ulikuwa na mkono wa sweta ulisema jotoo sasa umekatwa (imebaki vest) unapiga masta we endelea ukiona inafaida usiache ukiona ina madhara acha ukishindwa kuacha tafufa kigoz cha bandia ubandike na gundi kasweta kawepo maana inaonekana unaskia baridi sasa........UKIOA UTAKUWA UMESHINDA....ILA 24ya sasa-14 ya baleghe=....????????
 

Gogle mkuu pole kesho mapema amka na uanze kupitia sredi yako hope wataalamu watakusaidia. Na vipi lile la kudinda asubuh mpak kupata maumiv ulipata tiba yake? Au ndo umeamua kuliteta kivingine
 
huyu jamaa kama vile namkumbuka!!

wewe si ndio ulikujaga hapa unajinadi kuuza mbegu za kiume?

kumbe ulikuwaga na mkono wa sweta?

still unapiga nyeto mara mia kwa siku?

btw, unafikiria sana ngono, inaonekana huna shughuli za kukuweka busy! (fanya Vice versa hapa unufaike!)
 

Mkuu, kumbukumbu yako ni nzuri, ila sio kwamba nauza mbegu Bali natoa bure kwa anaehitaji, (sperm donor), yaani kwa wale wanaohitaji kupata mimba Mimi nawapatia bila ya kujihusisha na uleaji wa mimba wala matunzo ya mtoto na siruhusu kabisa jina langu kutumika Kama jina la baba wa mtoto.
 

Vigezo na masharti kuzingatiwa
 

ahaaaaa!!!!

kwa hiyo nyie ndio mifano ya madume ya mbegu yaliyokuwa yakizungumziwa kuleeeee MMU?

haya bana yaishie hapa hapa!
 

Una miaka 24 au 43????
 

Mkuu umeeleweka sana, bila shaka wengi watapata faida!
 
habari za alfajiri wakuu, mimi ni kijana mwenye miaka 22, nimeamua kutofanya mapenzi hadi ntakapofunga ndoa,pia sitaki kufanya punyeto, lakini kuna katabia nmekua nako pindi ninapopata hisia kali. huwa napitisha uume wangu katikati ya mto na godoro na kusukuma kama anayefanya mapenzi tu na msichana, inasisimua na hunifanya nifike kileleni. leo(usiku huu) nimejaribu na kufanikiwa mara mbili lakin mara ya tatu nimehisi maumivu makali. je, hii ni mojawapo ya punyeto na ina madhara gani kiafya? naombeni msaada wenu.
 
We jamaa ni mchafu na chumba chako kinanuka mabao tu. Hiyo ni nyeto kama zingine zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…