Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Madaktari kwa kipindi kilefu wameshindwa kuelewa madhara ya punyeto. Ila mimi ni mwathirika wa punyeto nimeanza kupiga hadi leo napiga mara tatu kwa siku. Ni miaka 12 sasa tangu nianze, nilikuwa very bright! Sana shuleni. Ila mwaka wa pili baada ya kuanza puli ugonjwa wa kusahau umenikumba hadi leo. Siwashauri wanafunzi wafanye hii kitu ni mbaya! Hata madaktari wameshindwa kujua madhara ya hii kitu nimetembelea mitandao mingi sana ya kimataifa. Naamini Jf ni jukwaa la kuelimishana, mwenye kusikia na asikie. Kama hujaanza huu mchezo usianze! Kila nnachokifikilia huwa nasev kwenye cm! Naamini nimeeleweka na nimewaelewesha vya kutosha. Tell a friend to tell a friend! Am done!.
Pole mkuu naona umefunga ndoa na mkono
 
Madaktari kwa kipindi kilefu wameshindwa kuelewa madhara ya punyeto. Ila mimi ni mwathirika wa punyeto nimeanza kupiga hadi leo napiga mara tatu kwa siku. Ni miaka 12 sasa tangu nianze, nilikuwa very bright! Sana shuleni. Ila mwaka wa pili baada ya kuanza puli ugonjwa wa kusahau umenikumba hadi leo. Siwashauri wanafunzi wafanye hii kitu ni mbaya! Hata madaktari wameshindwa kujua madhara ya hii kitu nimetembelea mitandao mingi sana ya kimataifa. Naamini Jf ni jukwaa la kuelimishana, mwenye kusikia na asikie. Kama hujaanza huu mchezo usianze! Kila nnachokifikilia huwa nasev kwenye cm! Naamini nimeeleweka na nimewaelewesha vya kutosha. Tell a friend to tell a friend! Am done!.

Nijuavyo Ukipiga PUNYETO Kwanza Kisha Ndipo UMGEGEDE MTU Lazima Arudishe CHENJI.....Kudadadeki!
 
Nijuavyo Ukipiga PUNYETO Kwanza Kisha Ndipo UMGEGEDE MTU Lazima Arudishe CHENJI.....Kudadadeki!

Acha uongo ww, gegedo litakuwa halina nguvu yake ya asili na utashuka kifuani baada ya muda mfupi sana, kuja kuendelea tena baadae sana
 
Mimi hata sikuulumu, mkuu maana hata mimi hako kamchezo nilikacheza sana,,
lakn ugojwa wangu mimi niliwahi kuushitaki mapema kwa watalam,
wakaniambia niaze mazoezi makali na ya nguvu.
 
Madaktari kwa kipindi kilefu wameshindwa kuelewa madhara ya punyeto. Ila mimi ni mwathirika wa punyeto nimeanza kupiga hadi leo napiga mara tatu kwa siku. Ni miaka 12 sasa tangu nianze, nilikuwa very bright! Sana shuleni. Ila mwaka wa pili baada ya kuanza puli ugonjwa wa kusahau umenikumba hadi leo. Siwashauri wanafunzi wafanye hii kitu ni mbaya! Hata madaktari wameshindwa kujua madhara ya hii kitu nimetembelea mitandao mingi sana ya kimataifa. Naamini Jf ni jukwaa la kuelimishana, mwenye kusikia na asikie. Kama hujaanza huu mchezo usianze! Kila nnachokifikilia huwa nasev kwenye cm! Naamini nimeeleweka na nimewaelewesha vya kutosha. Tell a friend to tell a friend! Am done!.

Pole sana, kwanini usingekuja kupooza kwangu mie mpaka ujipige puchu kiasi hicho.
 
Acha uongo ww, gegedo litakuwa halina nguvu yake ya asili na utashuka kifuani baada ya muda mfupi sana, kuja kuendelea tena baadae sana

so kiongozi hili jambo linaweza kutibika kwa ambao wameshafikia hatua hiyo uliyoisema??
 
so kiongozi hili jambo linaweza kutibika kwa ambao wameshafikia hatua hiyo uliyoisema??

Hayo yanakua matatizo ya kisaikolojia, itabidi uache kupiga puchu huku ukijinasibu na kuwa na mchumba au mke kiasi ukimuhitaji utampata... na ufanye mazoezi kuijenga upya misuli yako itasaidia kukurejesha kufikiria kama zamani
 
so kiongozi hili jambo linaweza kutibika kwa ambao wameshafikia hatua hiyo uliyoisema??

Hii kitu ni spiritual attacks. Na inatesa vijana wengi sana.(wa kiume/ kike) in short inaharibu system nzima ya maisha yako. Ukiwa mwanafunzi halafu ukawa msahaulifu kuna kufaulu tena, hauwezi ukakaa na kufikiri jambo la maana hata kidogo.
Kwa kuwa ni spiritual attack(mapepo, Kwa hali ya kawaida huwezi ukaanza kujitekenya mwenyewe na kuridhika) hakuna mtaalamu anayeweza kukusaidia na kuacha kabisa.
Nenda ukaombewe au angalia Emmanuel.tv frequently shida itaisha kabisa.
 
Pole sana kaka, mimi pia niliwahi kusoma katika makala moja kwenye gazeti siku nyingi sana ilieleza hivyo kwamba Punyeto pamoja na mambo mengine pia humfanya mtu kuwa msahaulifu. Nadhani hii kitu inaukweli wake. Wewe ni sample nzuri sana kwa mtu anayetaka kufanya utafiti.
 
Madaktari kwa kipindi kilefu wameshindwa kuelewa madhara ya punyeto. Ila mimi ni mwathirika wa punyeto nimeanza kupiga hadi leo napiga mara tatu kwa siku. Ni miaka 12 sasa tangu nianze, nilikuwa very bright! Sana shuleni. Ila mwaka wa pili baada ya kuanza puli ugonjwa wa kusahau umenikumba hadi leo. Siwashauri wanafunzi wafanye hii kitu ni mbaya! Hata madaktari wameshindwa kujua madhara ya hii kitu nimetembelea mitandao mingi sana ya kimataifa. Naamini Jf ni jukwaa la kuelimishana, mwenye kusikia na asikie. Kama hujaanza huu mchezo usianze! Kila nnachokifikilia huwa nasev kwenye cm! Naamini nimeeleweka na nimewaelewesha vya kutosha. Tell a friend to tell a friend! Am done!.

Umetimiza wajibu wako. Na inaonesha kweli ulikuwa bright kwa namna tu ya uandishi wako ulivyo nikilinganisha na vijana wengi katika hili jukwaa na mitandao mingine pia. Sasa je, baada ya kubaini hivyo kuna juhudi zozote unazifanya kujitibu/kuacha?
 
more than 70% ya wanawake hawafiki kileleni! Why? hawajawahi ku-masturbate wakafika kileleni ili wajijue wakishika wapi, na ikiingia vipi ndo wanafika!

Kama mwanamke alianza na limwanaume lisojua shughuli, amabalo kazi yake ni kushindilia tu! then mwana mke anajengeka kuwa ule msisimko wa sex (not climax) ndo utamu wenyewe na inajengeka kichwani, kumbe wapi!

Very true mkuu.
 
Hii kitu ni spiritual attacks. Na inatesa vijana wengi sana.(wa kiume/ kike) in short inaharibu system nzima ya maisha yako. Ukiwa mwanafunzi halafu ukawa msahaulifu kuna kufaulu tena, hauwezi ukakaa na kufikiri jambo la maana hata kidogo.
Kwa kuwa ni spiritual attack(mapepo, Kwa hali ya kawaida huwezi ukaanza kujitekenya mwenyewe na kuridhika) hakuna mtaalamu anayeweza kukusaidia na kuacha kabisa.
Nenda ukaombewe au angalia Emmanuel.tv frequently shida itaisha kabisa.

Asante kwa ushauri kiongozi lakini mimi sio mpigaji but nilitaka kujua tu. na vipi kwa wale ambao hawamuani huyo tb joshua mimi ni mmoja wao yaani siamini katika misingi ya kuombewa kabisa ntaanzaje kumpeleka mwanangu au mdogo wangu au mtu yoyote akaombewe?? bado sitaki kuamini kama haya ni mapepo!
 
Back
Top Bottom