Mkuu najua watu wengi wanakufanyia Mas-khara wacha nikupe madhara yake ambayo mimi nyajua:

1. Mtu mwenye kupiga punyeto anakua hajiamini...hii ni kutokana na madhara ya kisaikologia...kama unavyojua mtu anaepiga punyeto kuna baadhi ya wakati hupiga punyeto bila hata ya haja ya kufanya hivyo ..alimuradi kwa vile sabuni iko chooni yeye hufana hivyo...tofauti na tendo la ndoa...tendo la ndoa lazima wakutane watu 2 wakubaliane na wajiandae kwa hilo. Pia punyeto husababisha pressure kubwa sana kuweza kushusha shahawa....mishipa ya fahamu pia inaweza kuathirika kitu ambacho kinachoweza kukusababishia matatizo ya moyo
2.Punyeto inaathiri ugozi mwembamba wa kichwa cha Dhakar na hupelekea sehemu za hisia za mapenzi kuwa juu zaidi...Mtu akipiga sana Punyeto upo uwezekano mkubwa wa kua anaharakisha kucheua wakati wa tendo la ndoa..hii inategemea na maumbile ya mtu mwenyewe..kama unavyojua watu wate hatuko sawa...
3.Madhara mengine ni umwagaji wa shahwa kiholela...Kuna mwanachuoni mmoja wa Kiislamu aliandika...zitunzeni Shahwa zenu...akimaanisha tusimwage hovyo hovyo....pia kuzaa nje ya ndoa.... au kuoa wake amabao hawana maadili mazuri..

Faida pekee unaweza kusema kua....inaepusha mtu kufanya dhambi ya Zinaa ya moja kwa moja...ingawaje punyeto yenyewe ni aina fulani ya uzinifu kwa sababu mpiga punyeto ameanza kuikaribia Zinaa...kwa sababu kama mtu ameweza kupiga punyeto...hatoweza kuukataza moyo kuingia katika uzinifu kama fursa ya wazi itajitokeza....

Kiufupi haifai na watu wasiiendee...
 
uzuri wa nyeto ni kwamba mademu una waona kama mafa.la vile maanaukishajisevia wala hawakubabaishi.
 
Ningependa kujua upande wa wadada..kwa anayejua.

Punyeto kwa mwanamke inamadhara kwa kiasi fulani. Kwanza anaathirika kisaikolojia pili kita za ndani za uke zinakuwa ngumu kama unyayo wa mguu na kusababisha kuto kufeel chochote wakati wa kufanya mapenzi
 
Habari zenu wana JF,
Huyu rafiki yangu nashindwa kumuelewa ni best yangu mkubwa wa kufa na kuzikana,ana umri kama 28 hana girl ni bahili kupindukia alhali ana maisha mazuri kidogo namnukuu"sijawai honga mwanamke na haitakaa itokee"sijamficha nikamwambia na utapiga punyeto sana,sasa jana jioni tulikutana maeneo mimi nikiwa na mdada mmoja is ma workmate jamaa ananiambia I real love nimfanyie mpango na bidada huyo anadate na kigogo muhongaji.Nipeni ushauri nifanye nini?
 
mwambie huyo mdada anapenda kuhudumiwa(kuhongwa) kama hataweza kigezo hicho mwambie aendelee na punyeto zake.
 
nipige punyeto kisa siongi? huyo jamaa hajui jinsi ya kujieka mkao wa kutafutwa na BIBI Pepsi alipiwe soda yake? amazing!
Za bure mbona zipo kibao tu tena ukizingatia ana maisha mazuri kidogo yanayoenekana?
 
nipige punyeto kisa siongi? huyo jamaa hajui jinsi ya kujieka mkao wa kutafutwa na BIBI Pepsi alipiwe soda yake? amazing!
Za bure mbona zipo kibao tu tena ukizingatia ana maisha mazuri kidogo yanayoenekana?

vya bure mkuu vinagarim magonjwa mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…