umemfundisha jinsi ya kupiga nyeto...? mwambie atumie sabuni ya kidoti!
 
vya bure mkuu vinagarim magonjwa mengi
siongelei hao wa bure wa uswazi bali hawa hawa wanaojifanya wajanja ndo unagonga tena kiulaini kabisa kikubwa how to dance with the bit b'live me unawapata!
 
heshima kwenu ndugu zangu katika jukwaa hili.
nianze moja kwa moja mimi ni kijana wa miaka 24 nipo chuo mwaka wa tatu(civil engineering) mnamo tarehe 13/04/2014(jumapili saa nne hivi usiku niliipa talaka tabia ya kujichua na kujiwekea moyoni na kuingiza hisia za kuichukia zaidi(japo hii siku niliitenga kwa kupiga sana punyeto nakumbuka nilitumia mda mwingi kupiga lengo likiwa ni kuagana nayo),,ukweli ni kwamba mpaka ninapo andika uzi huu nikisikia mtu anapiga punyeto naumia sana kwa sababu ni moja kati ya adui niliyetangaza nae uadui wa maisha..hivo nilifanikiwa na kwa kweli hata ile hamu tu iliniisha na wala huwa siiwazi tena(niliamua kufanya tendo la kiimani ),,,kubwa zaidi niliandika hata maombi ya kuivunja hii laana kwani kwangu niliichukulia kama ni laana, haiwezekani mda wote nilikuwa natamani kupiga punyeto.
KWA HAKIKA NINASHUHUDIA USHUHUDA HUU NIMEACHA NA SIO KUACHA TU BALI NIMEICHUKIA,,na moja kati ya ombi langu kwa mungu hii tabia ikae mbali na mimi.
sasa ndugu zangu ushauri ninaouomba ni kwamba
1.najua kuna watu wamebarikiwa kuwa na madawa mengi na mbalimbali kwa ajili ya kutibu maradhi mbalimbali baraka hizo pengine ni kutoka kwa MUNGU.lakini hao kwa sasa naomba wasinisaidie kutumia dawa hizo ila ninachoomba...NI VYAKULA GANI VYA ASILI KUTOKA MADUKANI AU MASHAMBANI NAWEZA KUTUMIA ILI KUIMARISHA MIFUPA KATIKA UUME WANGU?(ikumbukwe isiwe dawa iliyotengenezwa hata kama ni kiasili bali nahitaji chakula ambacho chaweza kuwa ndio chai yangu,kinywaji changu na chakula changu)...
MWISHO;wanafunzi wengi hasa kwenye fani za engineering wamekuwa adicted na tabia hii ni vema tukaamka sasa na kuitokomeza
natanguliza shukrani
nawasilisha
 
Tumia juice ya tangawizi - kwangua tangawizi kisha andaa kama juice. Waweza pata glass moja asubuhi na jioni, kama una nafasi na mchana ni vyema pia. Hii ina matokeo ya muda mfupi.

Waweza changanya na asali pia katika hiyo juice yako. Hii niliipata humu humu jf.
 

asante ndugu yangu,nipo kunwa muda huu japo sikujua kuwa inasaidia hiyo kitu nilikuwa nakunywa kama kuzuia maumivu ya kifua
nashukuru sana
 
Vizur kijana, sisi wengine hatuwezi kukiua chama cha CHAPUTA ni dhambi,tunasikitika kukupoteza mwanachama.Ss nenda kafe na ngoma maana lazima utataka uiguse yenyewe.
hapana sitakufa na ngoma kama nimeweza kikimbia punyeto sitashindwa kuizua zinaa(mapenzi yasiyo salama)
 

Hongera engineer; kaza buti usirudi nyuma...lakini uume hauna mifupa!!!
 
Vizur kijana, sisi wengine hatuwezi kukiua chama cha CHAPUTA ni dhambi,tunasikitika kukupoteza mwanachama.Ss nenda kafe na ngoma maana lazima utataka uiguse yenyewe.

Teh teh teh

hiki chama kukiacha ni kazi, lazima ujikane kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…