukulia hilo jambo. Nina uhakika na ninachokisema kwa kuwa nami ni mwanachama wa CHAPUTA wa muda mrefu tuuuu nimeoa na nina watoto wawili!!!
 
Habari zenu binafsi wandugu...
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 19..tatizo langu ni moja nimekuwa mjanga wa kupiga punyeto takribani mwakammoja na nusu.. Shida nikwamba kila nikikutana na mwanamke uume wangu huchukua muda kusimama baada ya bao la kwanza hivyo naomba ushauri ni jinsi gan nitaweza kurudia hali yangu kama zamani na njia za kuacha kupiga punyeto asanten saana
Tafuta mke uoe inaonekana shule kwako imekushinda...
 
Kuna chama chenu CCWPT (chama cha wapiga punyeto tanzania) waone watakusaidia dogo
 
19 inamaana ndo labda umemaliza f4 au bado, unakuwa na mawazo ya uzinzi, hii ndo BRN?

ACHA PUNYETO NA UZINZI, UKIMWI UPO NA UNAUA, ZINGATIA MASOMO KWANZA, TATIZO LAKO LITAISHA. NARUDIA TENA, DAWA NI KUFIKIRIA MASOMO YAKO NA SI UJINGA WAKO HUO.
 
19 inamaana ndo labda umemaliza f4 au bado, unakuwa na mawazo ya uzinzi, hii ndo BRN?

ACHA PUNYETO NA UZINZI, UKIMWI UPO NA UNAUA, ZINGATIA MASOMO KWANZA, TATIZO LAKO LITAISHA. NARUDIA TENA, DAWA NI KUFIKIRIA MASOMO YAKO NA SI UJINGA WAKO HUO.

Sasa punyeto na ukimwi wapi na wapi??????
 
usitazame video za ngono au zenye ushawishi wa ngono pindi upo mbali na mpenz wako, michezo kama drafti ama mpira wa miguu husaidia kuchangamsha ubongo na kukuondoa kwenye hali ya upweke ambao hukusuma kwenye punyeto, pia kwa umri wako jitaidi usome hususan na wenzio.
 
M nna miaka 17 toka nianze kupiga nyeto Niko vzuri kbsa we itakua unakosea kuipiga
 
actual nyeto sio ktu kzur..hudhoofu mwil na misul ya neva...mbay zaid huarb pristte grand...hain kuipga vzuri or vbay sema effect ina tofautian na frequenc za upgaj ...cha msingi usipend kukaa peke san ukiw chumban au kujishik sehem za siri..tatz la kuto dinda vzuri ni ishara ya misuli kulegea..sas jarib kutumia matund na vyakul vya protin.. pia jaribu mchanganyk wa asal n mdarasin mara kwa mara, mwisho matumiz ya tangawiz kwa mara nyingi husaidia kuzuia tatz la kuwahi kupga bao
 
kun mtu amesema ukiw una do pelek mawaz yak...si sawa...ila unatakiw ujifunz ni kipndi unakaribia kufika mwisho n jarib kustop kusugua huku ukiw una mchezea.vzur gal wako...so wakt ww una punguz moto wa kufik mwish yy unamfany awe mzuk ule ule..n ukiona fresh unaendlea...ukizui bao mara mbil mfululiz basi unawez pga hata nusu saa lisij tena kirahisi...TUPUNGUZENI KUWA KEBEHI WATU WENYE SHIDA NA WANAOMBA USHAURI SI BUSARA..JIWEKE WW KWENYE NAFASI YAKE..UONE UTAJISKIAJE
 
kila ktu kinawezekan..uliweza kuanza punyeto kwa sababu uli concentrt kweny faida zake na raha pia...sas kweny kuacha unatakiw upate taarifa za kutosha kuhusu atharia zake..zitakujengea kuichukia kama ukisha gundua inakumaliza. tafuta kwnye mitandao madhara ya nyeto...pili jua ni stimulant gani ikitokea or ikiwepo inakupa hamasa ya nyeto then kaa nayo mbali..kama ni filamu za ngono punguza kuanglia then utacha kabsa kuanglia na mawazo ya nyeto pia..kama ni sex chat i akufany uwaze hayo basi acha kabisa chat za aina hiyo kwa faida yako...ukikaa seheme moja peke yako hasa ndani inawez kukupa uhuru na mawaz ya kujishik nyeti na kupga nyeto..so penda kuw na marafiki around na pia fanya mazoez..itasaidi kupunguza hamu....POLE KAKA BT UTAWEZ UKIWA NA DHAMIRA YENYE NGUVU KWENYE NIA PANA NJIA
 
Majigo... Kila kitu kina faida na hasara, itakukinga na testoria cancer, magonjwa ya kuambukiza, itakuokolea garama na kufanya ujiskie vizuri, ili mradi hujutii wala kujiskia vibaya kufanya kitendo hiko. Kupiga punyeto si kwa binadamu tu hata nyani na mbwa wanapiga... Ila usiipige sana kama ulivyoona utashindwa kumridhisha demu ako, uume wako utapinda, na sauti itapoteza uzito. Nimetaja faida&hasara chache ila idadi ya faida ipo sawa na hasara itategemea ww unazipa zipi uzito... Soma mtandao utazpata zote;

PS; kuacha punyeto ghafla kuna madhara makubwa, acha taratibu.
 
Kuacha rahisi sana kama uko dar nipm nikupe namba za Dada poa ukihisi unataka kupiga punyeto unamtwangia unakuja sehemu utayomweleza unapiga kimoja fresh...bei 3000
Sometimes gfs zetu wanakuwa busy hii inaweza kusaidia kuacha pia
 
Back
Top Bottom